Ma-jobless thread

Ma-jobless thread

Unambiwa ni kuamuka saa 12 na kuanza ku-tune wasafi fm na kuwasikikiza wakina maulid kitenge,then wanakuja wachambuzi wa mchongo wakina sports arena kikiisha kipind chao saa 5 hiyo wakija mashamsham na-switch clounds namalizia leo tena kipindi cha kina mwijaku mpaka saa 7,wakija mabishoo wale XXL nazima redio.

hapo unapigwa usingizi na kuperuzi jf majukwaa ja ajira mpaka saa kumi na moja narudi tena redioni naanza na wasafi fm kipind cha kina baba levo( chawa wa taifa) cha mgahawa sahivi kinaitwa jana na laeo nakipiga kile mpaka saa mbili.Hapo naanza utaratibu wa kujitetea (kupata msosi) theni saa 4 narudi upendo fm kula injili siku imeisha.....life goes on.
Umetisha Sana mkuu😂
 
Deal ipo mwalimu. Although we're Very poor lakini tutabusiana.. ooh sorry, tutabustiana hivyohivyo.

Najua huwezi kulikataa maana wengi tu wa NALIA NGWENA kwa ugumu wa maisha saa hizi.

tutakutumia kama sanamu wa kuuzia vyupi.. na ulivyo Figured tutapiga mpunga sana hii likizo[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji39]
Wanafunzi wake wana habari kuwa madam wao mnampango wa kumfanya sanam/mdori wa nguo dukani?[emoji16][emoji23]
 
Nilifanya kazi ya saidia fundi tukawa tunachimba pemben ya ukuta(ulikuwa mfupi ila mfupi kwa juu kulikua na waya kama wa senyenge umesapoti inchi6 tofali) tulikua tunachimmba mtaro wakupitisha bomba.. ilikua kipind cha masika kwahyo mkichimba leo usku mvua ikinyesha kaz kama inaanza tena kesho yak.. stori iwe fupi tunakaribia kumaliza kaz hapo tushachimba mpaka usawa wa kifua tulikua kama wa tatu hvi mi nilikua mwishon kuelekea upand ambao tunachmba ghafla nikamskia mmoja yupo nyuma yang anapiga kelele ukuta una dondoka sikutaka kujua kama ni masihara nikaacha sululu nikatoka fasta mule ndan yaan zilikua rehema za God tu kuchomoka mule ila ndo ilikua ni safar ya mbngn au ulemav wa milele jinsi zile tofali zilivyojaa kwnye mtaro na kulikuwa na sink la mabomba kama kumi na zaid limejengew kweny huo ukuta nikaapa sirudi tena... lakn kesho yak asubh kuamka nikasema dharau za mtaan na huu ujobless bora nirudi tuu kwenye Ngungwa.. Tulitoa kifusi cha tofali kuanzia saa mbil mpaka saa 12 jion na tulikua wa2 saba.. Halaf ukirud mtaan unawaskia wanges wanajadili wanapenda kuchagua kazi hawa,,,

sema UJOBLESS k*m*ny**o
 
Ndugu zangu ambao ni majob-less habari na amani iwe juu yenu!

Karibuni katika ukurasa wetu tupige story na kupeana moyo kwa kipindi hiki kigumu tunachopitia.. Vilevile kama kuna michongo, ideas, na njia tupeane ili tuweze kutoka katika hii hali.

Nawasilisha.
Haya Ndugu zangu! Kumekucha! Muomba Mungu hachoki! Siku nyingine mapambano yanaendelea familia ziko mabegani zinatudai, Dua zetu ni kwa aliye juu.
DM's,PM's zetu ziko wazi kwa aliye na mchongo, kazi kibarua hata ideas tunapokea.
Msiache tusubiri jua lizame ili turudi kulala.
 
Back
Top Bottom