Nkwesa Makambo
JF-Expert Member
- Aug 26, 2011
- 4,763
- 1,319
Hivi unaelewa unachojibu lkn? unanidai tena ninukulu andiko mimi wakati mwenzako amedai Yesu alibadilisha vitu na hakuweka nukulu yeyote ya madai yake mazito juu ya Yesu.....vp bwana.....!
Nina maana hicho alichoandika mwenzangu.mbona unashindwa elewa mambo madogo hivi Mkuu wangu ?