Tetesi: M23 yawakamata Hackers kutoka Afrika Kusini

Tetesi: M23 yawakamata Hackers kutoka Afrika Kusini

Huyu mtoto amekuwa analilia wembe tangu vita ya kwanza ya Congo, SA waungane nasi tumpeee.
Umekunywa KINDI unakuja kuandika andika hapa unadhani vita ni kama una angalia MECHI ya Simba na yanga.

Mnaweza chokoza/ chokozwa na Rwanda then Uganda nae akataka Revenge.

Na wanajeshi wetu wamekaa kambini mpaka anastahafu haijawai kua kwenye heka heka za vita FIELD

VITA SIO KITU CHA MCHEZO WALA KUSHABIKIA.
 
Ile video nimeiona aiseee vita ni hatari yule jamaa ana kupiga na
Aisee kuna clip 1 mbaya snaa nmeiona ya huko Congo jamaa mwanajesh mmoja anawau watu kadhaa kwa kuwapiga na chuma zito kichwani then wanachoma bendera ya congo, wale jamaa ni nani? Mana bendera yao ni nyeusi ina maneno ya kiarailei
 
Aisee kuna clip 1 mbaya snaa nmeiona ya huko Congo jamaa mwanajesh mmoja anawau watu kadhaa kwa kuwapiga na chuma zito kichwani then wanachoma bendera ya congo, wale jamaa ni nani? Mana bendera yao ni nyeusi ina maneno ya kiarabu
Nimeiona hiyo video. Wale ni waasi wa ADF wenye mfungamano na Islamic State. Uislamu ni hatari
 
Taarifa zinazotoka mjini Goma, ni kukamatwa kwa watu kutoka Afrika kusini, waliosafiria Passport za Tanzania, kuelekea Goma.

Inasemekana, lengo lilikuwa kudukuwa mifumo ya ulinzi inayolinda anga la Rwanda.

Kupitia picha zinazosambaa, inasemekana walipofika Goma, walitumia magari ya MONUSCO.

Vyombo vya usalama na Intelijensia ya M23,iliweza kuwakamata na mpaka sasa, wapo mikononi mwao.
Taarifa: "Tetesi"

Source: Trust me bro
 
Aisee kuna clip 1 mbaya snaa nmeiona ya huko Congo jamaa mwanajesh mmoja anawau watu kadhaa kwa kuwapiga na chuma zito kichwani then wanachoma bendera ya congo, wale jamaa ni nani? Mana bendera yao ni nyeusi ina maneno ya kiarabu
Uhuni mfanye nynyi, ubaya uelekezwe Kwa warabu, acheni chuki na uislam! Uislam Ni Dini safi na imara kuliko kitu chchte duniani hapa
 
Taarifa zinazotoka mjini Goma, ni kukamatwa kwa watu kutoka Afrika kusini, waliosafiria Passport za Tanzania, kuelekea Goma.

Inasemekana, lengo lilikuwa kudukuwa mifumo ya ulinzi inayolinda anga la Rwanda.

Kupitia picha zinazosambaa, inasemekana walipofika Goma, walitumia magari ya MONUSCO.

Vyombo vya usalama na Intelijensia ya M23,iliweza kuwakamata na mpaka sasa, wapo mikononi mwao.
Umethibitisha kuwa rwanda kuwa ni M23 sasa
 
Aisee kuna clip 1 mbaya snaa nmeiona ya huko Congo jamaa mwanajesh mmoja anawau watu kadhaa kwa kuwapiga na chuma zito kichwani then wanachoma bendera ya congo, wale jamaa ni nani? Mana bendera yao ni nyeusi ina maneno ya kiarabu
Wale ni waKenya
 
Umekunywa KINDI unakuja kuandika andika hapa unadhani vita ni kama una angalia MECHI ya Simba na yanga.

Mnaweza chokoza/ chokozwa na Rwanda then Uganda nae akataka Revenge.

Na wanajeshi wetu wamekaa kambini mpaka anastahafu haijawai kua kwenye heka heka za vita FIELD

VITA SIO KITU CHA MCHEZO WALA KUSHABIKIA.
Acha hofu, au wewe ni mkimbizi?
 
Inaonekana Sasa ivi kujitambulisha ka MTZ au ukijulikana ww ni MTZ na hueleweki una shughuli gani hapo goma ni kitu hatari.
 
Back
Top Bottom