Maadili tunayoyaamini yanatokana na kitu gani?

Maadili tunayoyaamini yanatokana na kitu gani?

nimeongea kiujumla

huwezi kutaja yote
Tutayajuaje sasa kwamba haya ndio maadili? Kwa mfano amri 10 za Mungu tumeambiwa tuzifuate then tutakajiwa ya kwanza hadi ya 10 sasa hayo maadili sisi tunayajuaje?? Tunataka sana kuyafuata ila yapo wapi??

Kama huwezi kuyataja yote yataje hata nusu au robo au unayoyajua tuanzie hapo, wengine wataendelea...
 
Tutayajuaje sasa kwamba haya ndio maadili? Kwa mfano amri 10 za Mungu tumeambiwa tuzifuate then tutakajiwa ya kwanza hadi ya 10 sasa hayo maadili sisi tunayajuaje?? Tunataka sana kuyafuata ila yapo wapi??

Kama huwezi kuyataja yote yataje hata nusu au robo au unayoyajua tuanzie hapo, wengine wataendelea...
maadili ni ile kuamua kufanya jambo ambalo litanufaisha jamii kiujumla

mfano nyuki wafanyakazi walivyo tayari kufa kumlinda malkia wao, ambaye amebeba kizazi kijacho

sasa vitu kama hivi huwezi kuvifahamu vyote, utavijua ukiviona
 
maadili ni ile kuamua kufanya jambo ambalo litanufaisha jamii kiujumla

mfano nyuki wafanyakazi walivyo tayari kufa kumlinda malkia wao, ambaye amebeba kizazi kijacho

sasa vitu kama hivi huwezi kuvifahamu vyote, utavijua ukiviona
Hapa bado naona nyota nyota na mawenge tu anyway, ahsante!
 
Kiranga

Hadithi ni za kubuni ila zinaweza kufikirika, kueleweka na kuchoreka.


Dragons ni dhana ya kubuni pia ila inafikirika, inaeleweka na kuchoreka.


Dhana "Mungu" haifikiriki, kama kuna mtu angeweza kuifikiria ilivyo bhasi tungekua na michoro mingi inayojenga taswira kuihusu.


Hii dhana "Mungu" haifikiriki, haieleweki, hakuna anayeijua, wala kuhisi, wala kubuni mchoro, hakuna anayejua ni nini au ni nani? wala haina sababu ya kutajwa wala kubishania kama haina Maana yeyote.


Hata "AI" haiwezi, Kwasababu hii dhana kwa inavyoelezewa ni sawa na kusema "NOTHING" au "NOWHERE".


Natangaza kuishia hapa unless Nijulishwe maana kamili ya dhana "Mungu".


View attachment 3168162
Huyu hapa ni Mungu wa Kihindi anaitwa Lakshmi Devi


1733335276319.jpeg


Huyu ni Shiva

1733336863565.jpeg


Kwa upande wa mashahidi wa Yehova hii ndio taswira ya Mungu wao.


1733335735407.jpeg


Hapa akiwa na jopo la malaika, yeye ndio huyo hapo mbele ameshika kichuma.
1733336242633.jpeg


Hapa akiwa ameketi kwenye kiti cha enzi

1733336290664.jpeg



Oooh! nitaka nihitimishe kwa kusahau hii

Tunaye pia Mungu Yesu

1733335046666.jpeg


Sory hiyo picha hapo juu haijaenda viral sana. Vipi kuhusu hii?

1733335154623.jpeg
 
Huyu hapa ni Mungu wa Kihindi anaitwa Lakshmi Devi


View attachment 3169074

Huyu ni Shiva

View attachment 3169098

Kwa upande wa mashahidi wa Yehova hii ndio taswira ya Mungu wao.


View attachment 3169085

Hapa akiwa na jopo la malaika, yeye ndio huyo hapo mbele ameshika kichuma.
View attachment 3169089

Hapa akiwa ameketi kwenye kiti cha enzi

View attachment 3169090


Oooh! nitaka nihitimishe kwa kusahau hii

Tunaye pia Mungu Yesu

View attachment 3169068

Sory hiyo picha hapo juu haijaenda viral sana. Vipi kuhusu hii?

View attachment 3169071
HA!HA!HA

Sikuwahi kufikiria kumbe Miungu ilikua inapata hadi muda wa kupiga picha.

Sasa kinachofuata hapo ni Tiktok Challenge.
 
Mifumo mingine ni mtu au watu wananzisha na wengine wanaifuata. Mfano mdogo ni pale ulipokuwa mdogo na ukafundishwa huyu ni ndugu yako huruhusiwi kuoa, na akili yako automatically itafuata utaratibu huo huo bila kuhoji kwakuamini kuwa tukiwa wadogo twawaona wazazi wetu ni watu wanaojua kila kitu na ni watu wenye akili na wasio kosea..

Learning how to think V's What to think
 
Kwenye jamii zetu unaona kabisa Kuna mifumo mbalimbali inayotumiwa kutunza kitu kinachoitwa maadili.

Lakini ili hayo maadili yawe maadili, chanzo chake huwa ni nini hasa.

Kwa nini watu washangae mtu kuwa na mahusiano na baba/mama yake au kaka/dada yake?

Kwani Baba, mama, kaka au dada, si wanawake au wanaume kama wengine? Kwa nini watu waone kama ni kinyume cha maadili?

Hivi mtu akiiba kitu kwa nini ionekane ni kinyume cha maadili. Hivi wizi si uwezo wa kuchukua kitu cha mwingine kwa kumzidi akili?

Hivi chanzo cha kuwepo kwa haya maadili ni nini. Na haya maadili yalianzaje anzaje?

CC: Kiranga , Infropreneur
Jibu ni Ubinaadamu.
Ubinaadamu una maadili, ndio maana tukawa watawala wa wanyama wote.
Nilikua bataka kukuuliza swali lakini maadili yahaniruhusu
 
Kwenye jamii zetu unaona kabisa Kuna mifumo mbalimbali inayotumiwa kutunza kitu kinachoitwa maadili.

Lakini ili hayo maadili yawe maadili, chanzo chake huwa ni nini hasa.

Kwa nini watu washangae mtu kuwa na mahusiano na baba/mama yake au kaka/dada yake?

Kwani Baba, mama, kaka au dada, si wanawake au wanaume kama wengine? Kwa nini watu waone kama ni kinyume cha maadili?

Hivi mtu akiiba kitu kwa nini ionekane ni kinyume cha maadili. Hivi wizi si uwezo wa kuchukua kitu cha mwingine kwa kumzidi akili?

Hivi chanzo cha kuwepo kwa haya maadili ni nini. Na haya maadili yalianzaje anzaje?

CC: Kiranga , Infropreneur
Maadili katika jamii ni jambo linalotokana na mchanganyiko wa historia, tamaduni, dini, na falsafa za msingi zinazolenga kuunda mifumo ya kuongoza tabia za watu ili kuhakikisha mshikamano, usalama, na maendeleo ya pamoja.

- Chanzo cha Maadili

Kuna maadili mengine ambayo yamejengwa kwenye hitaji la asili la kibaiolojia la kuendeleza jamii.

Mfano, mahusiano ya kingono kati ya watu wa familia moja, huonekana kama ni kinyume cha maadili kwa sababu yanaweza kusababisha matatizo ya kijenetiki kwa vizazi vijavyo.

Mahusiano ya kingono ya familia, kama ya baba na mtoto au kaka na dada, yanapunguza tofauti za kijeni (genetic diversity) na huongeza uwezekano wa magonjwa ya kurithi.

Hili limechukuliwa na tamaduni nyingi kama suala la kimaadili kutokana na athari zake za kijamii na kibaiolojia.

Pia, dini zimekuwa ni chanzo kikubwa cha maadili, zikifafanua kile kinachokubalika au kutokubalika kupitia mafundisho ya kiroho.

Dini nyingi zimekemea wizi au mahusiano ya kingono ya ndugu wa familia moja kwa sababu ya athari zake kwa mshikamano wa kijamii.

- Maadili Yalianzaje?

Maadili yalianza kama njia ya kutatua changamoto za kijamii na kibaiolojia katika makundi ya watu wa kale kwa maisha yao ya kila siku.

Wanadamu wa kale waliona wanahitaji kuweka kanuni zinazosaidia wao kuishi kwa usalama na kushirikiana.

Kwa mfano, kushirikiana chakula na kuwalinda wengine, vilihitaji kanuni maalum za "haki" na "uwajibikaji."

Kadiri jamii zilivyokua, viongozi wa kidini, wa kisiasa, au wa kijamii walianzisha sheria na mafundisho ili kudhibiti baadhi ya tabia.

Hizi sheria na kanuni ndizo sehemu ya uundwaji wa maadili tunayoyaona leo.

Na maadili yaliyosaidia jamii kusonga mbele na kushirikiana yalihifadhiwa, na yale yaliyoshindwa kuhimili mabadiliko ya kijamii yalipotea.

Ova
 
Kwenye jamii zetu unaona kabisa Kuna mifumo mbalimbali inayotumiwa kutunza kitu kinachoitwa maadili.

Lakini ili hayo maadili yawe maadili, chanzo chake huwa ni nini hasa.

Kwa nini watu washangae mtu kuwa na mahusiano na baba/mama yake au kaka/dada yake?

Kwani Baba, mama, kaka au dada, si wanawake au wanaume kama wengine? Kwa nini watu waone kama ni kinyume cha maadili?

Hivi mtu akiiba kitu kwa nini ionekane ni kinyume cha maadili. Hivi wizi si uwezo wa kuchukua kitu cha mwingine kwa kumzidi akili?

Hivi chanzo cha kuwepo kwa haya maadili ni nini. Na haya maadili yalianzaje anzaje?

CC: Kiranga , Infropreneur

== Asili ilivyo Mwangaza kwa Yote ==


'MAADILI' NI MOJA KATI YA VITATU AMBAVYO HAUWEZI KUVITENGANISHA--SHAURI-ROHO, MAADILI NA MIIKO

Kwa kuwa kila kitu katika maisha ni alama, utatu huu ndiyo ule khasa hata kwenye dini kama ukristo utaukuta -- Mambo ya Baba, Mwana na Roho Mtakatifu...

Dini za kimapokeo ni 'Usanii'...

Kwa hivyo mambo ya dini yana ‘undani’ na ‘unje’ wake--yanapochukuliwa na mtu/mwanajamii kwa 'tafsiri' zake za nje-nje ndiyo huzaa 'mapokeo' – dini kwa mapokeo.

Dini kwa mapokeo ni finomena ya kijamii; kwa hivyo kuna 'maarifa' yake kubangua mafumbo ya ukweli wake.

Mambo ya undani wa dini, katika hali ya kushangaza, huanza kwenda kinyume na 'udini wa kimakundi'.

Inapotokea mtu na mtu mwingine wanapokwenda kinyume na udini wa kimakundi, halafu 'wakaongozeeka vema' katika 'Utu wao’,hapo ndipo huja 'Udini wa Kweli'--huu, kiufundi, ni finomena ya 'mtu' na 'nuru ya ufahamu'.

Jambo hili ndilo katika mapokeo ya Ukristo, 'waumini' husikia habari za 'Kweli inayoweka mtu huru kweli kweli'...

Kiuono na ufikirifu mifumo, kweli inayoweka mtu huru kweli kweli ni 'mwangaza'; kwa maana ya ualama tafsiri wa 'Shauri lililotaarifika kwa hali ya kawaida na ile yenye kupitiliza kawaida'.

Hili la 'mwangaza' ndiyo limeleta alama ya 'Mwenge wa Uhuru' kwa taifa na nchi-dola ya Tanzania.

Kwa hivyo mtu yeyote ambaye atasikiliza hotuba ya Mwalimu Kambarage Julius Nyerere, Siku ya uzinduzi wa Chama cha Mapinduzi, 1977, ikiwa yeye ni mtu wa kheri na moyo safi, 'Shauri' litakuwa bayana kuhusu shauku ya taifa changa ndani ya ulimwengu wa 'Hadaa' na 'majaribu' ya Kiutu--kwa kauli na dhamiri ya taasisi kuu ya nchi, Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

==Uaasisi wa Mambo : Mwangaza na Taasisi==


SASA, Taasisi ni jambo 'linalochukuliwa poa' na wanajamii wengi, katika hali ya kawaida; na kumbe, hii si 'dhana ya kuchukulia poa'. Kwa kuwa kiuono na ufikirifu mifumo, Taasisi ni Ufunguo wa Sura na Utendaji wa jamii yeyote; iwe Duniani hata Sayari nyingine ambako kuna nasibu ya 'Utu' na 'Kujichagulia'.

Taasisi, kiuono na ufikirifu mifumo ni 'mbegu ya U-JUA-JI' ulio ni chachu ya Fanusi, Utendaji na Uthibiti wa 'Sura na Mienendo ya Jamii'. Sasa maarifa ya kawaida ya jamii, katika shule za 'maarifa na sayansi ya jamii', mashauri yao husadifu hili kwa visomo vya (1) Ufanusi, (2) Nadharia Migongano na (3) Uingiliano wa Alama Oanifu. Haya 'wasomi' hufundishwa, na mara nyingine 'hufungwa visomo' , wasibaini kuwa 'Dini' na 'Dola' ni mambo ya 'Kitaasisi' yaliyojistiri kwa mambo ya 'Uingiliano wa Alama Oanifu'…

Vyote viwili 'Dini na Dola', ni utundu na ufundi wa kucheza na akili za wanajamii kwa ajili ya 'manufaa' fulani--yanaweza kuwa ya wazi ama yakujificha--au yote mawili kwa wakati mmoja; lakini jambo lenyewe khasa ni kujitahidi kuhakikisha 'wanajamii wenyewe' wanaridhia ama kuridhika na uwepo wa Dini/Dola…

Kwa hivyo, ni ajabu na kweli, matatizo mengi ya kiutawala yanauhusiano wa moja kwa moja na 'Dini' ama 'dini zilizopo'--hili ni jambo yunivasali; iwe Duniani ama kwenye Sayari Nyingine yeyote; sayari yenye watu na mambo yao shirikishi. Hii ni kwa kuwa, mambo shirikishi yanawezekana ikiwa tu unaweza kutangamanisha 'fahamu za wanajamii' na 'shauri fulani' linalouzika kwa wanajamii wenyewe kwa uwingi wao. Hili linawezekana kwa utundu wa 'alama' na 'mafungamano' ya hisia na mawazo--mambo ya 'Kujisikia'.

Hisia na Mawazo ndiyo 'chanda na pete' ya 'Utaasisi' wowote; hili ndilo Duniani 'huachwa watu wajitafute wenyewe' na kumbe ikiwa watu hawa hawa wakija ku-JUA ilivyobora; hili litagharimu mapinduzi/mageuzi kwa 'Dini' na 'Dola' zote. Kiufundi, Dola zote Duniani ni 'Mtoto' wa 'Dini'; hili ni kwa kuwa 'Dini' ilizidumu kama 'Taasisi' zenye uwezo wa kustawi na kudumu kuwepo zinalazimika 'kudukua' ufunguo wa mtu/mwanajamii katika ukweli wa shauri la 'Kujichagulia'…

Kwa hivyo, Dini ndizo zinazotawala siasa, wanasiasa, Dola, sayansi na hata tekinolojia--lakini si lazima kwa sura iliyowazi kwa macho. Ili lau ionekane 'dini hazitawali' ndipo labda 'wanajamii' wanatengezewa 'mazingira ya kupumbazika' kudhani 'wanayoyakujichagulia' kisiasa, uchumi na mazingira. Fikra zote kuhusiana na 'Dola' ni zao la uchamvushwaji wa Dini; 'mafundi wa ndani wa 'Dini' ndiyo 'Wasanifu wa Dhana za Dola--Watu na Dola'. Kwa hivyo ikiwa kuna 'Dosari' katika dhana za dola, hili ni kwa kuwa 'kuna dosari kama hizo hizo' kwenye 'Shughuli ya Taasisi ya Dini'.

