Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,458
- 4,283
Sasa mimi bed langu lilikuwa hapo hapo popo juu ya locker langu nilikuwa nabundia hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahisi aliitwa mama Mringi. Sina hakika lakiniYule mama wa Chemistry sijawahi kujua jina lake halisi zaidi ya "Madam Quantum"😀😀
SahihiNahisi aliitwa mama Mringi. Sina hakika lakini
Wale madaktari msimame dkw Kimaro wa Biology, nasikia aliuawa na Mumewe, Headmaster Mtui, mzee Temba, na wengineiHpn wengine madaktari wakubwa na wakongwe
Sijaelewa hapo mkuu, kwa mujibu wa taarifa yako fuli ni kwamba Kimaro wa Bios aliuwa na mumewe, so hapo HM Mtui, Temba na wengine nao walishiriki kumuua au ipoje hii? Hebu weka sawa hii habari yako mkuu. Naomba kuwasilisha from Kibo 5 hapaWale madaktari msimame dkw Kimaro wa Biology, nasikia aliuawa na Mumewe, Headmaster Mtui, mzee Temba, na wenginei
Wale madaktari msimame dkw Kimaro wa Biology, nasikia aliuawa na Mumewe, Headmaster Mtui, mzee Temba, na wenginei.Sijaelewa hapo mkuu, kwa mujibu wa taarifa yako fuli ni kwamba Kimaro wa Bios aliuwa na mumewe, so hapo HM Mtui, Temba na wengine nao walishiriki kumuua au ipoje hii? Hebu weka sawa hii habari yako mkuu. Naomba kuwasilisha from Kibo 5 hapa
Hapo sasa umeeleweka mkuu awali ulikuwa bado hujaenda DH kupata poridge?Wale madaktari msimame dkw Kimaro wa Biology, nasikia aliuawa na Mumewe, Headmaster Mtui, mzee Temba, na wenginei.
Madaktari walosomeshwa Biology na Mama kimaro wasimame dk moja wamkumbuke.
Mtui alikua H/MASTER,Temba mwalimu wa nidhamu wote ni marehemu
Mengi kasoma SihaNikikutana na Reginald Mengi siku moja akanisalimu,"Habari za siku nyingi.?" Nikabakia kushangaa, kwani tumeonana lini, mpaka nilipofahamu kuwa alisoma Old Moshi kama mimi.
Dr(au Prof?) Massawe, by the way, amesoma Old Moshi. Yule aliyekuwa daktari bingwa wa watoto. Massawe, tulikuwa dormitory moja. He was sleeping on the bed right next to mine.
Namba za Hangang na Shengena. Muda mwingi kwa dukani kwa Mangile, fegi na mneliOld school tumepiga sana hapo na kina Contour, Chura, Billo boy, Macgun, Shofu, kipindi hicho tunacheza mechi na polisi wa hapo ccp na kuwachapa magoli na virungu juu tulikuwa watukutu kweli mabweni yote kuanzia Shengena,Meru, Hanang, Kibo na Mawenzi tunalala ilikuwa full shangwe. By then niliishi Kibo 5 na kwenye bed langu juu kulikiwa na tobo la kuingia darini incase ya soo nazama na kuchemsha maji kwa direct heater misumari ila tulikuwa mapopo balaa tukatoboa Bro wangu nae tulikuwa nae now Dr. Somewhere Dar, mimi naendelea kupambana na hali yangu sehemu fulani sikuwa mjinga na nilipata ka BA. kanani push kwenye maisha kitaa
Unakumbuka donati za bubu?Mama Recho na chapati zake na mandazi, Halafu kuna mama Deborah naye alikuwa mke wa jamaa wa Gs Mzee Maganga.... Dah Good old days
Sana tu mpaka nikamtongoza Bubu mwenyewe nilipata kibangala pale Meru 16 navuka fensi tu kwenda kwenye kistone chake.Kwa Mangile kule kucheki blue hadi 8 usiku tukiwa 100 alafu watu wanatoka mdogo mdogo mpaka wanabaki 2
Unakumbuka donati za bubu?
Mzee Maganga alikuwa anajua sanaNamba za Hangang na Shengena. Muda mwingi kwa dukani kwa Mangile, fegi na mneli