Well said!Hiki kikundidawa yake ni ndogo tu. Kumshawishi Tanzania ambaye ana uwezo wa kumtoa, awe na nia na sababu. Tanzania akikubali kwa dhati kabisa, kwake hilo zoezi ni la majuma machache tu. Ukichukua kila nchi ya EAC kuwemo kwenye kikosi hiki, hilo halitazaa matunda, maana kuna wengine wanatuhumiwa kuwa upande wa maadui.
Kwanza, napenda kukujulisha kuwa hizo jitihada unazozisema zimefanyika mara nyingi bila mafanikio. Hii vita ni ya siku nyingi na mapatano mengi yamefanyika bila mafanikio. Tatizo kubwa ni pale nchi zenyewe za EAC zinahusika katika kufadhili hii vita. Hii vita inapigana ndani na nje ya Congo. Ndani ya Congo wanahusika M23. Nje ya Congo inahusika Rwanda na Uganda. Hii siyo vita ya kawaida ya kisiasa bali ni vita ya kiuchumi, kikabila, na kimataifa. Hii ni vita ya kiuchumi kwa sababu chaos inayoletwa na vita inazipa Rwanda na Uganda nafasi ya kupora madini kupitia mauzo holela. Kwa wale vijana wa zamani kama mimi, nadhani mliwa kusikia malori ya dhahabu yaliyochukuliwa na Obote wakishirikiana na Iddid Amini enzi hizo. Hiyo dhahabu mpaka leo inaozea Uswissi, kwa sababu enzi hizo mkiweka pesa Uswissi kuzichukuwa mpaka mtie sahihi. Mkigombana, kama vile Iddi Aminbi alivyogombana na Obote (mapinduzi), ina maana hamtaweza kuzichukuwa tena.Za asubuhi wakubwa, weekend inaendeleaje?
Leo nawaletea muendelezo wa kile kinachojiri huko Congo katika oparation ya jeshi la kanda yetu hii ya EAC. Oparation hii mahsusi imebuniwa kwa lengo la kuwapokonya silaha waasi wote waliopo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ila walengwa haswa wa oparation hii ni wale vijana walioshiba mafunzo ya kijeshi, wenye weledi wa kupambana na adui mchana au usiku, angani au ardhini, vijana hawa sio wengine bali ni lile kundi imara la waasi wa M23.
Kabla oparation hiyo haijapangwa, viongozi wa nchi zetu za maziwa makuu walitoa kwanza siku maalum na saa kwa makundi hayo kusalimisha silaha zao wenyewe, kuachia maeneo yao (walioyateka) na kusubiri michakato mingine ya kisheria itakayofanywa kwa waasi hao.
Baada ya kumaliza kutoa tamko hilo la kusalimisha silaha, ndipo viongozi wa nchi hizo wakatuma majeshi yao Congo kwa ajili ya kwenda kuwawajibisha waasi wote watakaokaidi kutii agizo hilo la serikali na nchi za maziwa makuu.
M23 ambalo ndio kundi imara na hatari kwa majeshi yaliokwenda huko, lilikaidi maagizo hayo na kusubiri kuona ni nini kitachofanywa na vikosi hivyo vilivyodai kwamba vinakwenda kusafisha uasi katika nchi hiyo ya pili kwa ukubwa barani Afrika.
Juzi M23 imefanya oparation zake inazofanyaga kila siku na kupelekea watu 50 kufariki dunia. Hii ni salam ya dhahiri kwa vikosi hivyo vya Burundi na Kenya vilivyopelekwa huko eti kujaribu kuwapokonya silaha 'wanajeshi' wenzao, kama vile mtu anapojaribu kumpokonya mtoto wake pipi.
Kifupi ishaonesha kuwa M23 ni maji marefu ndio maana kdf na fdnb wanashindwa kuthubutu kuingiza miguu katika maji yao (maeneo yao) wasije wakazama mazima ikawa aibu kwao na kwa nchi zao.
Ushauri wangu ni kuitaka serikali mpya ya Congo iangalie namna bora ya kuongea na kundi hili kwa mara ya mwisho kwa lengo la kuleta amani maeneo hayo. Ikishindikana ndio nguvu kubwa na ya pamoja itumike. Ila kuyategemea majeshi haya ya Burundi na Kenya kuleta amani ni kupoteza muda bure, maana hawana uwezo hata waku deal na mayi mayi achilia mbali vijana hatari wa M23.