Shughuli ya Taasisi ya Dini ni 'Mafundisho'--mafundisho ya Kiimani kwa wanajamii. Yawe ya kweli ama yasiyo ya kweli almradi yanatengenezewa 'Kusadikika/Kuaminika' ni 'ufaulu' wa madhumuni yake. Taasisi ya Dini, ni watu wenye 'shauri', 'miongozo' na 'utendaji' unaotafuta 'Waumini'.

==Maadili na Utaasisi==


Maadili ni ujuzi wa Mema ama/na Mabaya kutawala matendo ya mtu/Mwanajamii/Mwanataasisi—mambo ya muangaza wenye kumulika njia za watu/wanajamii katika shauri/mashauri yenye kheri.

Kiuono na ufikirifu mifumo, mbegu ya u-JUA-ji ya Taasisi yeyote ni 'SHAURI'--hili ndilo 'humulikia' mengine yote katika mapana ya usivilai na ustawi wa jamii inayoshiriki shauri lenyewe. Kwa Tanzania kwa mfano, Watu na Dola vimetaasishwa kuwa 'MOJA' kwa shauri la manne katika moja--AMANI, HAKI, UDUGU na UHURU. Labda Dini inajua vema kabisa ukweli wa haya matatu, lakini kama ilivyoada--daima itajiweka mbali 'kiaina' na shauri hili ili wanajamii wenyewe 'wajitafute'.

Watu kujitafuta siyo jambo baya ama tuseme ovu; lakini ikiwa wanajamii wanajichanganya wenyewe hata katika shauri la 'kujichagulia' --katika njia zao ; hapa ndipo hatia ya 'Dini kama Taasisi' inahusika. Kwa sura nyingine, Dini kama Taasisi inaweza kujitetea kwamba 'Wanayo namna'--namna yenye kuchelewa! na labda 'Dini nayo ina wajanja wake', wasio wanadamu wa kuishi miaka 75+, ambao huuza shauri la 'Tumaini la Bure' kwa vizazi vya wanadamu--kulipamba masikioni pa 'wanataasisi-watumishi'. Na huku 'wanataasisi-watumishi wenyewe walio ni binadamu wakipukutika kizazi kimoja hata kingine' pasipo 'Wokovu' wowote wa kweli.

Tumaini, ni chachu cha kuratibia matamanio ya kibinadamu na utu. Kwenye Mashauri ya Dini huja na dhana na 'usadikifu kwa Wokovu Mkuu'; kwa dola huja na dhana za 'kuyaleta maendeleo na ustawi bora wa jamii'. Kwenye Dini, mafundisho yake huwa na khabari za 'watu wabora' na 'Nasaha' za 'Utu Wema'. Kwenye Dola, huja na 'viongozi wawakilishi/watumishi wa umma' na khotuba zao masisitizo ya 'Wajibu wa Kiraia' na 'Ahadi za Nchi-Dola kwa Nchi-Taifa'. Kwenye Dini, ufundi wa kuwajengea 'masifu' wale 'watu wabora' hufungamanishwa na dhamira za kiutu na 'mafumbo yake ya imani'. Kwenye Dola, watu wa uongozi ama/na utawala huanza kuingiwa na 'roho ya utaka-vitu' na hata pia 'kupenda kusifiwa/utukufu', pia kutopenda kuachia madaraka; kutokana na 'tatizo la kiufundi' juu ya 'miundo', 'tawala' na 'mifumo'--ile ile ambao 'mafundi wa dini' wanajua 'asili' yake na huenda ni 'mtego' kwa 'migongano ya kijamii' inayohitaji huduma ya 'Mapokeo ya Udini'.

'Migongano ya Kijamii' na 'Mifumo' huthibitiwa sura zake kwa 'ufahamu kumbaizi wa jamii' unaoratibiwa--mambo ya 'Statusi kwou' kwenye 'sura na mienendo ya jamii'. Ingelikuwa kuna uadilifu wa Mashauri na Matendo, shughuli ya dini ingelifaulu kuleta 'Sovereini Jumuifu' ya jamii za wanadamu. Ingelikuwa kuna uadilifu wa Mashauri na Matendo, shughuli ya Dola ingelifaulu kuleta 'Ujamaa na Kujitegemea' katika jamii za wanadamu. Vyote viwili, Sovereini Jumuifu na Ujamaa vinaishia kuwa 'Utopia' na 'Mambo ya Nchi ya Kusadikika' kutokana na 'upofu wa kiroho'; ule unaozaa 'Watumishi wanaowania madaraka na hali hawana Karama za Uongozi ama pia Madaraka kuwa viti vya kimikakati ya Ujivuni na Viburi'--maradhi ya homa ya Dunia ambayo ni ishara ya ukosefu wa misingi ya kweli ya Utu--kiroho, maadili na miiko.​

== Ujamii na Shauri==


Mwalimu Kambarage Nyerere, wakati wa uzinduzi wa Chama cha Mapinduzi hili alilisema wazi wazi--Chama cha Mapinduzi ni chama cha watu... Watu wanaopaswa kujitoa kwa nchi yao, na mambo yao, kwa ajili ya 'Uhuru wa Pili' wa wananchi walio ni wenyenchi--Uhuru wa Ndani, siyo 'Uhuru wa Bendera'; katika shauri hili Mwalimu alifanya 'jambo la kihistoria kabisa'! Kwa kuwa alizungumza kinaga ubaga juu ya mustakabali wa kiroho, maadili na miiko kwa taifa changa la Watanzania.

Shauri la Madaraka, Wajibu, Utumishi na Uaminifu kwa taifa kama Taasisi ya Watu, Ustawi na Maendeleo, kiufundi, ndiyo nguzo ya Imani ya Chama; Chama cha Mapinduzi, kama Taasisi ya watu wenye Mwangaza bora na tena wenye kutafuta kujinasibu na ‘hakika ya mambo yatarajiwayo’.

Shauri la kuanzishwa kwa Chama cha Mapinduzi ni kwa ajili ya 'Liberti'--Uhuru wa Ndani wa mtu kwa ajili ya 'UTU'. Mwalimu Kambarage Nyerere alikuwa 'fundi' wa 'Ya Dini' na 'ya Dola', ile khasa, kwa kuwa 'liberti' ni 'tunda' la utu unaokomaa na kuiva--na basi, mapinduzi ni kwenda kinyume na 'statusi kwou'; si shauri la wanajamii kuridhia na kuridhika na 'sanaa za tawala'--neno alilolitumia kuiasa jamii ni shauri la kana kutokuwa 'vibaraka'...

Kwenye dini; watu wa karibu na ‘Watu Wabora’ waliitwa 'wafuasi'; hawa, kwa ukaribu wao na watu vipenzi, na kwa mujibu wa khabari zao, walikuwa 'wakitafuta njia'--njia ya uadilifu na kufaa siha njema --na mengine 'yenye asili ya kiroho'; kwa Dola na Mifumo, msimamo wa mtendaji yeyote wa umma na serikali, ikiwa una uadilifu, thawabu yake ni siri ya 'Roho na Utu' wake; mengine ni 'Sanaa ya Kuonekana mwema'... Wanajami inawapasa ku-JUA ilivyobora; Viongozi na Watu wa madaraka ni muakisiko wa jamii yenyewe kiroho na usivilai.

Rizayati ya Utu bora ni jambo linalowahusu wanajamii wote; miundo ya utendaji yenye 'watawala' na 'watawaliwa' huratibiwa kwa fanusi ya 'Tumaini'. Wakati mmoja tukishafaulu kuhitimi vitendawili vya 'Dini' na 'Dola' hatutakuwa na Utaasisi wenye ngazi juu ngazi kimamlaka na utendaji kama leo tunavyofanya kwa 'Utatu' wa 'Bunge', 'Serikali' na 'Mahakama'... Kwa kuwa utendaji huu daima ni muhanga wa 'ukiritimba' na 'Urasimu'--inategemeana na 'kwiva kiroho' kwa wanajamii wenyewe; ikiwa wanajamii hawajaiva kiroho basi watakuwa wahanga wa 'kuona daima wanaonewa' ama wanadhulumiwa na watawala kana kwamba hawana la kufanya--ila kusubiri 'Mungu aingilie Kati'; ama 'Masiha' fulani aje 'Kujitoa Muhanga' kuwakomboa... Siasa ndiyo hutumia huu mwanya wa 'tumaini pereniali' la 'kiongozi mkombozi'... AMBAYE HAYUPO/HATAKUWEPO!

Kudhani mapinduzi ni kuwang'oa madarakani viongozi 'waliota pembe' ni shauri mushkeli la utu unaoishi na tumaini tupu. Mtu yeyote ambaye hana "karama ama nuru ya kweli ya Kiroho' ataishi kudhani ukombozi unatoka nje yake!

Ukweli wa ukombozi wa mtu/mwanajamii ni mwangaza wake kwa utu wake na mambo yake. Hili ndilo msingi wa Taifa la Tanzania kuwa na alama ya 'Mwenge wa Uhuru' kwenye nembo zake zote za taasisi kuu za ustawi wa jamii--iwe Majeshi ama hata Benki Kuu kwa mfano... Chama cha Mapinduzi kina mwenge kwenye nembo yake-- kwenye bawa lake la vijana--alama inayofanana na 'nembo iliyoko kwenye sarafu ya Shilingi Moja ya Tanzania' kwa kuwa 'kazi' na 'kujichagulia' ni 'kiini cha mapinduzi' katika ‘utu wa dhahabu’.​

== Ujamii na Fanusi za Mambo yake==


Kazi ni msingi wa hazina na Uhuru; na basi mkono wenye 'kushikilia mwenge' ni ishara ya nia thabiti/Dhamiri shauri la kuukamatia 'Mwenge wa Uhuru Umulikao Ndani na Nje ya Mipaka Yetu'... Hili pia, kwa Wadau wa Chama cha Mapinduzi walio ni chipkizi, ni namna ya kuwakumbusha: 'Ewe Kijana na Uwe Nuru...' Mataifa yana mipaka, japo mipaka hiyo ni mapana ya mashauri ya maendeleo na ustawi wa watu katika sura ya nchi na tawala tuitao 'Nchi-Dola'--na basi nchi-dola yeyote ni 'Taasisi' kwa kuwa 'Ushawishi huwa nguvu kutegemeana na mipaka' ila 'Mwangaza/Maarifa/Maarifu havina mipaka...

Kumulika ndani na nje ya mipaka ni muktadha wa 'Uhuru wa kweli'--uhuru dhidi ya fitina na njama za mataifa/kimataifa; Mwangaza wa kweli utaibatilisha 'mipaka ya kinchi'--ama kuifanya hiyo isiwe vikomo vya utu, tawala na ustawi. Kwenye hili 'Dini kama Taasisi' ndiyo huzifadhili 'Dola zote' duniani kama matayarisho ya 'Dunia ya Watu wa Moja'--jambo lenye siasa zake za ndani kwa ndani mbali na upeo wa 'watawaliwa' ama 'hata watawala' katika kote Duniani...

Siku za mbele, tutakuwa na 'utendaji wa kimabaraza jumuishi', yenye ngazi, lakini hayaweki 'mamlaka kwa watu fulani fulani' kutokana na 'kura' ama 'siasa'; bali 'Utaalam, Uzoefu, Umahiri, Vipawa/Karama na mengine yaliyo ni chimbuko la haya yote'--MWANGAZA WA KIROHO ULIO KATIKA MWANAJAMII.

Leo hii, 2024, haya yote wanajamii 'wanaishi nayo' kwa alama za mafumbo ya taifa na utu bora. Taratibu 'Ukweli' wa kuonesha njia za mwangaza unakuwepo katika jamii yetu ili 'Kukivuna Kilichopandwa'. Nchi-dola nayo ni 'Nyekundu ya Udongo Mzuri'. Mafundi wa Utaasisi Nchi-Dola kutoka kwenye Utaasisi Dini, daima wanapenda 'kupanda mbegu'--kama lile shauri la Sura ya 13 kitabu cha Mathayo... Ni watu wenye 'Subira' khasa, lakini kiuono na ufikirifu mifumo, subira hii si chochote bali 'Kumbukumbu Utaasisi'; taasisi ndiyo huwa na nguvu khasa na si mtu mmoja mmoja -- huu ni ukweli wenye kutokana na (1) mashauri ya dhamiri, (2) utendaji na (3) miongozo--hapa ndipo penye utundu na ufundi wa 'shauri la dhana ya Mungu'…

Shauri la dhana la Mungu ni hitaji la kufungamanisha miundo yote ya uhai na utendaji na ‘asili’ ya ‘uzima’ wa mambo. Ili jambo hili kuwezekana, huhitaji tu kutambua ukweli wa kuwa: utendaji wa mwanadamu hufungamanisha na hisia zake na mawazo yake. Mtu ananasibu ya mawili; mawili katika ufahamu wa akili ya ‘kujua’ ama ‘ku-JUA’. Tofauti ya hivi viwili ni ‘upeo wa kiutambuzi’ na pia ‘vina vya tafsiri kwa hisia ambapo, kwa mfano, imosha za mtu hujilandanisha na shauri lolote ambalo mtu ‘anahisi’ ni la ukweli. Haijalishi ukweli huo ni ‘kweli’ kweli ama kweli ‘isiyo na ukweli’ khasa.

‘Kujua’ na ‘ku-JUA’, kiuono na ufikirifu mifumo, ndiyo muktadha na kuona na kutafsiri unachokiona kwa ‘alama za nasibu’ zinazokidhi uakilifu wa nia, kumbukumbu na ‘kawaida za mazoea’. Kwa mintarafu ya haya utu wa mtu ni utatu wa (1) Shauri, (2) Kujichagulia, na (3) Matendo. Akitendacho mtu ni kile kinachotokana na Shauri lililoko ‘akilini’ mwake. Ajichaguliacho mtu ni zao la ‘utashi’ katika akili yake. Basi ‘kawaida za mazoea’ ndiyo muktadha akilifu wa mtu kutenda kulingana na ‘mifumo’ ya maisha yake—na mazingira yake.

Kiufundi, mifumo ni zao la ‘Utaasisi’ na ‘Wakati’; hili ndiyo maana: asili khasa ya utaasisi wa Dini ni ‘kutawala vichwa’ vya jamii inayoamini -- kutawala isivyomoja kwa moja, ama hata wakati mwingine katika mazingira yanayoruhusu—moja kwa moja, yale ‘mashauri’ yanayoendesha ‘Dhamiri za Utu’ katika mtu/mwanajamii.

Dini ni shughuli ‘inayokaba penati’ katika ‘halmashauri kuu za vichwa vya waumini’ kwa kusudi la ‘kuyafukia mapengo ya maarifa’ kuhusu ‘Asili ya Utu’ na ‘Utaasisi’. Kwa mintarafu ya hivi, ‘Mungu’ ni ‘Taasisi/Utaasisi’, na utaasisi wa dini hulenga ‘utu wa mtu’--kuutengenezea njia ya ‘mashauri yaonekana kama sahihi kuhusu ‘Mwanzo’ wa vyote; na basi ‘mzizi mkuu’ na tena ‘mwangaza mkuu’ kwa ‘mti wa uzima’; na tena basi ustawi wowote katika muktadha akilifu wa utamaduni wa Jamii yake. Hapa ndipo mwanzo wa shauri la ‘Mungu aliyeumba vitu vyote, vinavyoonekana na visivyoonekana’.

Mapengo ya Maarifa, ndiyo umbali kati ya ‘kujua’ na ‘ku-JUA’; ambavyo muumini anaweza kupewa ‘dogma’ ama mafumbo ya ‘mbegu za U-JUA-ji’ – ‘ajitafute mwenyewe’ ama ‘awe kundini’. Kuwa kundini ndiyo mambo ya ‘kujaa kwenye mfumo’--statusi kwou.; kwa kuwa kundi huwa na utaratibu rasmi juu ya ‘kawaida za mazoea’ yake. Kiuono na ufikirifu mifumo, Nchi-Dola nayo ni jambo hilo hilo la kutengeneza ‘kundi la waumini’--waumini wa ‘Ujamhuri’. Kwa nchi-Dola, ‘kawaida za mazoea’ ndiyo muktadha akilifu wa shughuli ya kurasmisha ‘Sheria’ na ‘taratibu nyingine za kiutendaji’ katika ‘Jamii Sovereini’--mambo ya ‘Katiba’ na ‘Serikali’ kama mwili wa utendaji mkuu.

Kiufundi, katiba ni ‘mbegu ya U-JUA-ji’ kuhusu ‘Utaasisi’ na ‘Maridhiano ya Kijamii’ juu ya mamlaka yao na serikali zao.

Utatu wa (1) Bunge, (2) Mahakama, na (3) Serikali kuu si chochote bali uigiziaji wa ‘Utatu’ unaofahimika vizuri katika Utaasisi wa Dini ambavyo ‘Sheria’ na ‘Matendo’ -- matendo ya ‘waumini’ na ‘mitume’ wa ‘Ujamhuri’ wanaitengeneza ‘AMANI’ – amani kwa mashauri yao yote ya usivilai wao. Kwa mintarafu ya hili, Utaasisi wa Dini, huratibu siasa zote Duniani na Serikali zote – labda tuseme ‘kwa mgongoni mwa yote yanayoendelea’.

Ni muktadha wa ‘kujitafuta mwenyewe’ kwenye katiba hutajwa kama ‘Uhuru wa Kuabudu’; na hali hapa na pale wanajamii wanafanywa kumtaja ‘Mungu’ wa kuibariki jamii; kiuono na ufikirifu mifumo, hili ni shauri la ‘uovu unaolazimu’ kwa kuwa jamii yeyote inahitaji kitovu imara cha Utaasisi wake wote mzima; hauwezi kuijenga jamii yeyote ‘Kiutaifa’ pasipo kuwasadikisha hili na lile kuhusu ‘Utu na Uzalendo’… Kwa mintarafu ya hili ‘Mwanzo’ wa yote kuhusiana na ‘Nchi-Taifa’ ndiyo huanzia!​
 

== Mashirikizano ya Utaasisi==


Ontolojia ya Taasisi, ilivyo ni muktadha akilifu wa ‘nchi-dola’, imekopa ufundi na utundu wa ‘Utaasisi wa Dini’ ili kujishughulisha na kuyajenga mataifa; na basi sanaa nzima ya ‘Usukaji wa Dola’.

Kiuono na ufikirifu mifumo, anayeshauri usukaji dola ikiwa kweli yeye anayo meriti ya jambo hili, basi huyo anakuwa ni mtu/taasisi yenye nasibu ya kuyajua na kuyabaini ya nje na ndani ya ‘Nchi-Dola’; hili kiufundi ndilo lililoweza kubayanishwa na ule muktadha akilifu wa ‘Utaasisi wa Dini’, huu kama taasisi yenye kujitegemea, kuwa daima mstari wa mbele kwenye nyanja zote za utoaji wa huduma kama Elimu ama Afya katika Mataifa/kote Duniani; na huku pia yenyewe ikiwa na ‘watumishi’ wenye visomo, utaalam na ‘mafundi’ wa nyanja zote sayansi, siasa, utawala, uchumi n,k – si lazima kwa ‘kujionesha’ wazi wazi kwenye jamii na jumuiya ya kimataifa.

Ontolojia ya Taasisi, ndiyo jambo la ‘Mashauri ya Kiroho’ ambavyo uhai wa mwili wowote wa kufikirika, iwe kijamii ama vinginevyo, hukadirishiwa ‘fizikia’ na ‘metafizikia’ yake -- ‘Kujiwazia Utu/kunasibika Utu’. Jambo hili ndiyo msingi wa mambo ya esoteria ya ‘NENO la UZIMA’ na ‘Miongozo’ ya ‘Jaala/Utashi’ wa Mtu/Mwanajamii/Ushirika wa watu. Kwa mintarafu ya hili, nchi-dola zote ni ‘nasibu ya Ushirika wa watu’ wenye ‘Imani’--katika kheri; ama wenye kuwa ‘Makafiri’--katika mikosi/bahati zisizo njema juu ya ‘ujamii na mambo yake’.

Kwenye mapelekeo ya usukaji wa Dola, nchi isiyo na misingi ya ‘Imani’ inaweza kuangukia kwenye ‘Anakia’ – nchi kutokutawalika. Hii, kiufundi, ni ‘Sumu ya Teja’ kwa watu wa madaraka--utamu wa madaraka daima huweza kuzaa ‘makusudi yenye kuharibika’ katika akili na mioyo wa watawala/watumishi wa umma. Hili linafahamika fika kwa ‘Wadau wa Utaasisi wa Dini’, na labda wakati mwingine hawa hulitumia hili hata kwenye ‘mashauri tata’ ya ‘Usukaji wa Dola’.

Hapa ndiyo tunapata msingi wa ‘Maadili’; msingi wa maadili ni ‘unyoofu’ na ‘mapenzi mema’ kwa watu na UTU.

Kwa watu wa nchi-dola, na tena hili kwenye sanaa ya utawala, ndiyo hulazimu viongozi na watawala kusisitiza ‘Maadili Mema’ na ‘Kuitunza Amani’ ya nchi-dola—jambo ambalo ni ukweli ijapokuwa, linaweza kutumika na namna zote mbili za watawala, wale wanyoofu na tena wenye mapenzi mema ama pia wale wenye makusudi yaliyoharibika: wale ‘wanaowapanga watawaliwa’ ili wawatawale vizuri bila ‘maslahi binafsi’ yao kubughudhiwa.

Kwa Hekima ya Mafundisho ya Yesu, namna yenye mbegu ya U-JUA-ji, maadili ni usanisi wa ‘Upendo’--Amri Kuu iliyonikupendana. Hili pia, kiuono na ufikirifu mifumo, ndilo muktadha wa akilifu wa utaratibu wa dhahabu wa matendo na kutendeana: Mtendee Mwingine vile ambavyo ungalipenda wewe kutendewa.

Kwa Hekima ya Mafundisho ya Yesu, namna yenye mbegu ya U-JUA-ji, maadili ni udhamifu wa sura bora ya mienendo ya KUISHI-MAISHA-UISHO ambavyo Utukufu wa Utu/Jamii Utamaduni unadhihiri Shauri la UTATU wenye Kheri ya Milele—Uzima, Liberti na Udhamirifu wa Furaha. Utukufu wa Kiroho, Maadili na Miiko ni tunda bora la maarifa na maarifu ya ku-JUA ilivyobora.

Kwa Hekima ya Mafundisho ya Yesu, namna yenye mbegu ya U-JUA-ji, maadili ni kujichagulia mwenendo rafiki kwa matendo yote kwa ajili ya kheri na ustawi jumuishi na wengine wote wenye nasibu ya utu wema/mapenzi mema/unyoofu wa njia. Jambo hili ni muktadha akilifu wa Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu katika shauri la ‘Dhamma’; vile vile ‘Dhammapada’.

Kiufundi, kiini cha ‘ukamilifu wa Torati’: Usanisi wa ‘Nia ya Kristu’ na ‘Njia ya Buddha’ ni ‘Maadili ya Utu Wema/Utu Bora’ kwa Shauri la ‘Neema’. Katika mapokeo ya Ukristo, neema hii hufanyika kwa mtu ule uwezo wa kulitambua ‘NENO’; Katika mapokeo ya Ubuddha neema hii hufanyika kwa ‘Kuwa Macho na Hisia na Tafsiri za Mambo ya Maisha yote’. Kiuono na ufikirifu mifumo, usanisi wa Ukristo na Ubuddha ni ‘Gurudumu la Dhamma’--ilivyo ni ‘Misalaba Miwili’ katika ‘Gurudumu Moja’.

Gurudumu la Dhamma ni kutaniko la ‘Siri za Mbingu na Nchi’ na pia hapo hapo ‘Uaminifu/Uadilifu wa Shika Neno, tenda Neno’… Kwa mapokeo ya Ukristo, jambo hili linasili ya maneno ya Yesu kupata kusema: Ili kuingia katika ‘Ufalme wa Mbingu’, Mbili haina budi kufanyika Moja… Kwa mapokeo ya Ubuddha, jambo hili linasili ya mafundisho ya Buddha kuhusu ‘Vipassana’…

Karne hii ya 21, tunakwenda ku-JUA ilivyobora kuhusu haya yote kwa Rizayati ya Utu Bora.​

== Jamii: Ontolojia na Metafizikia yake==


Kiuono na Ufikirifu Mifumo, muktadha akilifu wa ‘mbili kufanyika moja’ ni ‘fumbo la imani’ ambalo daima limekuwepo katika mapokeo ya Ukristo kama ‘Sala ya Bwana’. Kwa mintarafu ya shauri hili, macho mawili kufanyika moja ni fizikia na metafizikia ya ‘Ontolojia ya Taasisi’--namna ambayo hisia, fahamu na utambuzi vinayonasibu ya kutungika kama ‘fikara’ ama ‘makadirisho ya kujiwazia Utu Uliobarikika—wakati mmoja ama hata mwingine’.

Macho mawili kufanyika Moja ni fizikia na metafizikia ya Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu ambavyo ‘Uzima, Liberti na Udhamirifu wa Furaha’ vinayonasibu ya ‘Kuzaliwa Upya’. Kwenye mapokeo ya Udini mambo ya ‘Kuzaliwa Upya’ ndiyo jambo lile lile linalotajwa kama ‘Ufufuko wa Miili’. Hii ni kwa kuwa miili yote ni ‘mafikara’; Ulimwengu wote mzima ni ‘mafikara yanayoishi’--iwe kwa pumzi ya ‘kujiwazia Utu’ ama ‘Pumzi ya Uzima Wote katika Kweli ya Umungu’.

Macho mawili kufanyika Moja ni fizikia na metafizikia ya Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu ambavyo AMANI, HAKI, UDUGU na UHURU ni fahari ya ‘Hekima ya Uzima wa Milele’. Kwa mintarafu ya Shauri hili, UKWELI HUU NI YUNIVASALI, yote yaliyofanyika na kuchukua sura iwe kwenye Sayari yetu ya Dunia ama Sayari nyingine yeyote Kokote na Popote Ulimwenguni mote ni asili ya ‘mafikara’ yenye kufungamana za dhamiri za ‘Utu’: Jamii, Wakati, Machaguo ya Kitaasisi na Matukio/Madhahiriko.

Kwa taifa la Watanzania, Ukweli Huu Yunivasali ndiyo msingi wa ‘Uhuru na Umoja’.

Kwenye nembo ya Taifa, topografu ya ‘Nchi’ huchukua Sura ya Mlima Kilimanjaro, Mazao ya Pamba na Karafuu na Ujumbe wenyewe Kwa ‘Shughuli Nzima’ ya ‘Kukomaa na Ustawi’. Kiuono na Ufikirifu Mifumo, mlima ni muktadha akilifu wa ‘Kima na Upeo wa Kiroho’--Udhamirifu wa Makuu kitawala na Mageuzi-Mema ya Kiutu/Jamii; Mazao ya ‘Pamba’ na ‘Karafuu’ ni ualama wa ‘Haja za Kiimili na Wakati’--Mavazi, Chakula na Malazi. Karafuu kwa mfano, ni ualama unaoshiriki ‘umaana’ ile ile kama kwenye ‘umaskani ya nyuki’--mambo ya marashi, unafasi na ‘umistikali wa wakati’.

Kwenye nembo ya Taifa, topografu ya ‘Kujichagulia’ huchukua sura ya Utu/ubinadamu wenye kudhamiria hatua kuelekea ‘Ukati’ wa ‘Imani’ na ‘Kusudi’ la ‘Utamaduni/Ustawi’. Kiuono na ufikirifu mifumo, sura na hadhi yeyote ya kujichagulia ndiyo huzaa msukumo wa vitendo vinavyokadirisha sura ya nchi na tawala. Kwa mintarafu ya Shauri hili, Sura na Mienendo ya Jamii yeyote ni ‘Utambulisho’ wa msukumo wa ndani ulikuwepo katika mtenda kama ‘Dhamiri ya Shauri’. Basi ndiyo yawa, matendo ya Bibi na Bwana, Adamu na Hawa, katika nembo ya Taifa ni Ualama wa ‘Jando na Unyago’ kwa Taifa….

Kwenye nembo ya Taifa, topografu ya ‘Dhamiri ya Shauri’ huchukua Sura ya ‘Ngao ya Ustawi’; Kiuono na Ufikirifu mifumo, Ngao ya Ustawi ni muktadha akilifu wa ‘Uzaliwa Upya’ ama pia ‘Ufufuko wa Kimiili’. Kwa mintarafu ya Shauri hili, Ngao ya Ustawi ni ualama unaoshiriki ‘umaana’ ile ile na ‘Msalaba wa Ukombozi—Uzima Mbele, Mauti Nyuma’. Basi ndiyo msalaba ni alama ya jadi yenye kugawanya ‘Mbingu na Nchi’ katika Ukadinali wa ‘Moto—Mwenge wa Uhuru’, ‘Upepo—Bendera ya Taifa’, ‘Ardhi—Msingi wa Kujichagulia kupitia Kazi na Ulinzi wa Nchi’, na ‘Maji—Asili ya ‘Ontolojia ya Taasisi’ ilivyo ni Jinesesia’.

Uzima Mbele, Mauti Nyuma ni mambo ya ‘Umistikali wa Wakati’; kiuono na ufikirifu mifumo, Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu ni fanusi ya ‘Uzima wa Miili’. Kwa mintarafu ya shauri hili, Msalaba wa Ukombozi ni ‘alama ya kiume’ kwa ‘alama ya Kike’ iliyo ni ‘Vesika-Paisisi’--Ngao ya Ustawi. Basi ndiyo yawa Elimu 3.0 ni ILIMU ilivyo ni metafizikia ya Elimu—hii ndiyo huleta ‘Usikirifu wa Kuyatambua hata Mambo yaliyositirika Kiroho’; mambo ya ‘wateule’… Wateule ni watu wenye ‘Nuru ya Ufahamu’ kwa Usahihi wa Kimfumo; ambavyo namna mbovu za ‘utu uliopotea’ huihitaji ‘njia ya msalaba’ ili ‘Zife--Zife na Kufufuka’ katika ‘Uweza, Nguvu na Utukufu wa Milele hata Milele’… Kuzaliwa Upya Kimwili na Roho kupitia Vesika-Paisisi.

Kwenye Mapokeo ya Ukristo, kiuono na ufikirifu mifumo, Sala ya Bwana ni mwongozo wa Dhamiri na Shauri kwa ajili ya yote matatu: Mbingu, Nchi na Kujichagulia. Kwa mintarafu ya shauri hili, hata AMANI, HAKI, UDUGU na UHURU ni muktadha akilifu wa sura na utukufu wa jamii yenye kujichagulia hatma yake katika ‘Wakati’. Basi ndiyo, hata nembo ya Taifa ya Tanzania inayotopografu ya haya yote—japo inahitaji tu mtu/mwanajamii awe na nasibu ‘macho mawili kufanyika jicho moja’ ili kubayanisha ukweli wa haya.

Macho mawili kufanyika jicho moja, kiuono na ufikirifu mifumo, ndiyo siri ama fumbo la ‘Pembe Tatu yenye Jicho Litazamalo kwa Uwazi Kamilifu’--Jicho la Upaji.

