Doubleg Malafyale
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 2,733
- 3,561
Duuuh sijui tatizo mini?Itakuwa hakumliza mkuu. .
Yko tu k/koo anafundisha tuition
mamba iko katavi naifahamu mkuu, nimesoma kigoma ndani ndani huko tena miaka ya 2002-2005. hakuna waalimu hakuna nini?Hahahah mamba au
Acha rongo we !!! 2005 juzi tuu wakati1- nimetumia
2- plant & animal biology - nimetumia
3- nimefanya - panya, mende na chura ...
2009 niko medical school mwaka 3 piga hesabu six nimemaliza lini
Labda mbele ya nyumbsMtoto mdogo ila hatari sanaaaa afu kama yupo mbele hivi maeneo hayo
Dah nimetumia na mkate mpaka leo nnaoHata wewe ni BRN na inaonekana
1. Slide ruler hukutumia
2. Vine and Rees (a.k.a) hukusoma wewe na labda na wewe ni kizazi cha madesa
3. Inaonekana wewe hakuwahi kufanya dissection ya wale panya weupe kutoka mzumbe
4.Inaonekana hata wakati unasoma hujawahi kusafirishwa na serikali kwa warrant huku ukipewa mkate wa kula njiani
Tumemaliza wote 20041- nimetumia
2- plant & animal biology - nimetumia
3- nimefanya - panya, mende na chura ...
2009 niko medical school mwaka 3 piga hesabu six nimemaliza lini
Acha rongo we !!! 2005 juzi tuu wakati
1.biological science zimesambaa ni nani wa kizazi hicho kwenda kutafuta pointi zilizojificha kwenye "mkate"?
2.2003 na kuendelea scientific calculator zimejaa ni nani wa kizazi hicho wa kukokotoa kutumia rula?
3.2003 na kuendelea ndio tuition za A level zimeshamiri na vijana wakawa wanapiga A kwa kutumia material ambayo yamekwisha kuwa digested na kuwekwa kwenye madesa?
4.Sina shaka yoyote kuwa dissection umefanya lakini PANJA weupe kutoka mzumbe umewakuta au umetumia mapanya koko?
Mimi nilikuwa Mdau sana Mchikichini.
O'level nilipiga namba kwa Mtata De Mtatuzi, jamaa kanipa A ya namba O'level.
Bado sijaona jamaa anae weza shindana Namba na Mtata De Mtatuzi. Hao akina Mwarami sijui Log boy hawafui dafu kwa jamaa.
Form 4 Class of 2010.
Hatar
Alimaliza mwaka gani hapo pugu?Salute kwake,namjua sana huyu jamaa...Alipokuwa analipoti pugu kila likizo zinapoisha lazima afikie nyumbani Gomz anampitia bro waliokuwa wanasoma nae PUGU wanasepa shule,badae nikasikia jamaa kawa BEST STUDENT.
Siyo T.O huyu kiumbe ni hatari haijawahii tokea.jamaa amesoma na bro kachapwa Sana kisa huyo mtuKumbe Martin ni t.o??kuna kazi moja nimefanya nae
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Hahaha
ule ubishi pale Mchikichini kwa Moody Physics kwa hawa jamaa ilikuwa hatari.
Huyo Babu na Gwamaka walikuwa wanasoma namba kwa jamaa mmoja anaitwa Log,
Ilikuwa hatari
Acha utani mkuu [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Siku hiyo naskia pugu walipikiwa wali na nyama [emoji2] [emoji2] [emoji2]
hahahaHabari yako bwana mdogo general, kumbe na wewe umeshindia mihogo na juice za super deep hv juzi juzi?
Mkuu jaribu kuandaa list ya tags ili mzigo ukiingia iwe rahisi kuuona na pia mtu ukiwasha data na kulog in upate notification ya kitu kipya fastNaandaa data za T.O 1993 Mzumbe anaitwa LUSEKELO...Nikipata naiman mzigo utakuwa HEWANI JF