Aisee to me niwe jobless halafu nilale ni big NO...Jamani nyie mguu wa kutoka Mtume kaubariki! Yaani utaipata tu hata kaishu flan... please majobless tusilaleBora kulala,kuna majobless huwa nawashangaa hana inshu lakin anaamka mapema sana anaenda kijiwen anaanza kucheza draft sasa hapo Ni kama kuutangazia ulimwengu mzima kuwa huna job
Watu tunabisha tu mjini hapa na tuna miili ya watoto wa miaka 16 wakati tupo 20+Pole sana mkuu, sasa unajikimu vipi?
Huyu atachelewa sana😁😁😁? Dah mie nikiwa jobless naforce balaaaUnakaa ndani tuu kama mwali🤣🤣🤣🤣
LocationNifanyie mpango na mimi aisee
Sasa uende wapi mzabzab mbinu hamna zimeisha.Unakaa ndani tuu kama mwali[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unaforce wapi bwana wewe kwanza wee mwanamke unakuwaje joblessHuyu atachelewa sana😁😁😁?dah mie nikiwa jobless naforce balaaa
Huko nanjilinji ndio wapi maana napasikia tuu
Hahaha umeongea simple sana mshikaji wanguHuyu atachelewa sana[emoji16][emoji16][emoji16]?dah mie nikiwa jobless naforce balaaa
Sasa kazi ngumu lazima ujipoozeNyie hamfai kabisa maana mkipata hela mnawaza kugegeda tuu
Unajichanganya kwa wana unacheza draft, tengeneza mkeka, tongoa mrembo mzuri hapo kitaa, nenda kachote majiSasa uende wapi mzabzab mbinu hamna zimeisha.
Kukaza tu hamna namna muda utafika.Hakuna kukata tamaa
Hahaha wewe kwangu huingii blazaC.E.O wa majobless nipo hapa.
Noma Sana zikiita mvua inanyesha 😂Tupo tupo aisee tuMekaa tu magetoni tunasbr simu ziite na haziiti dah😁😁
Kweli yaani wanakuchukulia poa. Usipokuwa mjanja wa kucheki cheki jikoni kukoje wanaweza wakala wee hawakuwekei chakulaUJobless ni stress sana. Haueshimiki na familia wala jamii inayokuzunguka any way ngoja nikague lindo la mhindi hapa. Over and out😂
Ushawahi kuwa jobles unalala mpka nywele za kisogoni zinataka kuwa uwalaza hahahahaMajobless wengine ndo tunaamka
Aisee balaaa basi tukamtafute mmoja atulogee waajiri watuone na sie majoblessNtwara huko,Kuna wachawii na walozi Hadi shetani anachukua notes kwao
Ofcozz siko jobless, ila nishawahi kuwa jobless Ila silali yaani naamka mapema naingia mjini Kuna zile Dili Hadi za kutengenezea wageni work permit, au residence permit ukijuana na watu wanakuunga mbona... unalala vipi labda huna watuUnaforce wapi bwana wewe kwanza wee mwanamke unakuwaje jobless