reyzzap
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 6,813
- 21,807
Nilishawah kukutana na T.O LUSEKERO KIBONA ikaandikwa historia ya ma T.Os wawili kukutana pamoja yaan Tanzania (o)ne +Tanzania Zero(0) = T.Os.
Mi nime reseat kuanzia chekechea mpaka chuo. Nikipata C nafunga mtaa, lakin bado HELSB wakajichanganya wakanitemea mzigo wote huku nakaa nyumbn, na soon watanipa ajira ila wakinikazia na mimi nawakazia kwenye pesa zao na bahat nzuri zipo kwenye mzunguko
Mi nime reseat kuanzia chekechea mpaka chuo. Nikipata C nafunga mtaa, lakin bado HELSB wakajichanganya wakanitemea mzigo wote huku nakaa nyumbn, na soon watanipa ajira ila wakinikazia na mimi nawakazia kwenye pesa zao na bahat nzuri zipo kwenye mzunguko