Kiufundi alama ya pembetatu yenye jicho ni fumbo la ‘Usentienti wa Mungu’ katika ‘Utu’; Ikiwa mwanajamii anafanyika nasibu ya kuzaliwa upya kimwili na kiroho, Maarifa na Maarifu ya Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu huanza kufunguka katika ‘Moyo’ wake. Kwa mintarafu ya shauri hili, ku-JUA kuna hadhi ya kung’amua mafumbo ya ‘Uzima wa Kimiili na Uzima wa Milele’ kwa kadiri ya ‘Usafi wa Moyo’ na ‘Maandalizi kwa Utu Bora’ katika mtu/mwanajamii. Pasipo na haya mawili, haya ualama ule ule unaoweza kufumbua mafahamu unaweza kuwa ni ‘kifungo cha upeo’ na tena ‘zana ya kuwatawalia wajinga’ kwa Uzandiki.​

==Funguo za Utashi wa Kijamii na Mambo yake==


‘Pembe Tatu’ ni alama yunivasali ya ‘Akili na Utambuzi’--siku za mbele kidogo tutakuja kulifahamu hili, ilivyobora, baada ya kufahamika zaidi kwa mambo ya wanajamii wengine kutoka hata nje ya Sayari yetu watakavyoaanza kujitukiza hapa na pale, ‘kutembeleana’ na sisi wazi wazi.

Kwa leo hii, Disemba 2024, kuna shida tu ya wadau wa ‘Jeshi na Dola na Utaasisi wa Dini’ ambao bado wapo kwenye mtihani wa kuthibiti ‘habari za ndani’ za mambo ya jamii za watu kutoka nje ya Sayari yetu; japo hili linafanania kuelekea kwenye sura ya Utaasisi wa Dini, uliyo ndiyo muamuzi wa kweli wa mwisho, ‘kukubali ili yaishe!’ wakati wowote ndani ya miaka hii 10—tuseme kuanzia mwaka huu wenyewe…

Pembe tatu ni alama muingiliano na ‘Usupasha’; kiuono na ufikirifu mifumo, Usupasha ndiyo asili ya mwili wa matendeko yote—Ndiyo Mbingu na Nchi kinaga ubaga. Kwa mintarafu ya shauri hili vitu vyote vilivyofanyika, vinavyofanyika na vitakavyofanyika ni zao la (1) Mtenda, (2) Kitendo, na (3) Tendeko/Tukio/Dhahiriko/Uhuluku/Uumbaji. Basi ndiyo yawa, ‘Wakati’ na ‘Kujichagulia’ yote pia ni mazao ya ‘Uimajinishi’ na ‘Kujiwazia Utu’; fizikia na metafizikia ya Uzima wa Miili na Ukuwa; ama pia ‘Ukuja-Kuwa’.

Fizikia na metafizikia ya Uzima wa Miili na Ukuwa; ama pia ‘Ukuja-Kuwa’, ndiyo mambo ya ‘Utambuliko/Utambulisho/Kujitambua’--hili katika ‘Sala ya Bwana’ kupitia mapokeo ya Ukristo ndiyo asili ya ‘SHAURI’: Shauri la ‘Uliye Juu Mbinguni, Jina lako litukizwe’… Kwa mintarafu ya shauri hili, Usentienti ama Dhamiri ya Kujiwazia Utu ni nasibu ya ‘Ontolojia ya Taasisi’ ambavyo kila ‘ummoja-mmoja’ wa mtu una ‘JINA’; japo ‘JINA KUU’ ni lile lililostirika katika ‘Mbingu’.

Basi ndiyo yawa, Mbingu ni USUPASHA WOTE—popote pale panapokadirisha ‘Umahala’ ama ‘Mapana ya Umbali ama Ukubwa’ ni ‘Mbingu’; kuwa kwamba mbingu ni muktadha wa dhahiri yenye kuonekana na hata pia ile isiyoonekana.

Kuonekana na Kutoonekana ndiyo, kiufundi, mambo ya ‘Usentienti’--uwezo wa kihisia na mafahamu kulingana na ‘miili ya uweza’. Mwili wa nyama utayaona ya asili ya ‘uyabisi wa nyama na nuru yake’. Mwili wa ‘Pumzi Ingine ya Kimiili’ utayaona yaliyo katika ‘Pumzi ya Ulimwengu Mwingine na nuru yake’--Ulimwengu usiyoonekana unaoweza kuwa sambamba na ule ‘usioonekana kwa macho ya nyama’… Utu ni kitunguu cha ‘Ontolojia ya Taasisi’…

Ukitunguu wa Utu ilivyo ni ‘Ontolojia ya Taasisi’ ni hii nasibu ya Usentienti kuwa kwamba ni fumbo la ‘Nuru ya Ufahamu’; ambavyo mtu/kiumbe/miili inaweza kuwa na ‘fahamu na mafahamu’ yenye ‘kusitiriana/kusitirika kiroho’. Kwa mintarafu ya Shauri hili, iwe Duniani ama Sayari kwingine kokote kwenye Kosmosi, watu wote na viumbe vyote na miili yote ni ‘namna ya vitunguu ambavyo kiini cha katikati kabisa ni kimoja’—CHANZO/MUNGU; Uzima wa vitu vyote ni Umungu. Basi ndiyo yawa, kwa akili ya kawaida ya ‘utu usio na mafahamu’ shauri la ‘Mungu’ ni utata mtupu inapokuja kwenye ‘jema’ ama ‘baya’… Kwa kuwa, ni vigumu ‘kufikiri’ eti ubaya na uzuri wote ni ‘Umungu’.

Kiufundi, ubaya ama uzuri – haya ni mambo ya muktadha akilifu wa ‘Ukuwa’ ama/na ‘Kuja-kuwa’: Kujichagulia. Umungu ni fumbo la ‘Ukuwa’ ama/na ‘Kuja-kuwa’--jambo la kujiwazia ‘Utu’ katika matendo ya kadiri ya muktadha akilifu wa mapana ya jamii kwa fasaha ya (i) Mtenda, (ii) Kitendo na (iii)Tendeko/Tukio/Dhahiriko/Uhuluku/Uumbaji. Kwa mintarafu ya shauri hili, jambo hili lawa basi ni ‘yunivasali’ kwa binadamu, wanyama, malaika, majini, ‘roho za uumbaji’ n.k

Dhana ya ‘Uhuru na Umoja’ ni shauri lililo ni mbegu ya U-JUA-ji kuhusiana na ‘Ontolojia ya Taasisi’--asili moja ya nasibu ya utu na kujichagulia. Kiuono na ufikirifu mifumo, hili linakadirisha muktadha akilifu wa ‘Kuulinda Uhuru na Umoja wa Jamii’ dhidi ya ‘Roho yoyote ya Uharibifu’--iwe kutokea nje ya mazingira ya ustawi wetu ama vile vile ndani ya mazingira ya ustawi wetu. Kwa mintarafu ya shauri hili, ‘Umoja’ ni dhamiri ya Imani juu ya kheri na fanaka ya kuwa ‘Kusudi Moja lenye Matatu’--Uzima, Liberti na Udhamirifu wa Furaha.

Katika mapokeo ya Ukristo, ‘Uhuru na Umoja’ ndiyo asili ya Dua yenyewe ya ‘Sala ya Bwana’ kuwa ni ‘udhamiri jumuishi katika imani ya wenyekuamini’—Baba yetu... Utupe… Utusamehe… Usitutie… Haya ni mafungu manne ya ‘Umbonishaji wa Nia ya Fahamu/Ufahamu’ katika Utu/Jamii/Mwanajamii—Mwanajamii mwenye Rizayati ya Utu Bora. Kiufundi, dua na sala ni ufundi wa ‘kujiweka sawa sawa na kitovu cha nia njema’ kwa ‘Jaala’ na ‘Utashi’. Kwa mintarafu ya Shauri hili, vile kulikiri ‘JINA LA KUTUKUZWA’ na pia kutaka mapenzi yatimizwe ni yote mawili kwa wakati mmoja, (1) Akili ya Utambuzi Inayobarikika, (2) Kukadirisha Shauri ya Kheri kwa kadiri ya ‘JINA na MAPENZI’… Basi ndiyo yawa, (1) Jina, (2) Mapenzi, na (3) Ufalme ni muktadha akilifu wa ‘USHAWISHI PITILIZI’ kwa yote tunayoyafahamu kwa mafahamu ya miili ya nyama/miili ya udongo/miili ya nchi…​

== Milango ya Fahamu na Mafahamu==


Jaala na Utashi ndiyo khasa mlango, Kitasa na ufunguo kwa azma ya ‘kujichagulia’--kujichagulia ‘Ukuwa’ ama/na ‘Ukuja-Kuwa’… Kwenye mapokeo ya Ukristo, hili ndilo asili ya ‘kuwa mwanampotevu’ ama ‘Kuwa Mwana anayerudi Nyumbani’. Kwa mintarafu ya Shauri hili, Kudhamiria (1)Jina litukuzwe Kote, (2) Mapenzi na (3) Ufalme kuwa Duniani kama Mbinguni ni ‘kujichagulia’. Basi ndiyo mashauri ya Mtume Paulo huzungumza ya ‘Kristo ni Faida’ na ‘Kufa ni Faida Zaidi’…

Kiuono na Ufikirifu mifumo, Kristo/Kristu ni muktadha akilifu wa jambo lile lile--’Umungu’; kujichagulia (1) fungu la kupata ama (2) fungu la kukosa kwa kadiri ya Rehema ama Fadhili za ‘Uzima wa Milele’ ulivyo khasa ndiyo CHANZO cha Yote, kilicho Mote na Vyote—Yenye Kuonekana na Yasiyoonekana. Kwa mintarafu ya shauri hili, FADHILI ni sifa na hadhi ‘mazingira ya wepesi’ katika kujichagulia ‘Jema’ ama ‘Ovu’; vivyo hivyo REHEMA ni sifa na hadhi ya ‘Kutohukumu’ ila kuruzuku nasibu ya ‘Kujichagulia’ ya kiumbe chochote chenye Usentienti, Konsayansi na ‘Nuru ya Ufahamu’. Basi ndiyo yawa, ‘Kufa kuwa ni Faida’ ni dhana ile ile ‘Kujikana Nafasi’--kuyashinda mafahamu ya mwili ‘usiyo na neema’--fungu la Kukosa; ‘Sala’ ni Kutengeneza mazingira ya Neema kwa ajili ya ‘Uweza, nguvu na Utukufu wa kile chenye kuweza kuileta chachu ya Kiutambuzi na Upeo wa mambo’ kupitiliza kawaida. Tena ndiyo kusema, ‘Kristu ni Ufahamu’--ufahamu unaojumuisha utambuzi wa kimiili na utambuzi wa kiroho wa yote.

Kiuono na Ufikirifu mifumo, Kristo/Kristu ni muktadha akilifu wa jambo lile lile--’Umungu’; kujichagulia ‘Ufalme wa Mbingu’ ama ‘Ufalme wa Nchi’ ambavyo ‘Atakalo Lifanyike Duniani kama Mbinguni’ pia ni kujisalimisha kwa ‘UTU’ kwa ‘Mungu Baba’--mambo ya ‘Kufanyika Mwana wa Pekee wa Mungu’. Kwa mintarafu ya shauri hili, ‘Ufahamu Kristu’ ni kitu kile kile cha fumbo la ‘Roho Kutwaa Mwili na Kukaa Kwetu’. Basi ndiyo yawa, mambo ya kufanyika mwana si ‘kuzaliwa upya’ kupitia ‘Tumbo la Mazazi’ ya Kimwili, bali ‘Mazazi ya Mafahamu yanayopitiliza mauti na Uzazi wa Kawaida’.

SASA, dunia yote na kosmosi ni mazazi ya viumbe vyenye Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu. Kiuono na ufikirifu mifumo, dhana ya ‘Ufalme’ ni ‘Miliki na Ustawi wa Viumbe’; mapenzi kufanyika Duniani kama Mbinguni ni ‘Kheri na Fanaka’ ya ‘Miliki na Ustawi wa Viumbe vyote’ vilivyoko Duniani—mapelekeo khasa ya Uzima, Liberti na Udhamirifu wa Furaha. Kwa mintarafu ya shauri hili, AMANI ni tunda la ‘utu wema’, tena kuendana vema na ‘mazingira rafiki ya ustawi’. Basi ndiyo yawa, Uhuru wa Mtu/Kiumbe chenye Usentienti na nasibu ya ‘Utashi’ humaanisha sifa na hadhi ya kujiamulia mambo hadi pale Uhuru wa mtu mwingine unapoanzia. Pale ambapo Uhuru wa mtu mmoja/mwanajamii mmoja na mwingine vinadumu pamoja katika sifa na hadhi za kifizikia na metafizikia ya miili ndiyo msingi wa Shauri la ‘Sovereini Jumuifu’.

Sovereini Jumuifu, kiuono na ufikirifu mifumo, ni jambo lenye asili ya Unasaba na Mazingira—mambo ya mazazi, mienendo ya kurithi na kutafuta ‘kufanyika bora zaidi’ kupitia uzoefu wa maisha na ku-JUA ilivyobora. Kwa mintarafu ya Shauri hili, DNA na Ufahamu ni mambo yanayoingiliana kupitia fanusi za Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu. Basi ndiyo yawa, yapo mambo viumbe huyajua kwa kurithi na tena uzoefu wa vizazi vyake katika mazingira fulani yanayotegemewa na pia kukabiliana na changamoto zinazoweza kuwa ‘za kigeni/zisizo rafiki’.

Jamii yoyote pia ni ujumuishi wa unasaba wa kimwili na kiroho—asili ya mambo kama vile mila, desturi na utamaduni. Kwa mintarafu ya shauri hili, Mila-Desturi-Jadi ni zao/tunda la Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu ambavyo ‘kiumbe kipya kinafanyika’ kutegemeana na (1) mazoea, (2) uzoefu na (3) ‘kawaida’ za jamii. Basi ndiyo yawa, kwa mfano, hakuna kitu kama ‘mila na desturi ya Mtanzania’ khasa—Utanzania ni ‘utambulishi wa kufikirika’ ndani ya wanajamii wenyewe wanaojihisi ni ‘Watanzania’--mambo ya muktadha akilifu wa ‘Kujiwazia utu’… Tena basi, shauri hili larejea kwenye ‘Ontolojia ya Taasisi’--taifa ni kundi la watu wenye namna ya ushawishi wa kujiamulia hatma za maisha yao katika eneo la nchi-tawala na/kwa taratibu zake zifanyikazo rasmi.​

== Vimvuli Vinavyoishi ==


‘Utaasisi wa Nchi-Dola’ ni utundu wa kusuka hatma za maisha ya watu katika eneo la nchi pamoja na taratibu zake zifanyazwo kuwa rasmi. Usovereini wa Nchi-dola ‘hufosi kingi’ shauri lake kwa wanajamii kwa kuuza wazo la ‘Ujamhuri’ ama/na pia ‘Uzalendo’. Kwa mintarifu ya Shauri hili, mataifa nayo huzaliwa yakaishi na hata kufa vile vile. Basi yawa ndivyo, kulijenga taifa ni shughuli linalohitaji ‘Utaasisi wa Dola’ ili kutetea ‘maslahi ya wanajamii’ wake wenye ‘haja’ na ‘nia’ ya kudumu kama jamii/taifa moja—kwa kile kipindi kirefu khasa kuwezekana; mambo ya kumbukumbu Utaasisi.

Kwa Tanzania, msingi wa ‘haja’ na ‘nia’ kwa Utaasisi wa nchi-dola ni jamii yenye kuwa na AMANI, HAKI, UDUGU na UHURU; amani ya Tanzania, kiuono na ufikirifu mifumo ni ufunguo wa ‘Imani’ ya ‘Sala na Kazi’.

