Nilisoma Adv kwake VICTORIA ACADEMY akatuambia alimaliza 6 PUGU 2006 akapata 1.7
PHYSICS-B
CHEM-D
MATH-A
Ila olev alituambia alipiga AZANIA div 1.9 akiwa na "A" 5 ikiwemo PHYSICS,CHEM,MATH,AD MATH,BIO....
Ila sana nikimwangalia katika matokeo ya 2003 azania na 2006 pugu simuoni kabisa
Elimu yetu ya vitini mkuu haina innovation, mfumo wetu Wa elimu ukibadilishwa watu watafanya mkubwakuna yeyote kati ya hao ma-TO aliyefanya jambo lolote katika teknolojia ya sasa?,au ni kupata A tu ndio akili?
Mtoto wa proffesor Mosha (My academic advisor ) nilipokuwa enzi hizo pale sua....
Huyu Binti ndio anaitwa IMMACULATE MOSHA aliyekuwa wa kwanza FORM 4 ,2009 akifuatiwa na GWAMAKA..Binti alipohojiwa TBC akasema kama GWAMAKA akinipita FORM 6 nitakubali anioe bure kabisa.Matokeo ya 6 yeye na GWAMAKA wote walipata one ya 4 na wote wakaingia TOP 10 ila IMMACULATE wa 5 na GWAMAKA wa 8🙂🙂🙂🙂🙂🙂
Kwahio shape hata angempita asingetaka mazoea!
Huyu Binti ndio anaitwa IMMACULATE MOSHA aliyekuwa wa kwanza FORM 4 ,2009 akifuatiwa na GWAMAKA..Binti alipohojiwa TBC akasema kama GWAMAKA akinipita FORM 6 nitakubali anioe bure kabisa.Matokeo ya 6 yeye na GWAMAKA wote walipata one ya 4 na wote wakaingia TOP 10 ila IMMACULATE wa 5 na GWAMAKA wa 8🙂🙂🙂🙂🙂🙂
Mkuu watoto wa kike wakikua huwa wanabadilika sana.....Kwahio shape hata angempita asingetaka mazoea!
Usicheke man, watu wanafikiri kuwini kiskuli ni kama kutafuna biskuti hivi,,,kusoma hadi upate one inahitaji kujitoa kwelikweli in magu voice.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka hatari
Duh ila atakuwa kashaolewa labda na watoto kazaaMkuu watoto wa kike wakikua huwa wanabadilika sana.....
Huyu manzi miaka ya nyuma alikuwa wa kawaida ila naona kwa sasa kawa wa moto kwelikweli.....
Yupo single mkuu ila naskia yupo south africa huko waweza jaribu bahati yako mkuu...D
Duh ila atakuwa kashaolewa labda na watoto kazaa
D tu yenyewe inaabudiwaHahaahah Safi sana mkuu,tuliosoma Advance Math tunajua thamani ya "C"
Kuna kademu ka Moja pale kilakala kalikuwa kanamuwaza huyu dogo kila kukicha.Bahati mbaya hakukuweza hata kumsogelea
GWAMAKA NJOBELO
Hadi huku jamaaa kawapiga BAO(Kawa TO)