Von_Lufuta
JF-Expert Member
- Mar 19, 2023
- 1,528
- 3,641
Muda wote nitakuwa nyuma yako kukupa support πMiguu itaniuma kweli....kutoka asubuhi mpaka jioni nimesimama tu
π€Muda wote nitakuwa nyuma yako kukupa support π
Najua upo tayari.. nimekuskia kimoyomoyoπ€
Kaz imenishinda aiseeNajua upo tayari.. nimekuskia kimoyomoyo
Tunawaza sana mpaka mabichwa yanaongezeka upana,
Sometimes tunapiga Dili hatari sana
Majobless
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ndo life jombaaaMaisha haya! Kuna muda unaweza ukawaza mpaka ukajikuta unacheka mwenyewe tu kudadeki.
Ipo ya mbali Mkuu ππ"Una mia ya karibu hapo?"
sasa mwanaume atatoa nn!! nyie munavyo vy kutoa ili kupunguza ukali wa maisha hata mukiwa majoblessIla nyie jamani bora jobless mwanamke kuliko mwanaume, yaani wanatia huruma sana sanaaaa[emoji17]daah!!!
Tukiacha utani hakuna kitu kinaumiza kama kuamka asubuhi huna kazi ya maana unaumiza kichwa ufanye nini upate hata hela ya kuishi, maisha ya kutikua na kazi ni fedheha nyie acheni unaeza kupata dharura huna hata mia mfukoni unaanza kupiga simu hata kama hupendi inabidi tu.Ndugu zangu ambao ni majob-less habari na amani iwe juu yenu!
Karibuni katika ukurasa wetu tupige story na kupeana moyo kwa kipindi hiki kigumu tunachopitia.. Vilevile kama kuna michongo, ideas, na njia tupeane ili tuweze kutoka katika hii hali.
Nawasilisha.
Ushauri mzuri sana kwakweli skuizi ujuzi unasaidia sana kuliko ma degree tulokua nayo hayana faida.Ngoja niwashauri wadogo zangu
Kama wewe ni jobless na una uhakika wa kula na kulala home
Fanya hv jichanganye kitaa ujifunze tuvitu vitu twingi twingi kama kunyoa,ufundi simu,ujenzi,udereva
Baada ya muda utapata uelekeo na hautakosa 5000-10,000 kwa siku,usikae tu tafuta ujuzi wowote
Mwanamke hajawahi kuwa jobless ilhali ana duka la jumla..Ila nyie jamani bora jobless mwanamke kuliko mwanaume, yaani wanatia huruma sana sanaaaa[emoji17]daah!!!
Location
Acha kuna muda nashukuru sana Mungu coz unakuonesha watu ambao wako real na wewe....
"Always hard time reveal true friend"
Life goes on.
Liman Charlie acha tuendelee kukaza wakati wetu utafika tukwema majoblesi wenzangu
kwangu mimi mtaa umenichapa balaa ,nimechapika ila sija surrender najua stress na starvation ndio ugonjwa wetu tulio wengi.
kwangu mimi ili kusavaivu nimejiegesha kwenye ka kampuni kamoja kaulinzi hapa kwa jiji la chalamila. ila kutoa ruhusa tu ya kupiga sahili ni mtiti kanazingua balaa
majuzi kati nilikua utumishi kupiga pepa ,yule msimamizi itabidi afunguke tu hvii ww kwenye hii picha ndio wewe mfwende?
wanangu najua wapo walio give up,wapo wenye ahueni, tupo wengine tunaozidi kwenda ila imani ndio nguzo zetu. ni seme tu majoblesi MUNGU asimame na sisi daima kwenye msoto huu tunaopitia.
Hakuna namnaSaidia fundi tujuane hapa