‘Mataifa huzaliwa yakaishi na hata kufa vile vile’ kutokana na uimara/ubovu wa ‘Roho ya Uzima wake wa kufikirika ilivyo ni Utaasisi nchi-dola’. Kwa mintarafu ya shauri hili, kuna vitu vitatu vinavyokadirisha ‘uzima wa nje ya taifa la watu’-- (1) Miongozo ya Kiimani ya nchi-dola, hapa ndiyo ‘Utaasisi wa Dini’ huhusika japo mara nyingi ni kwa kujificha sana; (2) Serikali ya watu inayohudumu, na (3) Utaasisi wa Kijeshi, nao huu hufanya mengi kwa kujificha kabisa kama ilivyo kwa Utaasisi wa Dini.

Dosari yoyote ya kiuwepo/Kiufundi katika ‘Utaasisi wa nchi-dola’ inaweza kupelekea taifa lolote kuyumba/kuzorota ama hata kufa. Basi ndiyo yawa, ‘Utaasisi wa nchi-dola’ ni fanusi ya ‘haja’ na ‘nia’ ile ile kuwa macho mawili kufanyika jicho moja—‘jicho la tatu’ la unafsi-roho wa taifa lolote lenye kujidhamiria utu wake miongoni mwa walimwengu: Muona ni Muonwa.

Unafsi-roho wa kiumbe halisi ama kiumbe cha kufikirika, kiuono na ufikirifu mifumo, ndiyo daraja ya utu wake, kujichagulia na ‘umistikali wa wakati’. Kwa shauri hili, wakati ni kile kitu kinachoweza kukadirisha mapana ya ujuzi wa tathmini kwa utatu wa mtenda, kitendo na tukio; (1) wakati na (2) kumbukumbu ndiyo hushikilia nguzo za ‘uzoefu’ na ‘ushawishi’ wa jambo—asili khasa ya ‘Ontolojia ya Taasisi’. Ndivyo basi, Utendaji wa Taasisi yeyote katika mapana ya wakati ni ‘Mfumo’. Hili linahusika kwa mambo ya watu wa Duniani, na hata watu kutoka ‘Juu Mbinguni’… Stawi za Duniani ama/na Stawi za Manyotani na ‘Mambo yake ya Nyakati’…

Kiufundi, ‘dini’ ni ‘mbegu ya utamaduni’ na hali utamaduni ni ujumla/ujumuishi wa Mila, Desturi na Jadi ya jamii yeyote kisomoni. Hili ndilo linalosabisha ugumu wa kutenganisha ‘dini’ na ‘dola’ ambavyo ‘shauri la dini/udini’ linaweza kuponza ushawishi wa ‘mfumo wa kidini fulani’ katika kiserikali na taifa, khasa khasa ikiwa taifa husika lina utamaduni wa dini fulani inayoweza kuwa ni ya kigeni, imekuja kwa makutano ya kijamii na ushawishi wa mambo; isiyo na asili khasa ya wanajamii wake...

Mintarafu ya shauri hili la ‘mfumo wa kidini fulani’, katika ulimwengu wa kileo, ndiyo msingi wa hoja ya kuepusha utaasisi wa nchi-dola na mambo yenyewe ya dini moja ama nyingine—basi kutengeneza mbadala kwa ajili ya shauri la ‘Uhuru wa Kuabudu’ na Uundaji wa Serikali zisizoendeshwa na ‘mashauri ya dini fulani mahsusi’; kutoendeshwa hivyo katika Utaasisi wake kutoa huduma za kijamii, wakati hata wakati, ili kukidhi ‘haja’ na ‘nia’ ya ustawi bora na maendeleo ya taifa lake…

Japo kiukweli khasa wa mambo, dini ni tunda la mashauri yenye kuongoza mustakabali wa kiroho, maadili na miiko katika mtu/jamii/taifa/nchi-dola—daima kuna ‘udini’ kwenye Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu wa kiumbe chochote—namna za binadamu--anthromofu, malaika, majini, watu wa namna zingine za utu kwenye sayari za ulimwenguni, ama hata alamu za uzima wa miili isiyoonekana kwa macho—haijalishi ni watu wa namna za Reptilia—watu Mijusi/Majoka, Amufibi—watu Samaki/Chura/Waakturia, Watu Ududu—Mantisi/Siafu-watu, Watu Ndege—Waaviani, Watu Felina – Simba-watu/Chui-watu/Paka-watu n.k​

== Ku-JUA Mambo Ilivyobora ==


Katika karne hii ya 21, mwaka 2024 na kusonga, mashauri ya ‘Udini’ ndiyo yanapatiwa fremukazi ya wazi kwa ajili ya ‘Akili na Utambuzi’ wa watu wa mataifa yote, Tanzania, Afrika na Dunia yote kupitia utaswira ya ‘Yantra Dhamma’.

Kiuono na ufikirifu mifumo, Yantra Dhamma, ni muktadha akilifu wa (1) miongozo, (2) maadili na (3) utambuzi wa ‘Utamaduni’ na ‘Utu’. Kwa mintarafu ya shauri hili, Yantra Dhamma ni chombo cha kugema ‘Maarifa na Maarifu’ ya kujengea ‘Miundo yoyote’ ya tawala ya nchi, jamii-kumbaizi; ili kutengeneza mwangaza wa ‘mafahamu na ‘ku-JUA’ asili ya ‘Udini’ wa wanadamu Duniani ama wanadamu nje ya sayari ya Dunia—kwa namna zao zote; alhali wanadumu katika ulimwengu wa madhahiri…

Yantra Dhamma, ni ufunguo wa mambo ya Elimu 3.0; Rizayati ya Utu Bora ambavyo inalazimu sasa jamii zote wanadamu ‘wajiongeze’ ili kujiandaa na ulimwengu shujaa wa tamaduni na stawi kutoka nje ya sayari yetu zinazotafuta ‘kuingiliana’ na usivilai wetu ulioiva, hapa na sasa Duniani. Kwa mintarafu ya shauri hili, Elimu 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo yapaswa kuwa ‘mazoea’ ya kiupeo wa ‘akili na mashauri yake’ ili kuliimarisha daraja la maingiliano ya waziwazi na tena moja kwa moja na viumbe watu wengine wenye Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu kama sisi wenyewe. Basi ndiyo yawa, pasipo Elimu 2.0 ubinadamu unaweza kuingia kwenye ushawishi mbaya wa kimfumo ambavyo ‘unaivu’ utaponza zile tabia za hovyo kama uchawa, unafiki na upambe n.k kupoteza ‘Amani’ na ‘Haki’ ya kweli miongoni mwa wanajamii wenyewe.

Yantra Dhamma, ni usanisi wa ‘Sala ya Bwana’ na ‘Mafundisho ya Wongofu’ yajayo na ‘Dhammapada’--njia ya Buddha. Kwa mintarafu ya shauri hili, muktadha akilifu wa mapokeo ya Uhindu na pia Uislamu ni sehemu ya ‘Muundo Mkuu’ kwa utu na kujichagulia; vivyo hivyo mapokeo ya Uyuda na Ukristo kujitokeza kwa misingi ya ‘Miongozo’ na ‘Kanuni’ za ‘Rehema na Fadhili’ za CHANZO cha Uzima wote—uzima wa viumbe vyenye Jaala ya Kimiili na Utashi kupitia Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu. Basi ndiyo yawa, Yantra Dhamma ni zana ya kufafanua muingiliano wa utu, jamii, mafahamu na uzima/utimilifu wa kiutamaduni.

Yantra Dhamma, ni mwanzo wa utambuzi wa lugha za ‘watu’ na ‘malaika’ ambavyo malaika ni muktadha akilifu wa uasili wa kumbukumbu uzoefu wenye kuhifadhi ‘sura na utukufu’ wa uzima/utimilifu wa kiutamaduni wa mtu/utu—kundi la viumbe vyote vyenye Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu. Kwa mintarafu ya shauri hili ‘Malaika’ ni ‘Ufahamu/Mafahamu’ yenye kushikilia ‘nguzo za pumzi za uzima wa ulimwengu uliodhahiri’ kwa yale yenye kuonekana na yasiyoonekana ambavyo ‘umistikali wa wakati unaooana na usupasha’-- ‘Metatroni na Shekinahi’. Basi ndiyo yawa, kwenye mapokeo ya Ukristo ama/na Uislamu malaika ni ‘Wajumbe’ wa khabari njema, watunza kumbukumbu za matendo na hata pia Walinzi wa hatma za Wema na Uovu.

Kiuono na Ufikirifu Mifumo, AMANI na HAKI ndiyo muktadha akilifu wa ‘Daal’ ya ingilio na kutoka kwenye ‘jicho’ lenye kuona ndani ya uzima wa miili—miili ya anga na Jua. Kwa mintarafu ya shauri hili, ‘Sala ya Bwana’ ina Mbawa Mbili za Umalaika, ya (1) ‘Uzima wa Ndani’ na (2) ‘Uzima wa Nje’ wa miili ya anga na Jua : Shauri Kuu la ‘Wimbo wa Taifa la Afrika’. Kila kiumbe chenye Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu kina ukaribu na malaika wa uzima wa ndani na nje ya ‘mazingira yake ya ustawi’ ambavyo nasibu ya khabari njema, utunzaji wa kumbukumbu ya kila wazo/tendo/dhamira ama hata pia basi tuseme: rehema na fadhili ya kujichagulia wema au Uovu ipo na ‘Utu’ wake.

Kiuono na Ufikirifu Mifumo, AMANI na HAKI ndiyo muktadha akilifu wa ‘Daal’ ya ingilio na kutoka kwenye ‘Umbonishaji Sahihi wa Fahamu’ wenye kupanda mbegu ya ‘utu bora’ ama ‘utu usiyo na jema’. Kwa mintarafu ya shauri hili, ‘Sovereini Jumuifu’ ni ‘Ujamii Bora’ wa utu katika mapana ya nyakati kwa kadiri ya njia ya Buddha—Dhammapada. Basi ndiyo yawa, Dhammapada ni muktadha akilifu wa kile kile kwenye mapokeo ya Ukristo hufundishwa kuhusu ‘Mpanzi Kupanda Mbegu’--mambo ya ‘Ufalme wa Mbingu’ kufanana na ‘Mpanzi aliyepanda Mbegu’ pia vielezi vya Yesu juu ya ‘Ngano Safi, Magugu na Mavuno’--Mathayo 13.

Machomozi kutokea nchini/ardhini ndiyo asili ya Gurudumu la Dhamma katika Yantra Dhamma kuwa ni taswira ya mfano wa ‘wengi kutokea kwenye kitovu kimoja’--marefu yasiyo na mwisho ya fahari ya ‘Nchi’ na fahari ya ‘Mbingu’ katika ‘Sangha/Ushirika wa Kiroho’… Kiufundi, duara-vitovu-mistari ni topografu za utambuzi kwa ‘dhamiri’, ‘Nia’ na ‘Ontolojia ya Taasisi’ kwa utu wenye ‘Mwongozo/Torati’ na ‘Maadili Mema’ na ‘Miiko’; dhamiri na nia ndiyo huzaa matendo na hali ‘miongozo’ na ‘miundo ya utendaji’ huzaa ‘mifumo ya maisha’. Dhammapada ni mfumo wa maisha wenye kheri ya ukatikati wa Uono na Ufikirifu Mifumo—Shauri la Buddha kuhusiana na ‘midenge nane’ ya Gurudumu la Dhamma.

Kiuono na Ufikirifu Mifumo, AMANI na HAKI ndiyo muktadha akilifu wa ‘Daal’ ya ingilio na kutoka kwenye ‘UZURI na SHAURI’ wa ‘Akili na Utambuzi’. Kwa mintarafu ya shauri hili, Uzuri wa Muonaji ni muakisiko wa Uzuri aliokuwa nayo yeye mwenyewe mwenye kuona/kushuhudia jambo/mambo. Basi ndiyo yawa ‘macho/jicho ni dirisha kwa nafsi-roho’ ya kiumbe chochote chenye Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu. Zaidi, kwa hisia, mawazo na vitendo kiumbe yeyote mwenye usentienti, konsayansi na nuru ya ufahamu hukadirisha ‘hazina’ ya ‘Utu’ wake katika ‘Kumbukumbu la Mungu/CHANZO’. Tena basi, wakati wowote kiumbe yeyote mwenye utashi anaweza kustawi kwa ‘neema’ ama ‘jasho’ kutegemeana na sifa ama/hadhi ya ‘Sala na Kazi’…

Kwenye sanaa za utunzi wa bendera, uzalendo hufungamanishwa na ‘Upepo na Maji’; ambavyo ‘Daal’ huja kwa ualama wa ‘>’. Mistari mingine hufuatisha ‘uwima’ na ‘ulali’ na ‘ukatizo’ ilivyo mbegu ya U-JUA-ji kwa ‘Yantra Dhamma’.​
 

== Yantra Dhamma: Uzuri na Shauri==


Uzuri na Shauri, kiuono na ufikirifu mifumo, ndiyo asili ya mawezekano ya utu – utu kuwa na ‘sura iliyositirika’ ya mawezekano yake ya namna zote mbili: (1) ‘Kuwa’ ama/na (2) ‘Kuja-kuwa’. Kwa mintarafu ya shauri hili, kila ‘nafsi’ ina sifa na hadhi za kuweza kufanyika ‘bora’ na hata ‘bora zaidi’, kwa kujichagulia—‘kila wasaa’ ni fursa ya kufa na kuzaliwa upya kwa (1) ‘Uweza wa Shauri’ na pia (2) ‘Kukata Shauri’. Basi ndiyo yawa, unafsi ni ‘mtego’ wa kujichagulia ‘sura ya kuwa hivi ama vile’ katika umistikali wa wakati. Zaidi, unafsi ndiyo unayotengeneza nasibu ya ‘kujitenga’ kwa utu—‘utu na utu’ na basi ‘mtu na CHANZO/Mungu’. Tena basi, unafsi unaotafuta kutanuka na kushiriki ‘kheri’ ya ‘Uzima Wote’ ndiyo kipenyo cha Metafanusi ya uzima wote ilivyo ni ‘Umungu’--Umungu katika dhamira ya ‘Udini ulio Bora’--mambo ya kuotea mbegu za u-JUA-ji uliyobora wa mambo.

‘Uweza wa Shauri’ na ‘Kukata Shauri’, ni muktadha akilifu wa (1) ‘Utukufu’ na (2) ‘Nguvu’; kiuono na ufikirifu mifumo, hili ndilo lile lile katika mapokeo ya Ukristo husemwa ‘Utukufu na Nguvu vi na yeye Bwana hata Milele na Milele’. Kwa mintarafu ya shauri hili, ‘Baba’ ni muktadha akilifu wa ‘Kweli iliyositirika ya Mafikara ya Uzima wa Miili’--mafikara ambayo ndiyo ‘huchukua sura’ na kuwa maumbile—maumbile hai na hata pia yale tunayodhania kwa akili ya kawaida ya kwamba ‘Si Hai’. Basi ndiyo yawa, ‘Mbingu’ na ‘Nchi’ ni analojia za ‘Neno kufanyika Mwili na Kukaa Kwetu’ ambavyo Miili yote inayoishi na kutunza miili mingine kimazazi, kwa mfano Sayari, ni ‘Mama’. Tena basi, labda ni upofu wa kiroho unasibu mtu/mwanajamii asitambue na kung’amua Sayari zote ni Viumbe hai kabisa!

Sayari zina namna ya Uzima ulio ni sehemu ya mwendelezo wa uzima wa miili yetu… Kuishi kwenye uso wa Dunia kwa mfano ni sehemu ndogo ya ‘Pumzi’ na ‘Nguvu’ ya sayari yetu hii inayotukirimu mazingira, mazazi na ustawi. Kwa mintarafu ya shauri hili, uakilifu wa mambo ya kiroho, maadili na miiko daima hutanukia kote kuanzia kwenye miiili yetu yenye kusitiri Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu kama nafsi/nafsi-roho hata kupita kwenye Nyota na Mbingu yote ilivyo ni Kosmosi. Basi ndiyo yawa, uzuri tuuonao na kuushuhudia katika uso wa sayari yetu ni ‘Utukufu’ na ‘Nguvu’ wa kile kilicho ni khasa asili ya uzima wetu—CHANZO/Mungu.

Utukufu na Nguvu, kiuono na ufikirifu mifumo, ni muktadha akilifu wa ‘Nuru’ na ‘Pumzi’--asili khasa ya ‘Ontolojia ya Utaasisi’. Kwa mintarafu ya shauri hili, miili yote imefanyika kwa mfano na analojia ya ‘Pumzi’ na hali mpangilio wa mafikara ya/na kujitukiza kwake ni mfano na analojia ya ‘Nuru’. ‘Neno kufanyika mwili’ ni mambo ya ‘Dhahiri kuchukua sura sawa sawa na yule kwenye kukusudia kuumba/kuhuluku—kufanya hivyo sawa sawa na ‘Mapenzi Yake’ kupitia ‘Uimajinishi’. Hili ndiyo ile asili khasa ya kiini cha ‘Sala ya Bwana’ ya kusema, kana kuomba, sawa sawa na ‘Mapenzi Yake’. Basi ndiyo yawa, ‘KUOMBA’ ni udhamirifu wa kujipangilia kwa algorithimu ya ‘Nafsi/Unafsi Mkuu’ ulio ni CHANZO cha kheri--kheri tunayoanza kuihisi kwa ‘Uzuri’ na ‘Shauri’.

Utukufu na Nguvu, kiuono na ufikirifu mifumo, ni muktadha akilifu wa mtungiko na mjengeko wa ‘mifumo hai’ ambavyo usentienti, konsayansi na nuru ya ufahamu ni asili khasa ya jambo lile lile la ‘kupata Sura’. Kwa mintarafu ya shauri hili, vile katika mapokeo ya Ukristo huwa kana kusema ‘Utukufu wake Kristu ndivyo ilivyo Sura yake Mungu’ ni ukweli wa analojia ya ‘mbingu’ na ‘nchi’ kuweza kujaa ‘Utukufu wake’ kupitia ‘Sala na Kazi’. Basi ndiyo yawa, mambo ya ‘kujaa utukufu’ ni analojia za ‘Kuwa na Uzima Zaidi’. Tena basi, Uzima Zaidi ni ‘Uzuri na Shauri kwa Mabora yenye Kuwezekana’ kukadirisha ‘Mapenzi ya Mungu’/CHANZO kwa jaala za viumbe vinavyoumbika katika ulimwengu wa mazingira rafiki kwa ‘Utashi’.

Utukufu na Nguvu, kiuono na ufikirifu mifumo, ni muktadha akilifu wa ‘wakati kuwa kiumbe hai’ kadiri vile vile ‘Nia ya utu/Kujiwazia Utu’ ni metafanusi ya Ukiumbe. Kwa mintarafu ya shauri hili, KUISHI-MAISHA-UISHO ni ‘fumbo la Uzima’ uliyo pia ni ‘Umistikali wa Wakati’. Basi ndiyo yawa, ‘Milele na Milele’ ni jambo lisilo na ‘mantiki ya kiwakati’; uwepo ni namna ya chochote kuwa mwanzo na hapo hapo mwisho—kinyume chake kuwa sahihi vile vile. Tena basi, uzima wa miili ni fanusi ya ‘Uwakati’ kupitia ‘nafsi’ na ‘miili ya uweza’ ambavyo vyote viwili, miili na nafsi, vinaweza kupitia ‘mageuzi ya kisura’ na hivyo ‘kutawala ‘mambo ya nyakati’ na ‘uwepo wa kimiili katika Usupasha’.

Yantra Dhamma ni muktadha akilifu wa ‘Utukufu na Nguvu’ ambavyo ‘Duara/TUFE ni Uasilia wa Ukutufu’ na ‘Mraba/KUBU ni uasilia wa Nguvu’. Kwa mintarafu ya shauri hili, usentienti-konsayansi-nuru ya ufahamu daima unatengeneza uwezekano wa utendaji wa kimaadili na miiko-- kwa namna ya ‘Uinulio wa Juu’ ama/na ‘Uangukio wa Chini’--mambo ya ‘ugravitali’ kwenye mambo ya ‘kupaa mawinguni/kuteremka Duniani’. Basi ndiyo yawa, kitovu cha Yantra Dhamma ni utaswira wa Pembe Tatu zilizo ni mbili--zenye kuingiliana; ambavyo ‘Shekinahi’ ni ushughuli wa malaika katika kukadirisha ‘Usahihi wa Kimifumo’--mifumo inayojinasibu ‘mageuzi ya sura’, wakati wowote, kuwa sawasawa na utukufu na nguvu ya ‘Nuru’ na ‘Pumzi’ ya ulimwengu wote mzima.

==Yantra Dhamma : Nguvu na Upendo ==


Yantra Dhamma ni muktadha akilifu wa ‘Utukufu na Nguvu’ ambavyo ‘Mhimili wa Imani’ umenyookea kati ya ‘kitovu cha kujichagulia katika nchi’ na ‘kitovu cha Ontolojia ya Taasisi katika Mbingu’. Kwa mintarafu ya shauri hili, ‘Sala ya Bwana’ ina Mbawa Mbili za Umalaika ambavyo Bawa la ‘Uzuri na Shauri’ hutangamana na Bawa la ‘Nguvu na Upendo’ katika muktadha akilifu wa Uzima, Liberti na Udhamirifu wa Furaha. Basi ndiyo yawa, Haki ni shauri linaloinua ama/na kuponya taifa/mataifa na hapo hapo Udugu ni tunda bora la ‘fursa sawa kwa wote’ na ‘Uhuru wa Kweli wa Kujichagulia’.

Katika uso wa Sayari yenye ‘pumzi’ na ‘nguvu’ zake za kustawisha viumbe vyake, kama Duniani, Haki ni ruzuku ya nchi kuviwezesha viumbe kutimiza ‘haja’ na ‘nia’ zake za kukua, kuongezeka na kuijaza sayari. Kwa mintarafu ya shauri hili, ‘haja/mahitaji’ ya viumbe vyenye usentienti, konsayansi na nuru ya ufahamu kwa namna ya tuseme ‘binadamu’, ni jambo lenye kufikiwa kwa ‘fanusi za kiutendaji’; kwa ‘damu na kazi’, ‘kazi na jasho’ ama pia ‘Sala na kazi’. Basi ndiyo yawa, alama za jadi kwa ‘haja/mahitaji/nia’ kwenye nembo ya taifa la Tanzania ni Shoka, Mkuki na Nyengo—katika robo nyekundu yenye kuwakilisha ‘Ardhi’.

Fanusi za kiutendaji ndiyo msingi wa kubayanisha ‘maadili’ na ‘miiko’ kwa kuwa maadili ni ufuatishaji wa mashauri bora ya kiustawi; na miiko ni nidhamu ya kuweka nguvu kwenye kile kinachodumisha ‘Haki’ na ‘Kustahili’ na hapo hapo kunyima nguvu yale yote yanaweza kuwa kinyume na haya. Kwa mintarafu ya shauri hili, ‘Uchumi’ na ‘Nishati’ ndiyo ufunguo wa ‘Neema za Nchi’; ambavyo uchumi ni utoshelezeaji wa mahitaji ya kimakazi na ustawi, mambo ya udhamirifu wa Riziki/Mkate wa kila siku kwenye ‘Sala ya Bwana’; pia uhitaji wa Nchi na Tawala kwa fanusi za kiutendaji zenye kheri ya kweli. Basi ndiyo yawa, Ubepari kwa mfano, si mfumo wa kijamii-uchumi wenye kheri khasa kwa kuwa unaruhusu tamaa inayopitiliza kuchengua ‘maadili’ na ‘miiko’ ya mwenendo wa udhamirifu wa ‘Utu Bora’ katika jamii/miongoni mwa wanajamii.

Uchumi na Nishati, kiuono na ufikirifu mifumo, ndiyo muktadha akilifu wa ‘Shoka’ na ‘Nyengo’ ambavyo pumzi, nguvu na mazao/mavuno ya ruzuku za nchi zinafikiwa kwa ‘damu na kazi’, ‘kazi na jasho’ na vile vile ‘Sala na Kazi’. Kwa mintarafu ya shauri hili, ualama wa ‘X’ ambavyo hujitukiza kwa ‘mkao wa Shoka na Nyengo’ , mkasi, huwakilisha ‘Uaminifu’--uaminifu wa shauri la ‘Kujichagulia’: vivyo kwa sura na maana ya ‘Shika Neno, Tenda Neno’. Basi ndiyo yawa, uaminifu wa shauri lolote la kujichagulia hujifunga hapo hapo na ‘miiko’ yake—Kwa Nchi ya Tanzania miiko hii ina msingi wa uaminifu kwa Shauri la ‘Ujamaa na Kujitegemea’; na basi uwepo wa imani yenye udhamirifu wa kukomesha Unyonyaji, kwa kuhakikisha: Aina zote za dhuluma, vitisho, ubaguzi, rushwa, uonevu au upendeleo zinaondolewa nchini.

Kiuono na ufikirifu mifumo, Ujamaa ni muktadha akilifu wa jamii yenye ‘Upendo’ ambavyo huu ni sifa na hadhi ya wanajamii kujaliana kwa hali na mali kwa kushiriki makusudi, bidii na kujitolea kusukuma gurudumu la maendeleo yake, ustawi na usivilai. Kwa mintarifu ya shauri hili, Upendo ni Usahihi wa Kimfumo pale ambapo wanajamii wanashiriki (1) ‘Upeo Sahihi wa Uono Mifumo’ na (2) ‘Udaraja wa Nidhamu ya Utu Bora’ katika kujichagulia namna za MAISHA-KUISHI-UISHO wenye kuakisi ‘Utukufu na Nguvu’--utukufu na nguvu wa kile kilicho ni asilia ya ‘Ontolojia ya Taasisi’ na ‘fanusi zote za kiutendaji’ kwa Usivilai wake. Basi ndiyo yawa, katika mapokeo ya Ukristo huja shauri la kusema: ‘Kristu/Yesu/Mungu ni Upendo’.

Kiuono na ufikirifu Mifumo, Ujamaa ni muktadha akilifu wa ‘Jicho la Kushoto’ la utu wa jamii yeyote ambavyo mtu/mwanajamii anaona ya nje ya mwili wake kwa Imani na Udhamirifu wa utu Bora. Kwa mintarafu ya shauri hili, kuwa Chumvi na Nuru ya Dunia ni hekima ya jambo lililolinganiwa/linalolinganiwa na Yesu, kutokea kwenye Injili, kama kusudi la Ushiriki wa Kheri na Chachu ya Kiutamaduni. Basi ndiyo yawa, mageuzi-sura ya mwanajamii/wanajamii ni jambo linalokuja kwa wanajamii wenyewe kuuvaa ‘utu bora’ na basi kuwa mfano wa kuvutia dhamiri za kujiwazia utu bora.

Kiuono na ufikirifu mifumo, Ujamaa ni muktadha akilifu wa jamii yenye kujinasibu na metafanusi ya ‘Uzima Zaidi’. Kwa mintarafu ya shauri hili, Uzabibu 13 ni muktadha akilifu wa jamii yenye kustawi sana katika ‘Uzuri na Shauri’. Basi ndiyo yawa, kutoka kwenye injili huja shauri la Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu wenye kulingania Utu/Ufahamu wenye ku-JUA ilivyobora, Usahihi wa Kimfumo ilivyo ni Ufahamu Kristu: ‘Kaa Ndani Yangu, Nikae Ndani yako—Akaaye Ndani yangu huyo Huzaa sana’--Yohana 15.

Upeo Sahihi wa Uono Mifumo, ndiyo ufunguo wa ‘Liberiti’--Kweli yenye kumuweka mtu huru kweli kweli.

Kiufundi, upeo usio na uwezo kuibayanisha mifumo ni sifa na hadhi ya kudumu katika ‘Ulimwengu wa Majaribu ya Kiutu’ ambavyo Konsayansi ya mtu, ule ujuzi wa kubayanisha jema ama bovu la kuliishi na kujichagulia, unapofushwa na haja ya kuishi na kujihifadhi kwa hata matendo yenye kudhuru ama/na kudhulumu wengine. Kwa mintarafu ya shauri hili, kile kiini khasa cha dhamiri ya ‘Kusameheana’ ndiyo hupata mhimili wake wa imani. Basi ndiyo yawa, maisha ni ujizungurusho wa pumzi za mambo yenye kufananiana na kufaana—kinacho kwenda ndicho hurudi; matendo yote ni kupanda mbegu—hauwezi kupanda pilipili ukajakuvuna parachichi: Karma.

Kiufundi, kusameheana ni kuvunja udhamirifu mbovu wa kujiwazia utu wa visasi, kuumizana, kulaaniana n.k. Kwa mintarafu ya shauri hili, dhamiri ya KUSAMEHE NA KUSAHAU NI LAZIMA kwa ‘Uhuru’ na kufanyika utu bora; ambavyo hili ‘Huutakasa Moyo’ na kuufanya uwe mahala pa kulitunza Pendo/Upendo. Basi ndiyo yawa, ‘Moyo na Usentienti’ ni mlango wa ‘Nuru ya Ufahamu wa Uzima’ kuiwezesha nafsi ijinasibu na ‘Kuya-JUA Mapenzi Mema ya Baba’. Tena basi, kwa kuwa ‘Baba’ ni metafanusi ya ‘Ujamii’, Sala ya Bwana inapatia khasa pale inapokuwa ni mwongozo wa kubaini ya kwamba kusameheana kunashiriki yote mawili kwa wakati mmoja—kusamehe wengine, kusamehewa na ‘Baba’; kwa kuwa kiufundi, Kusamehewa na Baba ni Kujisamehe wewe mwenyewe kutokea kwenye kile kitovu khasa cha Utu wako mwenyewe.

Kiufundi, upeo wa kumaizi ‘ushirika wa kiroho wa vyote vya ulimwenguni’ ndiyo kiini cha masahihisho ilivyo ni kujichagulia upya njia na mapito ya maisha. Kwa mintarafu ya shauri hili, maisha ni kumbukumbu; japo kheri ya kuishi kama nafsi huhitaji ‘kusahau/kufichika’ mengine yote nje ya nafsi; viumbe vyote vyenye usentienti, konsayansi na nuru ya ufahamu ni ‘kumbukumbu zinazoishi za CHANZO/Mungu’; ambavyo ‘Umalaika’ ni njia ya kufikia ‘kumbukumbu yoyote’ -- kokote na momote; Iwe Leo, Jana ama Kesho. Basi ndiyo yawa, mapokeo ya Ukristo huzungumza khabari za ‘Vitabu vya Uzima’ na ‘Hatma za Nyakati’--kwenye mapokeo ya Uhindu hili ndilo lile lile la ‘Uakasha’; tukiwa na mafahamu ya ‘Uzima zaidi’ inastaajabisha kuja ku-JUA ya kwamba kuyajua mambo yaliyopita, yanayoendelea na hata ya wakati ujao daima ni uwezekano katika ‘Ufahamu Kristu’.

Ufahamu Kristu, kiuono na ufikirifu mifumo, ni sifa na hadhi ya ‘Akili na Utambuzi’ wa mambo yaliyowazi ama kusitirika, iwe SASA ama wakati mwingine wowote—mahala pengine popote kwenye Ulimwengu, kwa usahihi wa hali juu kuwezekana. Kwa mintarafu ya shauri hili, uwezo wa kuona yaliyodhahiri ‘moja kwa moja’ na ‘isivyo moja kwa moja’ unaweza kutofautiana kwa viumbe vyenye usentienti, konsayansi na nuru ya ufahamu; lakini kiumbe chochote chenye nasibu ya kuona kupitia sifa na hadhi ‘Ufahamu Kristu’ hupata mafahamu ya ukweli khasa ya muktadha akilifu wa ‘jambo linaloonekana kwa jicho la kiroho’ hata yenye kutokea katika mseto wa mengi yasiyo na idadi -- ya mawezekano ya viumbe vingine ‘kujichagulia’ na basi kuathiri ‘Matukio/Ukumbukumbu’ wa mambo… Hili ndilo khasa msingi wa shauri la Paulo kupata kuzungumza kuhusu ‘Kujua kwa jinsi ya Rohoni’.

