Maadhimisho ya Uhuru wa Tanganyika, na nafasi ya Kanisa Katoliki

Maadhimisho ya Uhuru wa Tanganyika, na nafasi ya Kanisa Katoliki

Mkuu Yericko, Asante kwa hii, kumbe ni kanisa letu, Takatifu, Katoliki la Mitume, ndilo limetupatia uhuru na sio wale wazee wa naniliu?. Kila siku, nimekuwa nikijiuliza, kwani akiwa Mkristu, ni lazima awe Mkatoliki?!. Nyerere alikuwa Mkatoliki, Mkapa, Mkatoliki na mwaka mmoja kabla Magufuli hajaingia, kuna kitu nilikisikia hapa, japo sikukisema kumhusu Magufuli
Na kweli ikatokea kweli kuwa ni Magufuli, na Magufuli ni Mkatoliki...
This is a very amazing coincidence, kila akiwa Mkristu, inatokea tuu, lazima anakuwa ni Mkatoliki!.
P
Kuna mchango wowote ulio documented kwamba wakatoliki kama taasisi walipigania uhuru? ili tuwe na facts
 
Hakizungumzii mapambano dhidi ya ukoloni bali wakoloni kutawala Tanganyika kupitia dini kama hivi sasa,leo askofu kwenda dodoma toka Shinyanga anateuliwa na Baba mtakatifu vatican,Hospitali kama yetu ya Bugando ina ruzuku,hailipi kodi,wafanyakazi wanalipwa na Serikali bado ni ghali,hiyo super profit nani wanachukua? Ni paskali,Pengo au zinaenda Vatican? Haishangazi kanisa katoliki ni tajiri zaidi duniani lakini pia haliwajibiki kwa yoyote! Pascal Mayalla
 
"The Christian missionaries were as much part of the colonizing forces as were the explorers, traders and soldiers... missionaries were agents of colonialism in the practical sense, whether or not they saw themselves in that light." Walter Rodney How Europe underdevelopment Africa
Yericko Nyerere
 
Fanyeni utafiti mjue mashirika ya dini yanavyosamehewa kodi kwa matrilioni ndiyo mtajua kiasi gani dini zinatumika kuyonya watu na hizo pesa zinaenda wapi
Pascal Mayalla
 
Mpendwa Pascal Mayalla maoni yangu taasisi zote za dini zinazopewa fedha za umma zikaguliwe iwe bakwata iwe kkkt nk sababu ni moja mali ina fitina zake kama ilivyo madaraka na binadamu yyt iwe ayatollah au papa wote tuna majaribu kama lord acton alivypata kusema na alikuwa anamjadili papa specificaly alisem “Power tends to corrupt and absolute power corrupts absolutely. Great men are almost always bad men, even when they exercise influence and not authority; still more when you superadd the tendency of the certainty of corruption by authority"
Sikukuu njema ndugu yangu mpendwa
 
Pale st.peters ndipo maraisi huwa wanachaguliwa kabla ya kwenda kwenye uchaguzi wa maigizo pale dodoma!!!PASCAL MAYALLA ANALIJUA HILO!IPO SIKU NA YEYE ATAIBUKA MAANA ANASALI PALE!!!!NA MIMI NTAJITAHIDI KUANZIA SASA!!!
Mwinyi na kikwete nao walichaguliwa hapo mtakatifu petrol


USSR
 
Hakizungumzii mapambano dhidi ya ukoloni bali wakoloni kutawala Tanganyika kupitia dini kama hivi sasa,leo askofu kwenda dodoma toka Shinyanga anateuliwa na Baba mtakatifu vatican,Hospitali kama yetu ya Bugando ina ruzuku,hailipi kodi,wafanyakazi wanalipwa na Serikali bado ni ghali,hiyo super profit nani wanachukua? Ni paskali,Pengo au zinaenda Vatican? Haishangazi kanisa katoliki ni tajiri zaidi duniani lakini pia haliwajibiki kwa yoyote! Pascal Mayalla
Ndo maana wachina hawataki kusikia habari za Kuigawa nchi yao kwenye parokia, vigango sijui kitu gani vya kanisa katoliki.
Unakuwa unatengeneza serikali ndani ya serikali
 
Yeriko kwenye mada za haya mambo kuna moja aliandika bibi Cecil Matola wakati ni mwanaume mpaka Pascal alivyomkosoa ndiyo akaedit
Nyingine kuna picha kina bibi titi wamevaa mabaibui ya kitambo hata bibi yangu Mwajuma bint Bakari RIP nilimuona nalo yeye akasema wale ni masister wa kikatoliki.
Toka hapo sijisumbui kusoma hii migazeti yake
Unamaajisha masister wa kanisa katoliki waliomsindikiza Mwalimu Uwanja wa ndege kwenda UNO?
IMG_20191208_075920_799.jpg
 
Hakizungumzii mapambano dhidi ya ukoloni bali wakoloni kutawala Tanganyika kupitia dini kama hivi sasa,leo askofu kwenda dodoma toka Shinyanga anateuliwa na Baba mtakatifu vatican,Hospitali kama yetu ya Bugando ina ruzuku,hailipi kodi,wafanyakazi wanalipwa na Serikali bado ni ghali,hiyo super profit nani wanachukua? Ni paskali,Pengo au zinaenda Vatican? Haishangazi kanisa katoliki ni tajiri zaidi duniani lakini pia haliwajibiki kwa yoyote! Pascal Mayalla
Usikariri mambo. Vatican imejitoa kuendesha makanisa na shughuli zote zenye kumilikiwa na kanisa katoliki tangu miaka ya 2000 mwanzoni.

Ndio maana kila mwaka kanisa limeanzisha utaratibu wa harambee maalum inayoitwa mavuno.

Tarehe ya mavuno inapangwa na parokia husika ingawa mara nyingi makanisa yote hupanga tarwhe za mwisho wa Novemba au Desemba mwanzoni.
 
Ndo maana wachina hawataki kusikia habari za Kuigawa nchi yao kwenye parokia, vigango sijui kitu gani vya kanisa katoliki.
Unakuwa unatengeneza serikali ndani ya serikali
Wachina hawakutawaliwa na wazungu. Sisi tuliotawaliwa tumejikuta tukizama ndani ya secularism.

Hata waislam pia wanapoongoza sehemu mojawapo ya wajibu wa kiongozi muislam ni kuifanya nchi anayoongoza kuwa inafuata tamaduni za kimaisha za kiislam.
 
Kuna mchango wowote ulio documented kwamba wakatoliki kama taasisi walipigania uhuru? ili tuwe na facts
Wakatoliki wamesomesha kina Mkapa, Kahama, Kazaura na wazazi wetu katika shule zao na hao waliosomeshwa ndio waliokuja kuwa wataalam wa kwanza baada ya Tanzania kuwa huru.

Kupigania uhuru sio lazima mtu ampikie chakula Mwalimu Nyerere ndipo eti awe anafaa kuitwa mpigania uhuru.
 
Back
Top Bottom