Acheni Congo ipate amani, rudini kwenu RwandaBaba yako kakamatwa na M23, usiwe mbali na TV uone anavyokabidhiwa huko alikofanya maajabu. Mwanae na wewe unahangaika, bahati mbaya hata kumuokoa huwezi.
Jidanganye?Ni uongo Tanzania na Africa kusini zikiamua kushambulia Rwanda hakuna mifumo ya ulinzi wa kuizuia uharibifu.
Yeye anadhani vita ni ukubwa wa ardhiAcha kuizarau Rwanda mkuu
Jamaa wapo vizuri tusijivunia jografia ya kimaeneo
Jamaa wamejipanga wana silaha nzito na mafunzo ya kutosha
Sisi tuendelee na maombi viwanja vya Leaders
Umekunywa KINDI unakuja kuandika andika hapa unadhani vita ni kama una angalia MECHI ya Simba na yanga.Huyu mtoto amekuwa analilia wembe tangu vita ya kwanza ya Congo, SA waungane nasi tumpeee.
Aisee kuna clip 1 mbaya snaa nmeiona ya huko Congo jamaa mwanajesh mmoja anawau watu kadhaa kwa kuwapiga na chuma zito kichwani then wanachoma bendera ya congo, wale jamaa ni nani? Mana bendera yao ni nyeusi ina maneno ya kiarailei
Nimeiona hiyo video. Wale ni waasi wa ADF wenye mfungamano na Islamic State. Uislamu ni hatariAisee kuna clip 1 mbaya snaa nmeiona ya huko Congo jamaa mwanajesh mmoja anawau watu kadhaa kwa kuwapiga na chuma zito kichwani then wanachoma bendera ya congo, wale jamaa ni nani? Mana bendera yao ni nyeusi ina maneno ya kiarabu
Taarifa: "Tetesi"Taarifa zinazotoka mjini Goma, ni kukamatwa kwa watu kutoka Afrika kusini, waliosafiria Passport za Tanzania, kuelekea Goma.
Inasemekana, lengo lilikuwa kudukuwa mifumo ya ulinzi inayolinda anga la Rwanda.
Kupitia picha zinazosambaa, inasemekana walipofika Goma, walitumia magari ya MONUSCO.
Vyombo vya usalama na Intelijensia ya M23,iliweza kuwakamata na mpaka sasa, wapo mikononi mwao.
Uhuni mfanye nynyi, ubaya uelekezwe Kwa warabu, acheni chuki na uislam! Uislam Ni Dini safi na imara kuliko kitu chchte duniani hapaAisee kuna clip 1 mbaya snaa nmeiona ya huko Congo jamaa mwanajesh mmoja anawau watu kadhaa kwa kuwapiga na chuma zito kichwani then wanachoma bendera ya congo, wale jamaa ni nani? Mana bendera yao ni nyeusi ina maneno ya kiarabu
Utakufa kifo chenye maumivu mabaya sanaaa, na chuki zidi ya uislam hazitakusaidia chchte wewe fukara na maskin wa kimwili na rohoNimeiona hiyo video. Wale ni waasi wa ADF wenye mfungamano na Islamic State. Uislamu ni hatari
Jaribuni mpigweNi uongo Tanzania na Africa kusini zikiamua kushambulia Rwanda hakuna mifumo ya ulinzi wa kuizuia uharibifu.
WAlijitambulisha wenyewe kuwa ni WA Islamic. Sasa Nina kosa gani?Utakufa kifo chenye maumivu mabaya sanaaa, na chuki zidi ya uislam hazitakusaidia chchte wewe fukara na maskin wa kimwili na roho
Umethibitisha kuwa rwanda kuwa ni M23 sasaTaarifa zinazotoka mjini Goma, ni kukamatwa kwa watu kutoka Afrika kusini, waliosafiria Passport za Tanzania, kuelekea Goma.
Inasemekana, lengo lilikuwa kudukuwa mifumo ya ulinzi inayolinda anga la Rwanda.
Kupitia picha zinazosambaa, inasemekana walipofika Goma, walitumia magari ya MONUSCO.
Vyombo vya usalama na Intelijensia ya M23,iliweza kuwakamata na mpaka sasa, wapo mikononi mwao.
Labda kama ulikuwa hujui.....Qatar iko congo kitambo sanaWanaua watu halafu wanataka kuwapandikiza waislam,Wawe wazi Wana tamaa na kongo.Uislam au uarabu na kongo wapi na wapi
Wale ni waKenyaAisee kuna clip 1 mbaya snaa nmeiona ya huko Congo jamaa mwanajesh mmoja anawau watu kadhaa kwa kuwapiga na chuma zito kichwani then wanachoma bendera ya congo, wale jamaa ni nani? Mana bendera yao ni nyeusi ina maneno ya kiarabu
Acha hofu, au wewe ni mkimbizi?Umekunywa KINDI unakuja kuandika andika hapa unadhani vita ni kama una angalia MECHI ya Simba na yanga.
Mnaweza chokoza/ chokozwa na Rwanda then Uganda nae akataka Revenge.
Na wanajeshi wetu wamekaa kambini mpaka anastahafu haijawai kua kwenye heka heka za vita FIELD
VITA SIO KITU CHA MCHEZO WALA KUSHABIKIA.