ngozimbili
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 1,398
- 1,012
Kupikia mtu na kusomesha yote hayana uhusiano moja kwa moja na kudai uhuruWakatoliki wamesomesha kina Mkapa, Kahama, Kazaura na wazazi wetu katika shule zao na hao waliosomeshwa ndio waliokuja kuwa wataalam wa kwanza baada ya Tanzania kuwa huru.
Kupigania uhuru sio lazima mtu ampikie chakula Mwalimu Nyerere ndipo eti awe anafaa kuitwa mpigania uhuru.