Koffi Annan
JF-Expert Member
- Dec 23, 2018
- 1,771
- 5,087
Hichi kitabu ni cha Lecturer wangu wakati huo nasoma, ameweka citation kutoka JF.
Na hakua mtanzania, JF ni kisima cha maarifa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kawaida, wasioweza kuongea vizuri sana hususani introverts huwa best writers.
😁😁😁 sasa wewe tutakusaidiaje, kaanze kupost twitter, instagram au facebook kama zile za Joel nnanauka
Au unilipe pesa nikufundishe 😁
Tunalipa rent mkuu 😁😁😃😃😃
Itabidi nilipe watu nipate pesa
Wakuu nipo Venue hapa kuna MTU anasoma nyuzi za Robert Heriel na kujifanya ni za kwake huku akijisifu.
Hakika JF sasa ni zaidi ya chuo.
Hivi wanafunzi wa masters utawadanganya kirahisi hivi!
Wakuu nipo Venue hapa kuna MTU anasoma nyuzi za Robert Heriel na kujifanya ni za kwake huku akijisifu.
Hakika JF sasa ni zaidi ya chuo.
Hivi wanafunzi wa masters utawadanganya kirahisi hivi!
Dr. Lwaitama anasemaje?Wakuu nipo Venue hapa kuna MTU anasoma nyuzi za Robert Heriel na kujifanya ni za kwake huku akijisifu.
Hakika JF sasa ni zaidi ya chuo.
Hivi wanafunzi wa masters utawadanganya kirahisi hivi!
Dr. Lwaitama anasemaje?
Inayovutia unacopy tuu!Kama kuna content ambayo inaongeza thamani kwanini asiitumie? Labda ungelalamika kwamba hawaanyi acknoedgement.
😅😅😅😅😅😅Kuna majamaa yenye elimu za kuunga unga yanasema apuuzwe.
Ona hili:
View attachment 3190541
Mpwayungu Village CV inajieleza. Hapo unalo la kuhangaika nalo.
Umeona ehhUnaweza ukahisi lecture amekopi uzi wa Bujibuji Simba Nyamaume kumbe Bujibuji Simba Nyamaume ndio lecture mwenyewe
Acha wivu mkuu. Jamaa ana ID zaidi ya 10 JF. Huwa anajipa promo kwa ID moja na kuna ID ya kidada kilichomfuga Binti Kimoso nayo inakuja kumpamba.
UDSM haiwezi kuchukua takataka za humuUDSM
Course gani
Masters ya nini?
Umeenda mbali mno mkuuChuo jina lake
Jina la lecturer
Jina la course
Course gani
Masters ya nini?
Ndio inabidi uende mbali ili ufikie mbaliUmeenda mbali mno mkuu
Budubudubududu totoDuh aiseee kumbe
Kwa hio madam lecturer ndio ukaona udese jf?Sio tatizo Kuna kitu kwenye kufundisha kinaitwa reference unaweza kutoa taarifa kutoka sehemu yoyote muhimu iwe wazi na iendane na mada