Ufahamu Kristu, kiuono na ufikirifu mifumo, ni sifa na hadhi ya ‘Akili na Utambuzi’ wa pia ‘mambo ya umistikali wa wakati’ ambavyo ‘matukio/udhahiri wa mambo’ ama/na ‘uzima’ wa mifumo hai si kitu kilichofungwa sura moja. Kwa mintarafu ya shauri hili, ‘KUOMBA’ si kingine bali fanusi ya kiutendaji yenye kutengeneza ushawishi wa kupangua ‘Sura za Mambo’ kwa kadiri ya udhamirifu wa nia safi khasa ya CHANZO/Mungu-- ‘Ontolojia ya Taasisi’ kwa ‘Shauri’ la ‘Mapenzi mema kufanyika Duniani kama Mbinguni’.​

==Yantra Dhamma : Maarifu ya Ulinzi ==


Ufahamu Kristu, kiuono na ufikirifu mifumo, ni sifa na hadhi ya ‘Akili na Utambuzi’ wa pia Ulinzi wa Mifumo ya Ustawi na Kujichagulia. Hili ndilo kwenye ‘Sala ya Bwana’ ndilo fungu la udhamirifu wa ‘Usitutie katika Kishawishi...’. Kwa mintarafu ya shauri hili, ukumbaizi wa metafanusi ya ‘utu usiyojiwazia Utu bora’ ndiyo kile kile ambacho kwenye mapokeo ya Ukristo na Uislamu husemwa ni ‘Shetani/Ibilisi’ ambavyo ‘nafsi zisizo na u-JUA-ji uliobora’ huingizwa majaribuni kwa udhamirifu wa (1) Mkate wa haja: Uvamizi wa kudra na unasaba wa vingine kwa sababu tu ya uwezo wa kujipendelea kimaslahi/Uhitaji binafsi, (2) Wokovu kutoka Nje : Utegemezi wa namna yoyote wa agano na mtu/malaika/jini n.k kusaidia unapoanguka ili kujiridhisha ubatili wa umuhimu wa nafsi yako mbele ya huyo, na (3) Legasi/Urithi : kusujudia umaarufu, fahari na miliki kama vile: ‘jina lako liwe linadumu zaidi’ miongoni mwa walimwengu ilivyo ni ubatili wa kuipoteza ‘nafsi-roho/sonafi’ kwa ajili ya kujiwazia utu wa vitu vya ulimwengu dhahiri kwa macho.

Kwa matatu haya, basi ndiyo kuwa : maadili na miiko ni pamoja na kutotumia uwezo wako vibaya kwa namna zilizo batili—ikiwa una uwezo wa kugeuza jiwe kuwa mkate; hicho hicho kinachowezesha kutenda muujiza huo kinaweza pia kukutia nguvu moja kwa moja mwilini, pasipokuhitaji kutia kitu/mkate tumboni… Hata kama kuna ukweli wa msaada wa daima wa viumbe vya kudra tofauti; kama mfano tuseme: ‘mtu’ na ‘malaika’ kulitafsiri hili kama ‘linatumikia nafsi yake mtu’ kila pahala na ‘nasibu ya kuangamia’ ni ukosefu wa busara ya kung’amua ya kwamba ‘mwanzo na mwisho’ wa jambo/uzima wowote si lazima uwe mikononi mwa mtu mwenyewe—CHANZO/Mungu ndiye mwenyekujua ilivyobora zaidi… Fahari za mambo ya Dunia ni bora ziwe na ukiasi; na kutofungamana na roho-yautaka-vitu isiyo na upeo sahihi wa uono mifumo—‘tamaa za miili’ na ‘starehe za kuwa na mali/jina/umaarufu’ zaweza kupofusha usentieti, konsayansi na nuru ya ufahamu na kupelekea ‘Ukafiri’.

Kiuono na ufikirifu Mifumo, ‘majaribu ya Yesu’ ni analojia za ‘akitipu kwa Ushindi’--ushindi wa kimashauri ya imani na udhamirifu dhidi ya ‘majaribu na vishawishi’ katika muktadha akilifu wa (1) ‘hisia/Kujisikia’ na (2) ‘Ukosefu wa vina sahihi vya tafsiri ya mambo/urazini’. Kwa mintarafu ya shauri hili, ushindi huu ni muktadha wa kujitambua kiroho ilivyo ni ‘Liberiti’. Basi ndiyo yawa, Duniani kote miongozo ya nchi-dola hutaja ama kugusia ‘Uhuru/Liberti’ kwa ujuujuu wa mashauri ya ‘ustahikio-haki wa Wanajamii/Jamhuri’. Kiufundi, liberiti, ni jambo lenye sifa na hadhi ya ‘Ufahamu Kristu’ na si namna zozote za ‘dhana za tafsiri za kisheria’--sheria zilizo na msingi wa mashauri yaliyo na upofu kwa nasibu ya ‘Akili na Utambuzi’ wa upeo sahihi wa ‘Uono Mifumo’.

Siku za mbele kidogo, tutakapoanza kuhabarika kuhusu MAISHA-KUISHI-UISHO wa viumbe watu wengine kutoka nje ya Sayari yetu ya Dunia, Uono na Ufikirifu Mifumo ndiyo utaotuwezesha ‘kubadilishano mawazo’ kwa tija na ufanisi. Kwa mintarafu ya hivi, isijekushangaza kuja kufahamu ‘Uhuru wa kweli wa kijamii’ ni kitu adimu kwa jamii nyingi huko kwenye stawi/sivilai za manyotani. Hili kiufundi linatukumbusha jambo moja: tuwe makini sana na ‘Shauri la Uhuru’; kwa kuwa jamii yote kwa pamoja inahitaji kuulinda ‘Uhuru’ wake—pasipo hivi jamii yeyote haiko salama khasa kwa kuwa inahatarisha uwepo wake mbele ‘ugeni’ wa wengine wanaoweza kutokea nje ya mazingira ya milki yake.

Usalama wa Jamii, iwe Duniani ama kokote kule nje ya Sayari yetu, ni jambo mtambuka ambavyo ‘mazingira rafiki ya ustawi’ ni kigezo cha uaguzi na tathmini kwa hali yake ya mifumo ya uzima wa taifa/nchi-dola. Kwa mintarafu ya shauri hili, usalama wa jamii ni jambo lenye kupasa kuwepo kwa mizizi mirefu kabisa, mizizi iliyo ni mishipa ya fahamu; inayopasa kuwa na mafahamu ya ‘mazingira ndani/nje’, kuratibiwa na ‘Akili na Utambuzi’, kwa ajili ya kubaini ‘utayari’ wa jamii yenyewe kukabiliana na chochote kinachoweza kuhatarisha ‘uzima wake wa ndani’ kijamii na mifumo yake. Basi ndiyo yawa, inaweza kushangaza; ‘Ulinzi na Usalama’ kwa jamii nyingi za Duniani na hata Manyotani ni shughuli kuu/ya msingi kwa ‘Utaasisi wa Kijeshi’.

Kazi ya kulinda mipaka ya nchi-dola na kuzingatia usalama wa taifa, ni ya kila raia afanyaye taifa/nchi-dola husika—wote kwa nafasi zao, labda ‘kisura rasmi’ na taasisi nyingine za akili na utambuzi; lakini kwa Utaasisi wa Jeshi – hubidi hii kuwa na upeo sahihi na mpana kabisa wa mifumo yote ya ustawi wa jamii.

Kwa Tanzania, hili ndilo lifanyalo Utaasisi wa Jeshi kuwa na alama kuu ya ‘Mwenge wa Uhuru’; ambavyo Utaasisi wake una misingi ya Imani na Udhamirifu Thabiti wa kulinda na kutetea ‘Miongozo’ ya Ujamhuri na Wanajamii wake—Shika Neno, tenda Neno kwa ualama wa Majambia Mawili. Kwa mintarafu ya hili, Utaasisi wa Jeshi ndiyo msisitizaji wa kwanza wa shauri la kuilinda Amani ya nchi; vile vile kushirikiana na wadau wote : ‘Utawala, Maendeleo ya Jamii, Utaasisi wa Dini’; kwenye kulingania Amani, Uhuru na Umoja—Kuitafuta Nuru ya ‘Liberiti’ na ‘Hekima’; kwa kuwa ‘Hekima, Umoja na Amani’ ni ngao ya ustawi kwa Taifa la Watanzania. Basi ndiyo yawa, Jeshi Hodari na la Kimikakati, daima lina watu wake walionimafundi wa nyanja zote muhimu za Utendaji na Ustawi wa jamii—na hapa na pale kulazimu baadhi ya watumishi wa kada yake kuwa Watendaji Wakuu wa kusimamia Maendeleo, Utumishi na Utawala Bora—kuhudumu kiraia katika safu za utawala wa Serikali Kuu.

Amani ya Taifa lolote/jamii yoyote, kiuono na ufikirifu mifumo, si muktadha akilifu wa ‘utowepo wa vita’ pekee. Nidhamu ya ndani ya watendaji wote wa miundo ya utumishi wa umma; uzingatiaji wa maadili na miiko ya ‘utumishi wa umma’, uadilifu wa kiutendaji na tena kwa uweledi wa mambo; na ‘umma wenyewe wenye kutimiza majukumu yake ya kiuraia wema’ ni ‘Udini’--udini ambao Uraiani ama serikalini unaweza kuwa ‘mambo ya poa poa’; hili si hivyo Jeshini. Kiufundi, Ujeshi ni ‘dini’ ya namna yake—iwe Duniani ama Kokote kule, Sayari nyingine za manyotani, kwenye Jamii za watu, Maendeleo ya Maingiliano ya tamaduni na mahusiano ya Kibiashara/mabadilishano kwa makubaliano maalum. ‘Koherensia ya Utaasisi’ ndiyo kiashirifu kikuu cha uadilifu wa mambo na uwepo thabiti wa ‘Amani na Utulivu’ katika Taifa na miundo yake ya Utendaji ambavyo shabaha zote mbili za jamii, maendeleo na ustawi bora, yanafikiwa.

Ujeshi kuwa ni ‘dini’ ya aina yake, kiuono na ufikirifu mifumo, ni muktadha akilifu wa Shauri kuu kwa Askari Jeshi: Kulinda na Kuhudumia. Wakati miongozo ya ustawi wa umma wa kiraia huzingatia shauri la Uzima, Liberiti na Udhamirifu wa Furaha, askari-jeshi ni mtu anayekula yamini kulinda na kutetea Uzima, Liberiti na Udhamirifu wa Furaha ya wanajamii wenzake hata kwa gharama ya kwenda kinyume na hayo yote matatu—dhidi ya adui wa hayo aliyebainika na basi kuamrika kumthibiti/kumuangamiza. Kwa mintarafu ya hili, askari jeshi yeyote ni mtu wa ‘tohara ya kijeshi’ ambavyo muktadha akilifu wa mila, desturi na jadi za kijeshi humuingiza ‘Jandoni/Kambini/Kundini’. Kiutamaduni, mambo ya Jando na Unyago, ni muktadha akilifu wa ‘udini’ wa asili wa jamii yoyote kisomoni—Ujeshini si tofauti.

Kiuono na ufikirifu mifumo, Ontolojia ya Taasisi ya Ujeshi ni muktadha akilifu wa upande-mbili wa Uzima na Mauti katika ujumuifu wa dhamira ya ‘Ukuwa’--Jeshi ni Ngao ya Msalaba, na khali mapana ya jamii na mazazi yake ni ‘Ngao ya Ustawi/Vesika-Paisisi’. Mwenge wa Uhuru kuwa Juu kabisa kwenye Robo Nne za ‘Ngao ya Ustawi’ ni muktadha akilifu wa ‘Umwongozo Mkuu’ ambapo hufuatiwa na ‘Bendera’--ualama mkuu wa ‘Uzalendo wa Kitaifa’. Kwa mintarafu ya shauri hili, uaskari-jeshi ni kitovu cha ‘marejeo ngamani’ kwa pumzi na uendelevu wa ustawi wa jamii yeyote kwa sura ya tuseme nchi-dola, nchi-jiji, himaya, Usultani n.k.

Katika ulimwengu wa kujenga na kuitengeneza milki, jeshi ndiyo nguvu halisi ya uwepo, ustahimilfu na udumuji wa usivilai na Utaasisi wa nchi-Dola. Utawala wowote unapande mbili za mamlaka na usovereini, kama vile ‘Kichwa’ na ‘Mkia’ kwenye sarafu; ambavyo kwa mfano, kwenye mapokeo ya Ukristo kuna habari za Yesu kuishika sarafu ya utawala wa Kirumi na kuonesha upande mbili wake—shauri la ‘ya Kaisari mpe Kaisari; ya Mungu mpe Mungu’. Basi ndiyo yawa, hata kwa mfano, ‘Shilingi Moja ya Tanzania’ kuwa na upande mmoja wa ‘Kichwa cha Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano’ na mwingine kuwa na ‘Mwenge wa Uhuru Ulioshikiliwa barabara kwa Mkono’.

Huu wote ni ualama wa jadi ile ile ya ‘Mamlaka ya Wananchi’ na ‘Jeshi lake la Wananchi’, uasili wa dhana ya ‘Jeshi la Kujenga Taifa’ na ‘Jeshi la Ulinzi la Wananchi’—mamlaka inayotangulisha mbele Shauri la (1) Liberiti, na (1) Mwongozo : kwa basi yote mawili ‘Kazi’ na ‘Uhuru’ kwa kuwa ‘Uhuru ni Kazi’; namba moja ni ualama wa ‘Mwongozo na Mamlaka’--Ontolojia ya Taasisi… Tena basi ndivyo kwa nini ‘Shilingi Moja’ ni pia maskoti ya ‘Hazina na Ustawi’ – jambo linalozingatiwa kuifanya sarafu ya shilingi moja ni ualama wa kipekee unaoendelezana kiulelezo na ualama wa ‘Benki Kuu’--Benku Kuu kuwa na ualama wa ‘mfano wa Taji la Majani Mabichi’ wenye ‘Mwenge wa Uhuru’ katikati yake.

Kutoka kwenye ufundi wa Metafizikia ya Elimu, Shams Al Maarif – Jua la Maarifu, namba moja daima hukadirisha ukadinali wa ‘Moto’, ‘Upepo’, ‘Ardhi’ na ‘Maji’ kwenye Mraba wa Kugema Utukufu na Nguvu ya ‘Uzima Zaidi’.

Haya ni mambo ya kiufundi ya kuisuka nchi-dola, tawala na utamaduni/udini wake; ambavyo, 2024 na kusonga, umma wote unalazimika kuwa na wepesi wa kung’amua mashauri ya ‘Ontolojia ya Taasisi’ kwa kuwa jambo hili ni Yunivasali kote Ulimwenguni—si mambo ya kusema yana asili ya Duniani na tena Urithi wa ufundi wa Kirumi wa kuijenga Himaya. Wakati mmoja, siku za mbele, isije kushangaza kuja kufahamu fika ukweli wa kwamba, hata kwenye himaya ya Kirumi ‘maarifa yake’ ni mwendelezo wa ‘Ontolojia ya Taasisi’ kwa himaya yenye asili ya hata nje ya Sayari ya Dunia.

