Masonic 666
Senior Member
- Dec 15, 2017
- 128
- 213
Huyo dada hakulingana na Mwizarubi.Rafiki yangu huyo Fb huko,aligombea UBUNGE Arusha Mjini kwa REMA kupitia CCM akashindwa.Alikuwa wa kwanza OLEV 2002 ILBORU na AKAWA wapili ALEVEL 2005 PCM ILBORU akipitwa na MDADA ambapo walilingana KILA KITU Isipokuwa JINSIA tu hivyo MOSES akawa wa pili na dada wa KWANZA.
Deadbody
Anaitwa Sara.Yah nimekumbuka,siunajua LONG sana mkuu hivyo nafanya KUVUTA kumbukumbu tu.
Kigezo cha jinsia.Ilikuwaje akawa wa kwanza wakati walilingana na MOSSES ?
Good ExplanationKigezo cha jinsia.
Hii ilipelekea mvutano mkubwa ,wengine walitumia kigezo cha kusoma science kimfanye Mwizarubi wengine walitumia kigezo cha jinsia kumfanya Sara awe wa kwanza.
Hii ilipelekea wanafunzi bora ki taifa kwa miaka iliyofuata (mpaka sasa) kutengwanishwa, wale wa science kuwekwa kivyao ,arts kivyao na biashara kivyao .
Kumbe nilikuwa bado nakumbukaKigezo cha jinsia.
Hii ilipelekea mvutano mkubwa ,wengine walitumia kigezo cha kusoma science kimfanye Mwizarubi wengine walitumia kigezo cha jinsia kumfanya Sara awe wa kwanza.
Hii ilipelekea wanafunzi bora ki taifa kwa miaka iliyofuata (mpaka sasa) kutengwanishwa, wale wa science kuwekwa kivyao ,arts kivyao na biashara kivyao .
Sara Heche or...ambae yupo kwenye hedging companies mbeeleAnaitwa Sara.
Oii Mkuu huyu jamaa si ashwahi kuhojiwa nah sallama kwenye mkasi. ?Let' s conclude, TO wa mda wote ni Dr. Martin chegele ambaye anahadhiri( UDSM), mshauri wa uchumi mkubwa ajaye.
Huyu dogo julius luvanga niliwaacha o level huko milimani Rungwe secondary kumbe aliendelea na maajabu yake japo o level alitoka na 13Kuna kijana wenu mwingine nimemaliza nae pale sua the same class Dr Julius Luvanga jamaa amepiga banda za kutosha.....
Amevunja rekodi za ma prof wa miaka hiyo nadhani performance yake haijawahi tokea pale kwa kitivo chetu na chuo kwa ujumla.....
Huyo dogo jully luvanga aliingia top ten kwa combination ya CBA advance aliweka 4, so hajaanzia chuoYou mean sua Jamaa alikua mpole Sana ila chuo na high school ni tofauti Sana how to tackle problems
Hao waliomaliza form 6 2007 ndo waliopigwa na martin chegere toka darasa la 7 mpaka form sixDeadbody unampata mwamba mmoja toka ilboru wakuitwa Michael Kundete 2007 alipga iyunga aliongoza, akaenda a- lev pcb 1.3 ilboru hapo yeye ndo aliongoza
akaenda MD Muhimbili.
2007 alimaliza advanc co o levHao waliomaliza form 6 2007 ndo waliopigwa na martin chegere toka darasa la 7 mpaka form six
aliyekuwa t.o udsm km unavyoita mwaka jana alikuwa Danny toka pspa.Huyo Zawadi Mdoe alikuja kuwa T.O wa Udsm mwaka jana... hatari sana huyo mtu... nadhani alipiga G.P.A ya 4.8 au 4.9
Anamzidi lipumba?TO wa muda wote ni Martin Chegere... wengine wote hao chenga tu...