Ma-TO walipofunikwa na Sylivester Mwageni (True mathematician)

Huyo dada hakulingana na Mwizarubi.

Halafu hakusoma Science ,alisoma HKL
 
Ilikuwaje akawa wa kwanza wakati walilingana na MOSSES ?
Kigezo cha jinsia.

Hii ilipelekea mvutano mkubwa ,wengine walitumia kigezo cha kusoma science kimfanye Mwizarubi wengine walitumia kigezo cha jinsia kumfanya Sara awe wa kwanza.

Hii ilipelekea wanafunzi bora ki taifa kwa miaka iliyofuata (mpaka sasa) kutengwanishwa, wale wa science kuwekwa kivyao ,arts kivyao na biashara kivyao .
 
Good Explanation
 
Kumbe nilikuwa bado nakumbuka
 
Yani alitakiwa apige mathematics kama degree mpaka PhD angesaidia Sana kudesign new algorithms n mathematical formula now amesoma civil engineering [emoji22][emoji22][emoji35][emoji35][emoji35]
BABU ashaanza MASTERS
 
Deadbody unampata mwamba mmoja toka ilboru wakuitwa Michael Kundete 2007 alipga iyunga aliongoza, akaenda a- lev pcb 1.3 ilboru 2010 hapo yeye ndo aliongoza
akaenda MD Muhimbili.

S0110/0607

M

MICHAEL KUNDETE

3

I

G/STUDIES-S PHYSICS-A CHEMISTRY-A BIOLOGY-A BAM-
 
Kuna kijana wenu mwingine nimemaliza nae pale sua the same class Dr Julius Luvanga jamaa amepiga banda za kutosha.....

Amevunja rekodi za ma prof wa miaka hiyo nadhani performance yake haijawahi tokea pale kwa kitivo chetu na chuo kwa ujumla.....
Huyu dogo julius luvanga niliwaacha o level huko milimani Rungwe secondary kumbe aliendelea na maajabu yake japo o level alitoka na 13
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…