Tatizo ubishoo na utoz mwingi ndo maana Ali disco telecom akaja kuingia kwenye petroleum ila vitu kichwani anavyo kiukwelikuna mtu anaitwa elias kihombo, ni to wa form six,skumbuki mwaka gan ila naskia kuna maajabu kayafanya mpk sasa naskia bado,wakati nipo advance 2015 alikuja school kwetu, alikua anatunga kitabu chake cha physics, na alikua anapiga petroleum udsm, ana mikasa huyu jamaa c mchezo.
Deadbody kama una story yake mkuu ishushe, maana naskia alikua anawadharau hadi maprofesa wanaomfundisha, kwamba hawajui physics.
Lusekelo Kibona alifeli darasa la saba akaenda META akapiga 1.7 akaenda MZUMBE akapiga 1.3 akarudi kwao MBEYA kule FOREST karibu na MAHAKAMA KUU akaanzisha TUITION akaiita MAKUBI...Wadau wa MBEYA wanapajua MAKUBI,,,,ukitokea mahakama kuu MBEYA unakuwa kama unashuka ule mteremko na kwa mbele kidogo kushoto utapaona MAKUBI..Nilishawah kukutana na T.O LUSEKERO KIBONA ikaandikwa historia ya ma T.Os wawili kukutana pamoja yaan Tanzania (o)ne +Tanzania Zero(0) = T.Os.
Mi nime reseat kuanzia chekechea mpaka chuo. Nikipata C nafunga mtaa, lakin bado HELSB wakajichanganya wakanitemea mzigo wote huku nakaa nyumbn, na soon watanipa ajira ila wakinikazia na mimi nawakazia kwenye pesa zao na bahat nzuri zipo kwenye mzunguko
Kavunja vipi jamaa alipiga 97
Inasemekana jamaa ameweka record ya PHYSICS ikavunjwa na MUHAGACHI
huyo huyo boss ..Log yupi huyu mnayemzungumzia vijana
Ex Azaboy to Tosa au kuna log mwingine?
Boss kuwa serious basi .Tatizo ubishoo na utoz mwingi ndo maana Ali disco telecom akaja kuingia kwenye petroleum ila vitu kichwani anavyo kiukweli
Hahaha yuko siku hizi. ?ELIAS KIHOMBO kasema niweke hii picha ili muache kumdis
Okhuyo huyo boss ..
Yeah huyu ndo kihombo naemjua mimi ..KIHOMBO na ubishoo ni paka na panya....Ni sawa na kusema DE MTATA MTATUZI ni handsome
Duuh kwanini sasa? Mr.manywele hahahaaNasikia jamaa hata Petroleum hajamaliza sem 2
Itakuwa hakumliza mkuu. .Ok
Class met wangu aza to Rosa yuko vzr
Alipiga tele pale coet sijui alimazliza au vipi?
Maana kitambo sana
HahahaELIAS KIHOMBO kasema niweke hii picha ili muache kumdis
huyu jamaa
alikuwa TO darasa la saba...
TO kidato cha nne...
TO kidato cha sita...
Mtihani wa matriculation UDSM na vilaza wengine tukiudhuria aliongoza...
Mwaka wa mwisho akimaliza shahada ya kwanza Aliongoza chuo kizima.
ni kijana mdogo mwenye PHD.
pamoja na yote huyu mdau ni mnyenyekevu wala hana mbwembwe.
Picha: Mtanzania mwenye umri mdogo ahitimu PhD ya Uchumi nchini Sweden
Martin Chegere ni mmoja wa hazina ya vijana Tanzania