Tetesi: M23 yawakamata Hackers kutoka Afrika Kusini

Acha hofu, au wewe ni mkimbizi?
Mtanzania HALISI Mkononi Nina ndui.

Vita ya Uganda TU mpaka Leo imeligharimu taifa.

Na CDF MUHOZI ANATAMANI KITU KWA PRIDE YA UGANDA.

Sikuizi kuwa na jeshi kubwa interms ya manpower isikufanye ukaona sisi ni wababe.

Sikuizi vita vinapiganwa kwa SCIENCE AND TECHNOLOGY sio Tena Kama enzi za Karne 19
 
Ile midege ya South Africa ya makaburi waungane na makomandoo wa Tanzania na wahutu wa Burundi waamue kwa dhati,, wakianza asubuhi kufikia jioni tu, wanakunywa chai ndani ya sebule ya ngongoti, yule nyonya damu Kagame.
Huyu mtoto amekuwa analilia wembe tangu vita ya kwanza ya Congo, SA waungane nasi tumpeee.
 
Propaganda
 
Waislam ni kama ndio walimuumba Shetani. Wanamzidi kwa uovu,
 
Watakuwa ADF wale waasi WA Uganda.
Museveni ana jeshi congo Kwa ajili yao.
hilo ni jeshi la mu7 ni namna yake ya kuchuma congo, haingii akilini kundi tunaloaminishwa ni pinzani kwa uganda na serekali yake alafu lianze kuuwa wa congo, unachana bendera ya congo. eti Kaguta ndo anaingiza jeshi congo kwenda kulisaka!
 
Reactions: rr4
huyo muhoozi alikosa malezi, mwenye upungufu wa EI kubwa sana. namwona akifia front line kwa kutaka ku deliver vitu vikubwa bila kuangalia uhalisia.
 
Embu Acha kupamba, Yaan Rwanda Una mfumo gani WA ulinzi mpaka WA hack!
 
Acha kuizarau Rwanda mkuu
Jamaa wapo vizuri tusijivunia jografia ya kimaeneo
Jamaa wamejipanga wana silaha nzito na mafunzo ya kutosha
Sisi tuendelee na maombi viwanja vya Leaders
Weee inaonekana ni mwenzao kutoka pale Ngara au???
 
Weee inaonekana ni mwenzao kutoka pale Ngara au???
Upendo, utu na huruma zetu Tanganyika kwa makatili haya utatugharimu sana mbeleni. Bahati mbaya tuliyaingiza na bado yako mpaka ikulu yanaiba Siri zetu.
 
Eti hawa ndio miongoni mwa wanajeshi wa Afrika Kusini.

🤣🤣🤣 watu wenyewe hata kushuka kwenye basi wanashuka kwa tabu kama Diamond alivyoshuka kwenye ndege akitembea!

Ndio maana wengine wamerudi SA wakiwa wajawazito.

Your browser is not able to display this video.
 
Kwasasa hatutaki shida wananchi..Kama vipi Ma CDF wazichape tu wenyewe ajulikane mbabe,Au Mazaa azichape na PK.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…