Unaweza ukawa raia wa TZ mwenye asili ya Kitusi. Watusi, ni kama Wayahudi, wao Utusi kwanza mengine baadaye. Mimi nilikuja kushangaa wakati Kagame anachukuwa madaraka ni vijana wangapi wenye digrii waliyosoma kwa pesa za walipa kodi TZ walikimbilia Rwanda na kuanza maisha mapya kama Wanyarwanda huko Rwanda. Hii inanikumbusha wakati nikiwa Makerere. Kulikuwa na Wahidi waliyokuwa wanasomea udaktari, Iddi Amini alipowafukuza Wahindi, wale Wahindi wa TZ walijichanganya na kuomba hifadhi Canada. Wote waliyondoka, hii inaonyesha jinsi mguu mmoja ulivyokuwa TZ na mwingine nje.Mimi ni raia wa Tanzania, sina masilahi yoyote na kile kinachoendelea Congo.
Sio kweli labda wasiokuelewa wewe ni m23 mtupuNipo upande wa East Africa Countries.
Hiki kikundi hakipigani na askari, wao kazi yao kubwa ni kuvizia raia na kuwaua. UN wamemaliza pesa za UN wako huko huku hakuna ahueni inayopatikana. Wao wanadai wanalinda amani, hawakwernda kupigana, lakini kila kukicha wanazoa mishahara na marupurupu yaliyojaa damu za Wakongo.Hiki kikundidawa yake ni ndogo tu. Kumshawishi Tanzania ambaye ana uwezo wa kumtoa, awe na nia na sababu. Tanzania akikubali kwa dhati kabisa, kwake hilo zoezi ni la majuma machache tu. Ukichukua kila nchi ya EAC kuwemo kwenye kikosi hiki, hilo halitazaa matunda, maana kuna wengine wanatuhumiwa kuwa upande wa maadui.
Wewe mmoja hufanyi wingi.Kwanini kila anaongelea hili swala huitwa mtusi, mnyarwanda nk? Je kuwa mtusi ndio kuwa adui wa watu wote au sababu ni nini mkuu?
Msemaji wa m23 kaa kwa kutulia dawa bado haijaingia vizuri.. Kuua raia 50 ambao sio wanajeshi ni Sawa mwanaume kumpiga mwanamke alafu ukajisifuZa asubuhi wakubwa, weekend inaendeleaje?
Leo nawaletea muendelezo wa kile kinachojiri huko Congo katika oparation ya jeshi la kanda yetu hii ya EAC. Oparation hii mahsusi imebuniwa kwa lengo la kuwapokonya silaha waasi wote waliopo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ila walengwa haswa wa oparation hii ni wale vijana walioshiba mafunzo ya kijeshi, wenye weledi wa kupambana na adui mchana au usiku, angani au ardhini, vijana hawa sio wengine bali ni lile kundi imara la waasi wa M23.
Kabla oparation hiyo haijapangwa, viongozi wa nchi zetu za maziwa makuu walitoa kwanza siku maalum na saa kwa makundi hayo kusalimisha silaha zao wenyewe, kuachia maeneo yao (walioyateka) na kusubiri michakato mingine ya kisheria itakayofanywa kwa waasi hao.
Baada ya kumaliza kutoa tamko hilo la kusalimisha silaha, ndipo viongozi wa nchi hizo wakatuma majeshi yao Congo kwa ajili ya kwenda kuwawajibisha waasi wote watakaokaidi kutii agizo hilo la serikali na nchi za maziwa makuu.
M23 ambalo ndio kundi imara na hatari kwa majeshi yaliokwenda huko, lilikaidi maagizo hayo na kusubiri kuona ni nini kitachofanywa na vikosi hivyo vilivyodai kwamba vinakwenda kusafisha uasi katika nchi hiyo ya pili kwa ukubwa barani Afrika.
