Evans Richard Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 366
- 759
New ID hana hata wiki JAMII FORUM.Mkishamaliza huu upumbavu wenu wa kuhesabu marks. Mje mtuambie mna hela kiasi gani sasa maana shule mlishamaliza. Wapuuzi wakubwa
Kuwa na id mpya haimaanishi huwezi kuutathmini upumbavu. Kama ulikuwa unafaulu darasani na hujawin in life wewe ni mpuuzi. Hawa mlikuwa mnawasifia wasolve maswali magumu na wao wakajiona miamba, instead of focusing on learning other life skills wao kutwa busy na mivitabu ili wapate sifa kwenu. Now wapo huko jalalani. Ujinga mtupuNew ID hana hata wiki JAMII FORUM.
Tuacha makasiriko jamanii kama hatukusoma ni sisi tusiwakasirikie wenye Akili hata kama hawana Hela ni maisha waliyoamua wenyewe.
Maisha ni kupata na kukosa hamna haja ya kumkasirikia mtu. Mtu akiwa na Hela au asipokuwa nazo haikupunguzii chochote, amini unachokiamini wewe.
Form 4 wamepata matokeo ndio wanajiunga JAMII FORUM na hasira za kufeli, Huu ni Uzi kama nyingine usiweke hasira kwenye vitu vya kawaida kama hivi.[emoji23][emoji23][emoji23]ndo huwa wanapoishia wapuuzi wengi ambao ni soma soma. Broke ass niggaz. Wakati wenzao wanajifunza life skills wao walikuwa busy na mavitabu sasa mwisho kuwa walimu with broke asses
Kupenda kusoma ni passion kama ilivo kupenda muziki au mpira... usilinganishe pesa na passion ya mtu kama ni utajiri ukiwa nao ww inatosha...[emoji23][emoji23][emoji23]ndo huwa wanapoishia wapuuzi wengi ambao ni soma soma. Broke ass niggaz. Wakati wenzao wanajifunza life skills wao walikuwa busy na mavitabu sasa mwisho kuwa walimu with broke asses
Pesa kuwa nazo ww mkuu... pia punguza wivuKuwa na id mpya haimaanishi huwezi kuutathmini upumbavu. Kama ulikuwa unafaulu darasani na hujawin in life wewe ni mpuuzi. Hawa mlikuwa mnawasifia wasolve maswali magumu na wao wakajiona miamba, instead of focusing on learning other life skills wao kutwa busy na mivitabu ili wapate sifa kwenu. Now wapo huko jalalani. Ujinga mtupu
Upuuzi mtupuKupenda kusoma ni passion kama ilivo kupenda muziki au mpira... usilinganishe pesa na passion ya mtu kama ni utajiri ukiwa nao ww inatosha...
Tuache wivu, kama uwezo wako ulikua mdogo appreciate uwezo wa wengne sio kuleta lonja za hela apa
Kweli kabisaKupenda kusoma ni passion kama ilivo kupenda muziki au mpira... usilinganishe pesa na passion ya mtu kama ni utajiri ukiwa nao ww inatosha...
Tuache wivu, kama uwezo wako ulikua mdogo appreciate uwezo wa wengne sio kuleta lonja za hela apa
Bado tuNaandaa data za T.O 2002 Mzumbe anaitwa LUSEKELO...Nikipata naiman mzigo utakuwa HEWANI JF
Alipiga course gani mkuu πAlipata 4.8 na walikuwa watatu,wawili kati yao ni wanawake.
Nani alikuwa best studentHakuwa best student ila alipata first class ya maana kwa sasa yupo nje baada ya masters ya mathematics udsm
Kumbe mzee wa tunda ulipiga kibaha kongole kwako mkuuuNlisoma kibaha wakati babu A.K.A Jamali na Sylverster wakiwepoo...!! Babu alikuwa anasomaaaaa sio kawaidaa... dorm huwezi mkuta amelala kitanda chake alimpa dogo awe analala pale Pangani dorm C... Sylverster jamaa alikuwa mashoto yanii mkono mmoja anasolve mwingne anabonya Calculator... Kuna jamaa alikuwa Anaitwa Aude kileo hata hakuwa mkali sanaa na wala alikuwa hasikikii but mwisho wa siku akawa T.O.. ilaa tokaa mwaka 2009 nliongia kibaha mpaka 2016 watu nliowahi kuwakubali ni Vichwa ni..
PASCAL SONGORO
PETER URIO
SYLVESTER
GOODLUCK NYONDO..!
Yule wa kisimiri umemsahauHaya ni matokeo ya TO 2013 ILBORU anaitwa ERASMI ,,,,Hakuna mtu aliyethubutu kupata "B" PHYSICS
View attachment 657941
π π πmkuu mbona unja hasiraa sanaa..πππndo huwa wanapoishia wapuuzi wengi ambao ni soma soma. Broke ass niggaz. Wakati wenzao wanajifunza life skills wao walikuwa busy na mavitabu sasa mwisho kuwa walimu with broke asses
[emoji23][emoji23][emoji23]ndo huwa wanapoishia wapuuzi wengi ambao ni soma soma. Broke ass niggaz. Wakati wenzao wanajifunza life skills wao walikuwa busy na mavitabu sasa mwisho kuwa walimu with broke asses