Maadhimisho ya miaka 100 ya Shule ya Sekondari ya Old Moshi. Tukutane Wahandisi tuliosoma hapo

Nyie jamaa mlikua mnafujo za kitoto Sana ,mlikuja Moshi tech,tukawafunga mkalianzisha fujo la hatari,Moshi nzima hakuna shule badae ikawa inatamani kucheza na nyie,maana mkishinda Ni fujo,mkifungwa Ni fujo,
 
Nyie jamaa mlikua mnafujo za kitoto Sana ,mlikuja Moshi tech,tukawafunga mkalianzisha fujo la hatari,Moshi nzima hakuna shule badae ikawa inatamani kucheza na nyie,maana mkishinda Ni fujo,mkifungwa Ni fujo,
Mkuu tulikuwa wababe kweli kweli siyo kitoto mob psychology nayo iliteka akili zetu
 
Mkuu tulikuwa wababe kweli kweli siyo kitoto mob psychology nayo iliteka akili zetu
Kwenye ubabe ilo nakubali,alafu ubabe ilikuakinachangua shule ilikua na mchanganyiko wa watu wengi kutoka mbali mbali ,na sio ukanda wa Moshi na Arusha pekee,shule zilikuaga chache,unakutana pande la mtu limetoka Kanda ziwa uko ndani ndani,limeshiba kweli kweli,songea uko,kigoma kwa hiyo ubabe ubabe tu
 
Uzi nimeupost week mbili zilizopita Sasa nashangaa leo ndio mnaibuka
Hukutaka tuuone? Waambie Mods waufute tutafungua wetu alaaa!! Itakuwa wewe ulipita old siye tulisoma pale siyo kupita Bubu muuza madonati na Mangire wanatufahamu tulikuwa nyoko kuanzia shule, kitandu, rau hadi international school of Moshi kulikuwa na kijiwe cha banana wine bythen, futa uzi wako
 
Despite shule za serikali kutoa karibia viongozi watoe wa nchi hii na watalaam wa mwanzo kabisa, zimeendelea kuwa na miundombinu mibovu na kuporomoka kielimu.

Hizi shule zinahitaji renovations tu zirudi katika hali yake ila zimetushinda, kama wakoloni wasingezijenga tungeendelea na shule za kata zinazojengwa kama mazizi ya ng'ombe ila just maintaining them kumetushinda. Ukitaka kazi yako iharibike mpe muafrika they say.
 
Shule inaitwa MOSHI SEKONDARI ,Ukarabati kwenye zile shule kongwe zilizokarabatiwa sidhani kama hii iliachwa I hope itakaua ilikarabatiwa...Mazingira ya shule hii ni mzuri Ila nilishangaa majengo yake na ramani yake inafanana Na Same Secondary
Zote zimekarabatiwa
 
Huyo dogo yupo uarabuni
 
Nimesoma pale 2009-2011 hizo uniform nyeusi trousers sweat kijivu zimeanzia intake yet, I miss Old boys
 
Watakaokuwepo eneo la tukio watupie picha za matukio mbalimbali yatakayokuwa yakiendelea hapo DH kwa mzee Omary. I miss sana mzee Omary siku ya wali nilikiwa napambanisha Pot la table yetu lipo full na ndiye Saver wa siku za J3 mchana na ijumaa mchana wali days.
 
Enzi zetu Physics tulifundishwa na walimu kutoka Urusi. Yaani yule mwalimu alikuwa ni full engineer na alifufua mpaka Lori la shule, na baadae tukaletewa mtambo wa sinema kutoka Urusi, na sinema maarufu iliitwa KUKARACHA.. [emoji23] [emoji23]

Nyie itakua ni wale wakongwe mlisoma kabla haijahamishiwa town.
Hongera sana Kwa kumbukumbu za hii shule longer mkuu.

Binafsi nimebahatika kusoma hizi shule longer ( Ifunda Tech na Old Moshi)

Japo sifurahishwi na kitendo Cha kuiita Moshi Sekondari badala ya Old Moshi. Ingebaki na jina lake la awali
 
Wewe jamaa una ramli balaaaaa mpaka nimeogopa du!! Ulitoka mwaka gani pale Old tuanzie hapo maana umepatia πŸ’―βœ“
Siwezi kupasahau hapo,nilishawahi pigwa shot ya shingo na waya wa umeme unaotokea kwenye huo uwaziπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wewe mbona ni kama Baraka Mzee wa Mishe mishe?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…