Maadhimisho ya miaka 60 ya muungano na idadi ndogo ya mahudhurio uwanjani, nini tatizo?

Mimi binafsi sioni umuhimu wa kufanya sherehe za huo Muungano, sasa sherehe za nini wakati Tanganyika hatuutaki the same hata huko visiwani hawautaki pia. Bora zibaki sherehe za Uhuru na mapinduzi. Ila ile sherehe ya Muungano sijui nani huwa anasherekea
 
Uwanja ulikuwa mtupu kabisaaaaaaa

Chalamila alifanya kazi ya kupokea viongozi tu wananchi hawakuwepo uwanjani at all.

Sasa mtu aache kupambana na maji yaliyoingia ndani ya nyumba yake kwa sababu ya mafuriko aende uwanjani mbona haiingii akilini.

Mtu aache kupambania mkate wake wa siku aende uwanjani kufanya nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…