Ma-jobless thread

Ma-jobless thread

Unambiwa ni kuamka saa 12 na kuanza ku-tune wasafi fm na kuwasikikiza wakina Maulid Kitenge, then wanakuja wachambuzi wa mchongo wakina sports arena kikiisha kipind chao saa 5 hiyo wakija mashamsham na-switch Clouds namalizia leo tena kipindi cha kina Mwijaku mpaka saa 7, wakija mabishoo wale XXL nazima redio.

Hapo unapigwa usingizi na kuperuzi JF majukwaa ja ajira mpaka saa kumi na moja narudi tena redioni naanza na wasafi fm kipindi cha kina baba levo(chawa wa taifa) cha mgahawa sahivi kinaitwa jana na leo nakipiga kile mpaka saa mbili. Hapo naanza utaratibu wa kujitetea (kupata msosi) theni saa 4 narudi upendo fm kula injili siku imeisha.....life goes on.
 
Unambiwa ni kuamuka saa 12 na kuanza ku-tune wasafi fm na kuwasikikiza wakina maulid kitenge,then wanakuja wachambuzi wa mchongo wakina sports arena kikiisha kipind chao saa 5 hiyo wakija mashamsham na-switch clounds namalizia leo tena kipindi cha kina mwijaku mpaka saa 7,wakija mabishoo wale XXL nazima redio.

hapo unapigwa usingizi na kuperuzi jf majukwaa ja ajira mpaka saa kumi na moja narudi tena redioni naanza na wasafi fm kipind cha kina baba levo( chawa wa taifa) cha mgahawa sahivi kinaitwa jana na laeo nakipiga kile mpaka saa mbili.Hapo naanza utaratibu wa kujitetea (kupata msosi) theni saa 4 narudi upendo fm kula injili siku imeisha.....life goes on.
Unakaa ndani tuu kama mwali🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom