Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Vibaya mnooo hata nje sijui panafananajeNa huko kwako mvua inanyeshaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vibaya mnooo hata nje sijui panafananajeNa huko kwako mvua inanyeshaa
[emoji23][emoji23] kwahiyo hapo mwepesii na kibunda kinasoma my wangu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nimetoka kula mshahara wa mtu narudi zangu nyumbani
Mvua ya leo jamani nilijikuta nasema asante Yesu mi ni joblessVibaya mnooo hata nje sijui panafananaje
Yaani nawaza na hii mvua na vile hatuna magari [emoji23][emoji23] mwendokasi au daladala kukanyaganaMvua ya leo jamani nilijikuta nasema asante Yesu mi ni jobless
Usinitafute maneno[emoji23][emoji23] kwahiyo hapo mwepesii na kibunda kinasoma my wangu
Nimewaza vile nikiwa kwenye daladala nimekaa dirishani kwenye foleni ninavyovikosoa vi vitz vi IST na vi march vya watu utasema mi nna range 😀😀Yaani nawaza na hii mvua na vile hatuna magari [emoji23][emoji23] mwendokasi au daladala kukanyagana
[emoji23][emoji23] tena vinaitwa vitoyNimewaza vile nikiwa kwenye daladala nimekaa dirishani kwenye foleni ninavyovikosoa vi vitz vi IST na vi march vya watu utasema mi nna range [emoji3][emoji3]
Leo wenzetu hawaloi hata kidogo
Mungu atakufanyia wepesi kipenziI wish ningepata kazi my mom will be happy [emoji22]
Mchongo ni forex trading unaweza komaa miaka 3,5 adi 7 lakini ukitoboa unatengeza Pesa ata ungekaa kwenye kazi miaka 10 uwezi tengenezaNdugu zangu ambao ni majob-less habari na amani iwe juu yenu!
Karibuni katika ukurasa wetu tupige story na kupeana moyo kwa kipindi hiki kigumu tunachopitia.. Vilevile kama kuna michongo, ideas, na njia tupeane ili tuweze kutoka katika hii hali.
Nawasilisha.
Aisee Ina pain sana , ila sitakata tamaa.... Inafika mahali saa nane usiku upo umejifunika na shuka machozi yanatoka tu ukiwaza ,home Hali ngumu , na kinachoniuma ni jinsi bi mkubwa wangu anavyosononeka nafsini first born wake Hana kazi ya kueleweka despite na juhudi zote kwangu kielimu[emoji36]Mungu atakufanyia wepesi kipenzi
me tooI wish ningepata kazi my mom will be happy [emoji22]
Cha msingi ni kutokukata tamaa.. Japo dah it painsme too
Dah nimecheka kama fala 😆🤣😂😝Una ambiwa tu Kuna ukoko wa wali umebaki vipi utakula au tuwape bata😂
Pole sana Victor kikubwa usikate tamaa ipo siku Mungu ataonyesha njiaAisee Ina pain sana , ila sitakata tamaa.... Inafika mahali saa nane usiku upo umejifunika na shuka machozi yanatoka tu ukiwaza ,home Hali ngumu , na kinachoniuma ni jinsi bi mkubwa wangu anavyosononeka nafsini first born wake Hana kazi ya kueleweka despite na juhudi zote kwangu kielimu[emoji36]
Amen ndugu yangu...[emoji120][emoji120]Pole sana Victor kikubwa usikate tamaa ipo siku Mungu ataonyesha njia
Na unavyopenda mbususu qumamake utoboiJamani majobless wenzangu mmekula? Mie nipo hapa nasubiria ugali mlenda wa mama wa kambo. Leo sijapata mishe yoyote