MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
Kula ugali huo mwanangu wengine hatuupati huo hahahaNaona maza anapika ugali tena daaah
Kujipoza ni kulala sio kucheza na mbususu tenaSasa kazi ngumu lazima ujipooze
We tafuta mshangazi ndio muajiri wako, halafu piga simu😆😆😆😆😆Aisee balaaa basi tukamtafute mmoja atulogee waajiri watuone na sie majobless
Nipe kazi sasa tuuze bikini hzooJamani natafuta sehemu ya kuweka kibanda niwe nauza kyupi z wanawake na huduma za mpesa
Big dog posseTunawaza sana mpaka mabichwa yanaongezeka upana,
Sometimes tunapiga Dili hatari sana
Majobless
Suree watu wanakuchora tu.Bora kulala,kuna majobless huwa nawashangaa hana inshu lakin anaamka mapema sana anaenda kijiwen anaanza kucheza draft sasa hapo Ni kama kuutangazia ulimwengu mzima kuwa huna job
Lishangazi lenyewe sii ndio wewe.We tafuta mshangazi ndio muajiri wako,halafu piga simu😆😆😆😆😆
Una ambiwa tu Kuna ukoko wa wali umebaki vipi utakula au tuwape bata😂Kweli yaani wanakuchukulia poa. Usipo kiwa mjanja wa kucheki cheki jikoni kokoje wanaweza wakala wee hawakuwekei chakula
MTU mwingine anaeza hisi unatania....pole toka Nani kajimix njeNdo nakula mkate nusu wa jana. Nusu mwingine nilikula usiku
🤣🤣🤣🤣🤣 Inabidi uwe mpole.Una ambiwa tu Kuna ukoko wa wali umebaki vipi utakula au tuwape bata😂
Hahaha kuna siku nikasema wacha nikazurule nitapata chochote hahaha kweli nilizurura.Unajichanganya kwa wana unacheza draft, tengeneza mkeka, tongoa mrembo mzuri hapo kitaa, nenda kachote maji
Asante.MTU mwingine anaeza hisi unatania....pole toka Nani kajimix nje
Mbususu n muhimu sana kwa afya na kaziKujipoza ni kulala sio kucheza na mbususu tena
Unaweza jikuta unazurula mji mzima na usipate chochote unapigwa na jua tu😂Hahaha kuna siku nikasema wacha nikazurule nitapata chochote hahaha kweli nilizurura.
Khaaaaa!!! Wewe si upo wizara ya Ummy Mwalimu'Kuna hela naisikilizia' ndio kauli mbiu
Ndo kilichotokea pigwa sana jua... watu walioshiba humu wanaongea simple sana mpka unasema hiiii.....baghosha!!!Unaweza jikuta unazurula mji mzima na usipate chochote unapigwa na jua tu[emoji23]
Jobless ni sonona sana, unakuwa unatamani muda uyoyome giza liingie, unaweza kutoka unatembea hujui unaenda wapi ila kwa sababu ni barabara imenyooka unaifatisha hadi utakapo choka.Unambiwa ni kuamuka saa 12 na kuanza ku-tune wasafi fm na kuwasikikiza wakina maulid kitenge,then wanakuja wachambuzi wa mchongo wakina sports arena kikiisha kipind chao saa 5 hiyo wakija mashamsham na-switch clounds namalizia leo tena kipindi cha kina mwijaku mpaka saa 7,wakija mabishoo wale XXL nazima redio.
hapo unapigwa usingizi na kuperuzi jf majukwaa ja ajira mpaka saa kumi na moja narudi tena redioni naanza na wasafi fm kipind cha kina baba levo( chawa wa taifa) cha mgahawa sahivi kinaitwa jana na laeo nakipiga kile mpaka saa mbili.Hapo naanza utaratibu wa kujitetea (kupata msosi) theni saa 4 narudi upendo fm kula injili siku imeisha.....life goes on.
Hapo unaomba Mungu usijeee ukaumwa na kuzidiwa tu maana mtafutano wake sio poaaa.jobless ni sonona sana,unakuwa unatamani muda uyoyome giza liingie,
Unaweza kutoka unatembea hujui unaenda wapi ila kwa sababu ni barabara imenyooka unaifatisha hadi utakapo choka.
Ni wakati ambao simu inayoingia ni ya Branch wakikukumbusha kulipa deni lao pamoja na sms za songesha na nipigie tafu.
Mungu awe pamoja nasi hustler, jobless.
Tukiwa hai tutasimulia[emoji120][emoji120]
Mimi huwa nalala hadi naamka kupumzikaUshawahi kuwa jobles unalala mpka nywele za kisogoni zinataka kuwa uwaraza hahahaha