Maadhimisho ya Uhuru wa Tanganyika, na nafasi ya Kanisa Katoliki

Maadhimisho ya Uhuru wa Tanganyika, na nafasi ya Kanisa Katoliki

Mkuu Yericko, Asante kwa hii, kumbe ni kanisa letu, Takatifu, Katoliki la Mitume, ndilo limetupatia uhuru na sio wale wazee wa naniliu?. Kila siku, nimekuwa nikijiuliza, kwani akiwa Mkristu, ni lazima awe Mkatoliki?!. Nyerere alikuwa Mkatoliki, Mkapa, Mkatoliki na mwaka mmoja kabla Magufuli hajaingia, kuna kitu nilikisikia hapa, japo sikukisema kumhusu Magufuli
Na kweli ikatokea kweli kuwa ni Magufuli, na Magufuli ni Mkatoliki...
This is a very amazing coincidence, kila akiwa Mkristu, inatokea tuu, lazima anakuwa ni Mkatoliki!.
P

Inasemwa hata akiwa Musilama basi awe amesoma huko ukatoliki.
 
Mzee Mohammed Said yu wapi, Jeriko anatupeleka kombo bila tashwishwi
Huyo Mzee ndio Mmbea mkubwa

Juzi kwenye TV namsikia anasema eti ile nafasi ya Mwl. Nyerere kuwa mwenyekiti wa TANU ilikuwa ya Bakari Mwapachu ila Mwapachu akaamua tu kumwachia Mwalimu wakiwa Mwanza.

NI MDINI NA MZUSHI SANA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli mkuu nadhani ni kheri muislam awe raisi kuliko protestant

Akiwaga raisi mwislamu kunaibukaga NGO's nyingine za kutetea haki za binadamu, haki za kiraia, jukwaa LA katiba, nyaraka za kitume

Raisi akiwa katoliki zinapotea
Waislam waliumbwa ili waongozwe sio waongoze.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wachina hawakutawaliwa na wazungu. Sisi tuliotawaliwa tumejikuta tukizama ndani ya secularism.

Hata waislam pia wanapoongoza sehemu mojawapo ya wajibu wa kiongozi muislam ni kuifanya nchi anayoongoza kuwa inafuata tamaduni za kimaisha za kiislam.
China ilitawaliwa na Muingereza hususan Hongkong

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyerere asingesomeshwa na wazungu mimi na wewe tungemjua? asingekuwa na elimu ya Tabora nani angemjua?.

Mkapa asingesomeshwa kule Ndanda mimi na wewe tungemjua?. Acheni siasa zenye kuficha udini ndani yake.

Kahama, Kazaura, Kikenya na wazee wengi wa kaskazini waliosomea shule za wakatoliki kama wasingesoma nchi hii ingekuwa na wataalam awamu ile ya kwanza?.

Unajenga hoja nyepesi kwamba kanisa katoliki halikuwa na msaada kwa kupatikana uhuru wetu huku mkisahau maelfu ya waliosomeshwa enzi hizo ambao baadae mchango wao kwa taifa hili ni mkubwa tu.

Sisi hatukupigana kwa maana ya kuingia misituni nchi yetu iliwekwa kwenye udhamini wa Muingereza hivyo hakuhitaji hata kutumia sindano katika kutuachia uhuru wetu.
Mbona huwataji Waislam Ibrahim Lipumba na Mh.. Jakaya waliosomeshwa katika seminary za kikristo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom