Ma-jobless thread

Ma-jobless thread

Bora kulala,kuna majobless huwa nawashangaa hana inshu lakin anaamka mapema sana anaenda kijiwen anaanza kucheza draft sasa hapo Ni kama kuutangazia ulimwengu mzima kuwa huna job
Aisee to me niwe jobless halafu nilale ni big NO...Jamani nyie mguu wa kutoka Mtume kaubariki! Yaani utaipata tu hata kaishu flan... please majobless tusilale
 
Ngoja niwashauri wadogo zangu

Kama wewe ni jobless na una uhakika wa kula na kulala home

Fanya hivi, jichanganye kitaa ujifunze tuvitu vitu twingi twingi kama kunyoa, ufundi simu, ujenzi, udereva

Baada ya muda utapata uelekeo na hautakosa 5000-10,000 kwa siku, usikae tu tafuta ujuzi wowote
 
Back
Top Bottom