Juzi M23 imefanya oparation zake inazofanyaga kila siku na kupelekea watu 50 kufariki dunia. Hii ni salam ya dhahiri kwa vikosi hivyo vya Burundi na Kenya vilivyopelekwa huko eti kujaribu kuwapokonya silaha 'wanajeshi' wenzao, kama vile mtu anapojaribu kumpokonya mtoto wake pipi.
Kifupi ishaonesha kuwa M23 ni maji marefu ndio maana kdf na fdnb wanashindwa kuthubutu kuingiza miguu katika maji yao (maeneo yao) wasije wakazama mazima ikawa aibu kwao na kwa nchi zao.
Ushauri wangu ni kuitaka serikali mpya ya Congo iangalie namna bora ya kuongea na kundi hili kwa mara ya mwisho kwa lengo la kuleta amani maeneo hayo. Ikishindikana ndio nguvu kubwa na ya pamoja itumike. Ila kuyategemea majeshi haya ya Burundi na Kenya kuleta amani ni kupoteza muda bure, maana hawana uwezo hata waku deal na mayi mayi achilia mbali vijana hatari wa M23.
Mbona mwandiko wako kama mtutsiMimi ni raia wa Tanzania, sina masilahi yoyote na kile kinachoendelea Congo.
Wametuma salamu Kwa kuwaua watu wasio na hatia?wanaakili kweli?Za asubuhi wakubwa, weekend inaendeleaje?
Leo nawaletea muendelezo wa kile kinachojiri huko Congo katika oparation ya jeshi la kanda yetu hii ya EAC. Oparation hii mahsusi imebuniwa kwa lengo la kuwapokonya silaha waasi wote waliopo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ila walengwa haswa wa oparation hii ni wale vijana walioshiba mafunzo ya kijeshi, wenye weledi wa kupambana na adui mchana au usiku, angani au ardhini, vijana hawa sio wengine bali ni lile kundi imara la waasi wa M23.
Kabla oparation hiyo haijapangwa, viongozi wa nchi zetu za maziwa makuu walitoa kwanza siku maalum na saa kwa makundi hayo kusalimisha silaha zao wenyewe, kuachia maeneo yao (walioyateka) na kusubiri michakato mingine ya kisheria itakayofanywa kwa waasi hao.
Baada ya kumaliza kutoa tamko hilo la kusalimisha silaha, ndipo viongozi wa nchi hizo wakatuma majeshi yao Congo kwa ajili ya kwenda kuwawajibisha waasi wote watakaokaidi kutii agizo hilo la serikali na nchi za maziwa makuu.
M23 ambalo ndio kundi imara na hatari kwa majeshi yaliokwenda huko, lilikaidi maagizo hayo na kusubiri kuona ni nini kitachofanywa na vikosi hivyo vilivyodai kwamba vinakwenda kusafisha uasi katika nchi hiyo ya pili kwa ukubwa barani Afrika.
Juzi M23 imefanya oparation zake inazofanyaga kila siku na kupelekea watu 50 kufariki dunia. Hii ni salam ya dhahiri kwa vikosi hivyo vya Burundi na Kenya vilivyopelekwa huko eti kujaribu kuwapokonya silaha 'wanajeshi' wenzao, kama vile mtu anapojaribu kumpokonya mtoto wake pipi.
Kifupi ishaonesha kuwa M23 ni maji marefu ndio maana kdf na fdnb wanashindwa kuthubutu kuingiza miguu katika maji yao (maeneo yao) wasije wakazama mazima ikawa aibu kwao na kwa nchi zao.
Ushauri wangu ni kuitaka serikali mpya ya Congo iangalie namna bora ya kuongea na kundi hili kwa mara ya mwisho kwa lengo la kuleta amani maeneo hayo. Ikishindikana ndio nguvu kubwa na ya pamoja itumike. Ila kuyategemea majeshi haya ya Burundi na Kenya kuleta amani ni kupoteza muda bure, maana hawana uwezo hata waku deal na mayi mayi achilia mbali vijana hatari wa M23.
Swali zuri....Hawa M23 silaha wanatoa wapi?!
Wewe ni mpuuzi sana. Vita sio kuingia kichwakichwa...kuna plan, mpango kazi na mikakati, vita sio kama unatawanya maandamano ya Chadema wewe Mnyarwanda.Pumbavu.Za asubuhi wakubwa, weekend inaendeleaje?
Leo nawaletea muendelezo wa kile kinachojiri huko Congo katika oparation ya jeshi la kanda yetu hii ya EAC. Oparation hii mahsusi imebuniwa kwa lengo la kuwapokonya silaha waasi wote waliopo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ila walengwa haswa wa oparation hii ni wale vijana walioshiba mafunzo ya kijeshi, wenye weledi wa kupambana na adui mchana au usiku, angani au ardhini, vijana hawa sio wengine bali ni lile kundi imara la waasi wa M23.
Kabla oparation hiyo haijapangwa, viongozi wa nchi zetu za maziwa makuu walitoa kwanza siku maalum na saa kwa makundi hayo kusalimisha silaha zao wenyewe, kuachia maeneo yao (walioyateka) na kusubiri michakato mingine ya kisheria itakayofanywa kwa waasi hao.
Baada ya kumaliza kutoa tamko hilo la kusalimisha silaha, ndipo viongozi wa nchi hizo wakatuma majeshi yao Congo kwa ajili ya kwenda kuwawajibisha waasi wote watakaokaidi kutii agizo hilo la serikali na nchi za maziwa makuu.
M23 ambalo ndio kundi imara na hatari kwa majeshi yaliokwenda huko, lilikaidi maagizo hayo na kusubiri kuona ni nini kitachofanywa na vikosi hivyo vilivyodai kwamba vinakwenda kusafisha uasi katika nchi hiyo ya pili kwa ukubwa barani Afrika.
Juzi M23 imefanya oparation zake inazofanyaga kila siku na kupelekea watu 50 kufariki dunia. Hii ni salam ya dhahiri kwa vikosi hivyo vya Burundi na Kenya vilivyopelekwa huko eti kujaribu kuwapokonya silaha 'wanajeshi' wenzao, kama vile mtu anapojaribu kumpokonya mtoto wake pipi.
Kifupi ishaonesha kuwa M23 ni maji marefu ndio maana kdf na fdnb wanashindwa kuthubutu kuingiza miguu katika maji yao (maeneo yao) wasije wakazama mazima ikawa aibu kwao na kwa nchi zao.
Ushauri wangu ni kuitaka serikali mpya ya Congo iangalie namna bora ya kuongea na kundi hili kwa mara ya mwisho kwa lengo la kuleta amani maeneo hayo. Ikishindikana ndio nguvu kubwa na ya pamoja itumike. Ila kuyategemea majeshi haya ya Burundi na Kenya kuleta amani ni kupoteza muda bure, maana hawana uwezo hata waku deal na mayi mayi achilia mbali vijana hatari wa M23.
Hali ya wanna Rwanda ni mbaya sana, hata walioko Kigali wanajua kuwa hatima yao haifahamiki: wazee wanajua kabisa kuwa jeshi la kongo likilianzisha hata salia mnyarwanda hata mmojaMpuuzi tu wewe, hakuna mtz anayeshabikia Congo kuteseka, tunaona nyuzi humu wewe ni mnyarwanda.
Na huu uvuguvugu wa Rwanda na Congo, ndani ya miaka kadhaa kuanzia sasa vitapigwa rasmi. Rwanda anaogopa hii vita sababu anajua yeye ana mshirika mmoja tu, Uganda. Congo ana backup kubwa ya SADC. UG anaweza akawa ni threat kutokana na zile Sukhoi zake SU 30.Hali ya wanna Rwanda ni mbaya sana, hata walioko Kigali wanajua kuwa hatima yao haifahamiki: wazee wanajua kabisa kuwa jeshi la kongo likilianzisha hata salia mnyarwanda hata mmoja
View attachment 2437604
Hata Rwanda na Uganda wana urafiki wa mashakaNa huu uvuguvugu wa Rwanda na Congo, ndani ya miaka kadhaa kuanzia sasa vitapigwa rasmi. Rwanda anaogopa hii vita sababu anajua yeye ana mshirika mmoja tu, Uganda. Congo ana backup kubwa ya SADC. UG anaweza akawa ni threat kutokana na zile Sukhoi zake SU 30.
Katika hili la m23 wapo pamojaHata Rwanda na Uganda wana urafiki wa mashaka