Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
HaswaEnzi zile ndio huu ujamaa wa kupumbaza ulikuwa umeshika Kasi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaswaEnzi zile ndio huu ujamaa wa kupumbaza ulikuwa umeshika Kasi.
Mimi binafsi sioni umuhimu wa kufanya sherehe za huo Muungano, sasa sherehe za nini wakati Tanganyika hatuutaki the same hata huko visiwani hawautaki pia. Bora zibaki sherehe za Uhuru na mapinduzi. Ila ile sherehe ya Muungano sijui nani huwa anasherekeaWakuu natizama maadhimisho ya muungano, idadi ya watu mpaka Sasa ni ndogo mno kulingana tukio lenyewe. Je, ni uwepo wa mvua ama ni watanganyika kutokuona umuhimu wa tukio lenyewe na kukatishwa tamaa na jinsi mambo yanavyoendeshwa nchini?
Maoni yenu wakuu.