Von_Lufuta
JF-Expert Member
- Mar 19, 2023
- 1,528
- 3,641
Bado Giza, endelea kulalaNdyo naamka hapa jobless
Wee😳 sema kweli?Jamani natafuta sehemu ya kuweka kibanda niwe nauza kyupi z wanawake na huduma za mpesa
Unataka uwe mteja wake?🥰😍Wee😳 sema kweli?
Back in days kipind nipo secondary nilikuwa nikisoma kwnye civics zile aina za umaskini sijui absolute poverty na relative poverty kama sijakosea nilikuwa najua utani ila sahvi ndo nazieleewa vizuri sana.Kuna maisha unapitia Unawez hisi Tanzania nzima ni wewe tu ndio unaisha hivyo kumbe kiuhalisia ni wengi wanapitia hiyo hali. Ngoja tuendelee kupambana
Iko hivyo ndio maana utakuta unapiga mishe ambayo haukuwahi kuwaza kufanya ili maisha yaende. Maisha huku mitaani yametufundisha vitu vingiBack in days kipind nipo secondary nilikuwa nikisoma kwnye civics zile aina za umaskini sijui absolute poverty na relative poverty kama sijakosea nilikuwa najua utani ila sahvi ndo nazieleewa vizuri sana.
Graduates wanapitia wakati mgumu sanaKula mpakani ukila saa 3 usiku imeisha hiyo....unaweza piga chapat zako maharage kibos au ukipata vichenji vya masimango unatoa kitu(ugali) magetoni
Vita ni vikali sana....zilengwa mbali zitendwaa mbali.Maisha ni magumu mno
🤣🤣🤣🤣 HapanaUnataka uwe mteja wake?🥰😍
Acha kuna muda nashukuru sana Mungu coz unakuonesha watu ambao wako real na wewe....Graduates wanapitia wakati mgumu sana
Sema tu mrembo. Haya maongezi ni from me and you To yeye ambae ndio mwenye hii biashara🤣🤣🤣🤣 Hapana
Deal ipo mwalimu. Although we're Very poor lakini tutabusiana.. ooh sorry, tutabustiana hivyohivyo.Likizo ndo hii...mienipe tu deal nifanye hii likizo
Umenikumbusha mbali sana kipindi nimetoka chuo sina kazi nipo mtaani sina hata mbuni mfukoni nasikiliza clouds kuanzia power break fast naitwa kunywa chai ya mama, then narud room kusilizia leo tena, kinaiingia xxl katikati ya kipind nashtuliwa kula mchana then narud room kusiliza jahazi ikiisha jahaz naingia kitaa kuchek wana kubadilishana mawazo, yani hiyo ni daily routine dah lile life sio poa.Unambiwa ni kuamuka saa 12 na kuanza ku-tune wasafi fm na kuwasikikiza wakina maulid kitenge,then wanakuja wachambuzi wa mchongo wakina sports arena kikiisha kipind chao saa 5 hiyo wakija mashamsham na-switch clounds namalizia leo tena kipindi cha kina mwijaku mpaka saa 7,wakija mabishoo wale XXL nazima redio.
hapo unapigwa usingizi na kuperuzi jf majukwaa ja ajira mpaka saa kumi na moja narudi tena redioni naanza na wasafi fm kipind cha kina baba levo( chawa wa taifa) cha mgahawa sahivi kinaitwa jana na laeo nakipiga kile mpaka saa mbili.Hapo naanza utaratibu wa kujitetea (kupata msosi) theni saa 4 narudi upendo fm kula injili siku imeisha.....life goes on.
Umenikumbusha na hiko kipind cha jahazi cha kina george bantu na mussa hussein nacho nakisikilizaga mussa hussein anaijua sana kazi yake sana yule mwamba anajitahidi.Umenikumbusha mbali sana kipindi nimetoka chuo sina kazi nipo mtaani sina hata mbuni mfukoni nasikiliza clouds kuanzia power break fast naitwa kunywa chai ya mama, then narud room kusilizia leo tena, kinaiingia xxl katikati ya kipind nashtuliwa kula mchana then narud room kusiliza jahazi ikiisha jahaz naingia kitaa kuchek wana kubadilishana mawazo, yani hiyo ni daily routine dah lile life sio poa.
Miguu itaniuma kweli....kutoka asubuhi mpaka jioni nimesimama tuDeal ipo mwalimu. Although we're Very poor lakini tutabusiana.. ooh sorry, tutabustiana hivyohivyo.
Najua huwezi kulikataa maana wengi tu wa NALIA NGWENA kwa ugumu wa maisha saa hizi.
tutakutumia kama sanamu wa kuuzia vyupi.. na ulivyo Figured tutapiga mpunga sana hii likizo🥰🥰🥰😋