Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Wauza mkaa tupo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikubwa ridhiki ipatikane masta!Wauza mkaa tupo
Nyie hamfai kabisa maana mkipata hela mnawaza kugegeda tuuSaidia fundi tujuane hapa
Kula tuu ujaze tumbo kesho nayo siku.Naona maza anapika ugali tena daaah
Kumbe nawe jobless, aisee hatari.Majobless wengine ndo tunaamka
Saidia fundi tujuane hapa
Yaani uko jobless halafu unalala au sio🤣🤣🤣Majobless wengine ndo tunaamka
Simu haziiti na zikiita unakuta ni mjinga mmoja anataka umtumie helaTupo tupo aisee tuMekaa tu magetoni tunasbr simu ziite na haziiti dah😁😁
Mnawaza kuloga wanaume tuuTunawaza sana mpaka mabichwa yanaongezeka upana,
Sometimes tunapiga Dili hatari sana
Majobless
Bora kulala, kuna majobless huwa nawashangaa hana inshu lakin anaamka mapema sana anaenda kijiweni anaanza kucheza draft sasa hapo ni kama kuutangazia ulimwengu mzima kuwa huna jobMajobless wengine ndo tunaamka
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sasa Hilo nalo ni la kuwaza jamani? Si ni simu moja tu huko nanjilinji mtu anakaa sawa..Mnawaza kuloga wanaume tuu
Unakaa ndani tuu kama mwali🤣🤣🤣🤣Unambiwa ni kuamuka saa 12 na kuanza ku-tune wasafi fm na kuwasikikiza wakina maulid kitenge,then wanakuja wachambuzi wa mchongo wakina sports arena kikiisha kipind chao saa 5 hiyo wakija mashamsham na-switch clounds namalizia leo tena kipindi cha kina mwijaku mpaka saa 7,wakija mabishoo wale XXL nazima redio.
hapo unapigwa usingizi na kuperuzi jf majukwaa ja ajira mpaka saa kumi na moja narudi tena redioni naanza na wasafi fm kipind cha kina baba levo( chawa wa taifa) cha mgahawa sahivi kinaitwa jana na laeo nakipiga kile mpaka saa mbili.Hapo naanza utaratibu wa kujitetea (kupata msosi) theni saa 4 narudi upendo fm kula injili siku imeisha.....life goes on.
Huko nanjilinji ndio wapi maana napasikia tuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sasa Hilo nalo ni lakuwaza jamani?Si ni simu moja tu huko nanjilinji mtu anakaa sawa..