Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Jobless wakushinda insta na fb
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
roja nimekusoma kwa kina nasongesha tango 496 delta bravo fox uelekeo golf no 4: daahLiman Charlie acha tuendelee kukaza wakati wetu utafika tu
Kesho site mapemaHakuna namna
Bonyeza gaps za wenyewe mkuu😂roja nimekusoma kwa kina nasongesha tango 496 delta bravo fox uelekeo golf no 4: daah
huku wenye kismart na connection wamelamba asali Jw,PT,UT,Tiss nk sie wengine wakati wetu unakuja
Mama anaupiga mwingii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naona maza anapika ugali tena daaah
Kweli yaani wanakuchukulia poa. Usipo kiwa mjanja wa kucheki cheki jikoni kokoje wanaweza wakala wee hawakuwekei chakula
Umetisha Sana mkuu😂Unambiwa ni kuamuka saa 12 na kuanza ku-tune wasafi fm na kuwasikikiza wakina maulid kitenge,then wanakuja wachambuzi wa mchongo wakina sports arena kikiisha kipind chao saa 5 hiyo wakija mashamsham na-switch clounds namalizia leo tena kipindi cha kina mwijaku mpaka saa 7,wakija mabishoo wale XXL nazima redio.
hapo unapigwa usingizi na kuperuzi jf majukwaa ja ajira mpaka saa kumi na moja narudi tena redioni naanza na wasafi fm kipind cha kina baba levo( chawa wa taifa) cha mgahawa sahivi kinaitwa jana na laeo nakipiga kile mpaka saa mbili.Hapo naanza utaratibu wa kujitetea (kupata msosi) theni saa 4 narudi upendo fm kula injili siku imeisha.....life goes on.
Wanafunzi wake wana habari kuwa madam wao mnampango wa kumfanya sanam/mdori wa nguo dukani?[emoji16][emoji23]Deal ipo mwalimu. Although we're Very poor lakini tutabusiana.. ooh sorry, tutabustiana hivyohivyo.
Najua huwezi kulikataa maana wengi tu wa NALIA NGWENA kwa ugumu wa maisha saa hizi.
tutakutumia kama sanamu wa kuuzia vyupi.. na ulivyo Figured tutapiga mpunga sana hii likizo[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji39]
Haya Ndugu zangu! Kumekucha! Muomba Mungu hachoki! Siku nyingine mapambano yanaendelea familia ziko mabegani zinatudai, Dua zetu ni kwa aliye juu.Ndugu zangu ambao ni majob-less habari na amani iwe juu yenu!
Karibuni katika ukurasa wetu tupige story na kupeana moyo kwa kipindi hiki kigumu tunachopitia.. Vilevile kama kuna michongo, ideas, na njia tupeane ili tuweze kutoka katika hii hali.
Nawasilisha.
Mbona haujaniita my wangu kama tuna thread yetu ya kutufarijiMajobless wengine ndo tunaamka
[emoji23]Yaaan sio shida zangu
Cha kuadimika kipenzi"Una mia ya karibu hapo?"
Khaaaa [emoji23] cha kufiaJamani hamna mwanamke humu jobless tukapoze stress za ujobless kwa kugegedana
Ufe kisa nini? Kuwa utapelekewa moto sana🤣🤣🤣🤣🤣Khaaaa [emoji23] cha kufia