Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Mtanzania HALISI Mkononi Nina ndui.Acha hofu, au wewe ni mkimbizi?
Huyu mtoto amekuwa analilia wembe tangu vita ya kwanza ya Congo, SA waungane nasi tumpeee.
PropagandaTaarifa zinazotoka mjini Goma, ni kukamatwa kwa watu kutoka Afrika kusini, waliosafiria Passport za Tanzania, kuelekea Goma.
Inasemekana, lengo lilikuwa kudukuwa mifumo ya ulinzi inayolinda anga la Rwanda.
Kupitia picha zinazosambaa, inasemekana walipofika Goma, walitumia magari ya MONUSCO.
Vyombo vya usalama na Intelijensia ya M23,iliweza kuwakamata na mpaka sasa, wapo mikononi mwao.
Waislam ni kama ndio walimuumba Shetani. Wanamzidi kwa uovu,Uislamu ni kero duniani, kule Kibiti mliua kwa nia ipi, Msumbiji mpaka leo mnaua tu, Nigeria, Chad, Somalia, DRC kila popote hiyo dini imegusa ni mauaji na kuchinja watu.
Mohamed mwenyewe muasisi wa uislamu aliisambaza kwa kutumia upanga na mauaji, mnafanya mavitu yanayo mshangaza shetani
hilo ni jeshi la mu7 ni namna yake ya kuchuma congo, haingii akilini kundi tunaloaminishwa ni pinzani kwa uganda na serekali yake alafu lianze kuuwa wa congo, unachana bendera ya congo. eti Kaguta ndo anaingiza jeshi congo kwenda kulisaka!Watakuwa ADF wale waasi WA Uganda.
Museveni ana jeshi congo Kwa ajili yao.
huyo muhoozi alikosa malezi, mwenye upungufu wa EI kubwa sana. namwona akifia front line kwa kutaka ku deliver vitu vikubwa bila kuangalia uhalisia.Mtanzania HALISI Mkononi Nina ndui.
Vita ya Uganda TU mpaka Leo imeligharimu taifa.
Na CDF MUHOZI ANATAMANI KITU KWA PRIDE YA UGANDA.
Sikuizi kuwa na jeshi kubwa interms ya manpower isikufanye ukaona sisi ni wababe.
Sikuizi vita vinapiganwa kwa SCIENCE AND TECHNOLOGY sio Tena Kama enzi za Karne 19
Sawa.huyo muhoozi alikosa malezi, mwenye upungufu wa EI kubwa sana. namwona akifia front line kwa kutaka ku deliver vitu vikubwa bila kuangalia uhalisia.
ndiyo, CDF mwenyeledi hawzi ku behave kama huyo jamaa yenu.Sawa.
Embu Acha kupamba, Yaan Rwanda Una mfumo gani WA ulinzi mpaka WA hack!Taarifa zinazotoka mjini Goma, ni kukamatwa kwa watu kutoka Afrika kusini, waliosafiria Passport za Tanzania, kuelekea Goma.
Inasemekana, lengo lilikuwa kudukuwa mifumo ya ulinzi inayolinda anga la Rwanda.
Kupitia picha zinazosambaa, inasemekana walipofika Goma, walitumia magari ya MONUSCO.
Vyombo vya usalama na Intelijensia ya M23,iliweza kuwakamata na mpaka sasa, wapo mikononi mwao.
Weee inaonekana ni mwenzao kutoka pale Ngara au???Acha kuizarau Rwanda mkuu
Jamaa wapo vizuri tusijivunia jografia ya kimaeneo
Jamaa wamejipanga wana silaha nzito na mafunzo ya kutosha
Sisi tuendelee na maombi viwanja vya Leaders
Upendo, utu na huruma zetu Tanganyika kwa makatili haya utatugharimu sana mbeleni. Bahati mbaya tuliyaingiza na bado yako mpaka ikulu yanaiba Siri zetu.Weee inaonekana ni mwenzao kutoka pale Ngara au???
Nimecheka sana.Comandoo wa kuvunja tofali kwa kichwa kajisachi kwa amri ya mjeshi wa Rwanda.
Propaganda
huyo anasachiwa na polisiNimecheka sana.Comandoo wa kuvunja tofali kwa kichwa kajisachi kwa amri ya mjeshi wa Rwanda.