Ma-TO walipofunikwa na Sylivester Mwageni (True mathematician)

Form four ajamaliza Mwaka 2003, na ajapata A ya math o' level.
Form six alimaliza mwaka 2005 na sio 2006, inawezekana alipata point 7 nachokumbuka alikuwa na A moja tu ya math.
 
Mtoto wa proffesor Mosha (My academic advisor ) nilipokuwa enzi hizo pale sua....
 
Kwahio shape hata angempita asingetaka mazoea!
 
Jamani wale wa MZUMBE 2015 kuna dodo alikuwa yuko vizuri sana O-level japokuwa alisoma shule mbovu, anaitwa ERICK KAMBONA kama kuna anaejua maisha yake ya mzumbe na six alitokaje anisaidie kushare
 
Hivi Hawa Ma TO wakienda chuo madarasa yao si wanachanganywa tu Na Vilaza? Vipi Huwa hawapotezi viwango vyao kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…