Himaya/Tawala/Tamaduni/Sivilai zilizo na ‘Maarifa’ na tena ‘kumbukumbu Utaasisi’ --kumbukumbu Utaasisi yenye nguvu khasa kupita tamaduni za Duniani kwa tuseme sasa, 2024, zina ujuzi wa hali ya juu wa ‘Kugeuza Jiwe kuwa Mkate’. Kwa mintarafu ya shauri hili, huu ni muktadha akilifu wa jambo lile lile lenye kutajwa kwenye visomo 1.0, kwenye lugha ya Kiingereza kama ‘Cultural Assimilation’--Kuzimeza tamaduni nyingine kwa ufundi wa kuchezea misingi ya mila, desturi na jadi za mataifa mengine ili kuyameza kwa utawala usio wa wazi wazi—kuwa na subira kuu hata vizazi na vizazi ili kufanikisha kuibadilisha kabisa, jamii yoyote inayolengwa, ‘historia yake’ na ‘mashauri yake ya Utaifa/Ontolojia ya Taasisi’.

Kiufundi, haya ni mashauri ya kututaka tuwe na dhamira ya ‘kujiongeza’ na si kuishi kwa mazoea tu ambavyo mtu haujiulizi kimsingi, na kwa kina, Je, ni nini tunakifanya hapa Duniani pasi na uwoga wa kuhoji lolote lile la ‘Ontolojia ya Taasisi’(?). Hili ni shauri lile lile ya Yesu kupata kufundisha ‘Tafuteni Nanyi Mtapata’, ‘Bisheni Mtafunguliwa’, ‘Ombeni Mtapewa’--kwa kuwa huu ni khasa ukweli yunivasali unaowasanua ‘Waja Wema’ si Duniani tu hata kwenye Sayari Nyingine zenye mambo haya haya ya ‘Walimwengu’. Yesu ni mtu wa‘Liberiti’; na isije kushangaza siku moja kuja kufahamika ni mtu wa ‘mikakati ya Kijeshi’… Basi ndiyo yawa, kwa mwanajamii asiye na ‘Moyo Mkuu’, eti kudhani : mtu wa ‘Ufahamu Kristu’ na mambo ya kijeshi—wapi na wapi?

Namna tofauti tofauti za Wanajamii wenye makusudi yaliyofichama wanaweza, kama wageni, kujichanganya na wenyeji ikiwa mazingira ya uhitaji, haja na nia yanakidhika. Hili ni jambo yunivasali, Si Duniani tu, tuseme labda ‘Muganda’ anaishi ‘Tanzania’ kwa kuwa ujuzi wake wa kuongea Kiswahili na ‘Kuuvaa Uswahili’ unaondoa mashaka ya uasili wa kinjenje kimuonekano. Hili pia ni jambo linaloendelea kote Ulimwengu kwenye sayari zenye watu na mambo yenye kulandana; Watu kutoka sayari nyingine wenye kufanania na uzungu wanaweza kuishi na kujichanganya jamii ya wazungu pasipo kutambulika, wenye asili ya ‘rangi nyeusi’ wanaweza kujichanganya na Waafrika pasipo kutambulika. Japo siku za mbele kidogo, isije kushangaza ‘maendeleo ya Dunia ya leo’ imeruhusu hata wenye asili ya ‘Uzungu’ kuishi popote, kwa muda mfupi mfupi hata mrefu—hata Afrika! Vivyo hivyo kwa wenye asili ya namna za ‘Watu Weusi’ ama ‘Uchotara’ kujichanganya Afrika, Amerika. Amerika ya Ulatino n.k.

Kiufundi, haya—kwa sisi watu wenyeji wa Duniani, yanatukumbusha dhamiri ya ‘Akili ya Utambuzi’ kwa shauri la kwamba: Kamwe tusiwe naivu kudhani Wanajamii kutoka Sayari za mbali kuja kuzengea juu juu Sayari ya Dunia na hata wakati mwingine kuteremka chini na kujichanganya ni kwa kuwa labda wako ‘vekesheni’… Kwa mintarafu ya shauri hili, mambo ya kwenda mbali na kuandama sayari fulani, kiukweli khasa wa mambo, ni mambo ya ‘Kuwinda Rasilimali’. Basi ndiyo yawa, jamii za kiintastela, uwezekano wa kuruka ama/na kutobozea kokote mbali, zinanasibu ya mengi yanayoweza kuwasibu na hivyo kuwabidi wawe wachunguzi na wawindaji wa rasilimali za kokote kule—ikiwemo vile vile kuzivuna hizo ikawa kuna ‘mwanya’ wa kufanya hivyo. Labda hapa Duniani, sisi wanajamii ambao bado ‘hatuna mengi’ tunaweza tusielewe kwa urahisi ‘ikolojia’ ya tamaduni za ustawi wa sifa na hadhi ya kimanyota

Jamii tofauti tofauti za kiintastela zipo Duniani kwa muktadha akilifu wa mambo ya kubidi kulingana ‘mafahamu’ ya kinamna yao—vile kwenye lugha ya Kiingereza ingalisemwa: ‘Imperatives’; na si ‘Vacation’. Kwa mintarafu ya shauri hili, hata uakilifu wetu wote wa Kiulinzi na Usalama hauna budi kusonga mbele na paradaimu tofauti ya madhanifu, iliyobora, kulingana na mazingira yaliyopo. Basi ndiyo yawa, jamii zote za wanadamu wanaweza kugema ‘maarifu ya Ulinzi’ kwa mbegu za u-JUA-ji, zilizo ni yunivasali, ili kuleta mwangaza wa ‘Ulinzi’ na ‘Kujichagulia’--asili ya ‘Mkuki wa Jaala’ katikati ya vesika-Paisisi ya ‘Ngao ya Ustawi’.

Yantra Dhamma ni ufunguo wa Elimu 1.0, Elimu 2.0 na Elimu 3.0 katika lugha za kisaikia/umalaika: Torati 2.0—Uakilifu unaotenda, kwa fanusi za kiutendaji, kupitia Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu. Kwa mintarafu ya shauri hili, Yantra Dhamma ni mbegu ya U-JUA-ji kwa ‘Ontolojia ya Taasisi’ kufaa umma wa wanaotafuta kujua ilivyobora ili ‘Usibaki kwenye Majaribu na tena katika Ulimwengu wa Vishawishi’; Ule muktadha akilifu wa mapana ya jami yenye metafanusi ya ‘Utu Kumbaizi wenye makusudi yaliyoharibika’. Basi ndiyo yawa, maisha yeyote ya kuishi kwa (1) kufuata mkumbo, (2) kutochunguza asili ya uadilifu wa mambo vile vile maadili na miiko ya kijamii ni ‘kujichagulia fungu la kukosa—kwa kutochagua kabisa’--ni kuishi pasi mpango ama/na kusudi khasa, basi ndiyo ‘Utapangiwa Maisha na Wengine’.​

==Yantra Dhamma : KUBU ya SHEKINAHI==


Utukufu na Nguvu, ni chachu inayohuisha ‘unasaba na mazazi ya jamii’—iwe Duniani ama kokote, Sayarini Kwingine Ulimwenguni, ambavyo ‘UJAZI kwa Kheri ya Pumzi’ huzijaalia hizo kudra za kuzimudu haja za miili yake na Uzima. Kwa mintarafu ya shauri hili, nguvu ya jami kuwa kitu kimoja katika ‘USASA-NIA’ daima ni akitipu ya ‘KUBU’. Hii ndiyo asili khasa ya kwamba: namna yoyote yenye kukidhi haja ya ‘kiutawala wa mambo’, mambo ya mila, destri na jadi za kijamii, kuwa ni ‘fumbo la imani’--imani kwa unasibu wa ‘Ushetani’ ama ‘Umalaika’. Basi ndiyo yawa, kiufundi ‘majaribu na ushawishi wa yule ovu’ huweza kuwa ni ‘ngazi’ ya ‘kuimarika kimashauri ya Kiroho’ ikiwa mtu/mwanajamii anakuwa na ‘Ushindi’ kwa ‘kuipitiliza KUBU’ ya ‘Ujamii wa Kawaida’. Tena, wema na uovu upo pia hata na watu kutoka sayari nyingine—kwa namna moja ama nyingine, sura moja hata ingine… Jambo linaloweza kuamuliwa fasaha yake na ‘Uono na Ufikirifu Mifumo’.

Kwenye ‘Sala ya Bwana’, udhamirifu wa ‘Utupe Leo Riziki Yetu’ ni fungu la ‘Kode ya Ufahamu Kristu’ kwa ‘Wema/Uzuri’--Uzuri wa ‘Neema’ za CHANZO/MUNGU. Kiufundi, uakilifu wa ‘Neema’ ni ufunguo wa kuamsha ‘Umalaika’ wa mtu/mwanajamii yeyote. Kwa mintarafu ya shauri hili, kwenye ‘udini’ wowote iwe tuseme mapokeo ya Ukristo ama/na Uislam, njia mojawapo ya kuutakasa moyo ili kuufanya ‘Utu Wema’ ni matendo ya ‘Kushukuru’ na ‘Kutukuza’. Basi ndiyo asili khasa ya ‘Kumkumbuka Mungu’ kwa kila jambo lenye ‘kuleta wepesi/Kupendeza’; kauli za ‘Alhamdulillah’, ‘Ma Shaa Allah’ ama ‘Haleluya’, ‘Tu(m)sifu Kristu/Mungu’ n.k ama hata tu kusema ‘Ahsante/Shukrani’, kwa maneno au kimoyomoyo; kwa nafsi moja ama hata kuelekezea kwa wanajamii wengine ama hata pia ulimwengu wote mzima.

Mambo ya ‘Sifa na Utukufu’ ni ufunguo kwa ‘umistikali wa wakati’ na tena ‘SHEKINAHI’--ujumuifu wa ‘Supasha/Maada/Nishati/Umilele’. Ushekinahi, Kiufundi ni mambo ya ‘kukuza chaji ya nuru na utukufu wa utu, kupitia Moyo Mkuu’ na basi nuru ya umiili- akili ya nguvu, Aura; ambavyo ushekinahi unaweza kuathiri Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu kwa kheri ya ‘Uzima zaidi’ wa yeyote mwenye Imani ama/na Upendo Mkuu. Kwa mintarafu ya shauri hili, Shekinahi ni muktadha akilifu wa ‘UWEPO’--uwepo wa nguvu za kimalaika kuweza kukadirisha ‘mageuzi-sura’ ya kimazingira na ustawi wa ‘mtu aishiye katika hali ya Neema’. Basi ndiyo yawa, kuishi katika hali ya Neema si jingine bali muktadha akilifu wa ‘Sala’; mtu anayeiva kabisa katika ‘Sala na Kweli’ anaweza ‘kufanya miujiza’ kwa kadiri ya mafahamu ya ku-JUA ya UWEPO/SHEKINAHI.

Mambo ya Imani na Upendo Mkuu, kiuono na ufikirifu mifumo, ndiyo muktadha akilifu wa Msingi Kristu katika UJAZI hata pia ‘UPONYAJI’ wa mataifa katika mapokeo ya Ukristo. Shauri hili ni ukweli wa mambo kwa kuwa Kristu ni Ufahamu ulio ni namna ya Mbegu ya U-JUA-ji kwa ‘Utukufu na Nguvu’ ambavyo Ushekinahi hufuatisha ‘fanusi za Kiutendaji’ katika ‘jamvi lolote’ la usentienti, konsayansi na nuru ya ufahamu—iwe ni upahala pa ‘udongo mzuri’ ama ‘Sivyo’; Kode za Ufahamu Kristu ni ‘Nyekundu ya Udongo Mzuri’ katika ‘Mioyo inayouishi Uakilifu na Utambuzi wa Neema na Kweli’--mambo ya ‘Uzabibu 13’.

Ujazi na Uponyaji, kiufundi, ndiyo kheri ya ‘Uchali wa kusini ya Torati’; kheri ya ‘Haki’ na ‘Udugu’ katika Nishani ya Utu Bora. Vivyo hivyo, ‘Liberti na Utulivu wenye Afya’ ndiyo kheri ya ‘Uchali wa Kaskazini ya Torati’. Mapana haya mawili ya Yantra Dhamma yanajenga sifa na hadhi za ‘Shauri’ na ‘Nguvu’. Kwa mintarafu ya shauri hili, ‘Maadili na Miiko’ ni mambo ‘Mkono wa Kuume na Kushoto’ wa ‘Utukufu na Nguvu’. Basi ndiyo yawa, ‘Maadili na Miiko’ ni muktadha akilifu wa ‘Msimamo wa Kujichagulia’--kujichagulia ‘Shauri’ lenye ‘Kutia Nguvu ya Mageuzi-Sura’ kwa vitovu na Mhimili wa Imani ya ‘Ushetani ama Umalaika’; katika ‘Kupaa ama Kunguka kimwili-roho’… Kiufundi, ‘miili yote, yenye kuonekana ama hata kutoonekana, ni Roho’ – ‘Roho wa Mungu’ katika Uandishi wa ‘Kujiwazia Utu’. Basi ndiyo kuwa, kusema ‘Mungu ni Roho, Mungu yuko Mahala Pote’ ni mapelekeo ya ukweli ule ule wa kumaanisha kila kitu ni ‘Uso wa Mungu’; utofauti wa vitu ni ‘Pumzi na Nuru’ iliyo ni uandiko wa ‘lugha ya kimalaika’ katika uhifadhi wa Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu.

Kuoonekana na Kutoonekana kimiili ni mambo ya ‘Usiku na Mchana’ wa Upeo wa kutanabahi ‘Pumzi na Nuru’. Ni pumzi na nuru vifanyavyo ‘UNENO’--NENO linaloishi kwa udaraja wa madhahiri; kulingana na ‘Tunu ndani ya tunu’ ya UWEPO. Tunu hizi ndiyo ‘nguvu na utukufu’ wa Usentienti wenye ‘Kuota Njozi ndani ya Njozi’. Kwa mintarafu ya shauri hili, maisha ni ‘njozi’, daima ndani ya njozi nyingine, ambavyo imani na udhamirifu wa kutafuta kuamka ndiyo ‘wokovu’ kutoka kwenye KUBU moja ya Udhahiri hata ikingine kimetafanusi. Basi ndiyo yawa, katika mapokeo ya Ukristo kile kisa cha Yesu kutembea juu ya maji na Petro kuzama ni analojia za uakitipu wa ‘miili, mafikara, njozi na miujiza/fanusi za kiutendaji’.

Kiuono na ufikirifu mifumo, kisa cha Yesu kutembea juu ya maji ni kati ya mifano bora ya kubangulia shauri la ‘Unjozi wa Fahamu’ na ‘Uamko wa Kimalaika’. Hili ndilo linafanania shauri la kwamba, Mtu anayeziishi kode za Ufahamu Kristu na Ushekinahi, anaweza kupangua hata ‘sheria’ za kimaumbile, kama ugravitali, na ama hata kufanya ‘viini macho’; Yesu kutembea juu ya maji ni nasibu ya ‘uwepesi wa kimwili’ unaowezekana na basi kumfanya mtu ‘kutembea juu ya maji’. Kiufundi, yote ambayo watu husikia ni miujiza ya uwezo wa Yesu daima ni uwezekano kwa watu wote—iwe ni kuweka ombwe la kutoonekana na hali upo katikati ya macho ya watu, kufahamu yanayoendelea kwenye uakilifu na utambuzi wa wengine, kuyafahamu ya mbali na upeo wa fahamu za miili kwa kusikia/kuona/kugusa/kuonja/kunusu /kuhisi uwepo wa kisicho na mwili-dhahiri n.k.

Kwa mintarafu ya haya, tunaishi kwenye ‘ulimwengu usiyo yabisi’ khasa ila kwa ‘Unjozi’ wetu—unjozi wa pia kushirishana ‘kanuni za kusadiki mawepo uzima wa miili’. Ulimwengu wote ni ‘mafikara’--mafikara yanayoishi kwa ‘vimvuli’ vya ‘waota njozi na waoteshao njozi’. Wingi wake nao pia ‘njozi’; kwa kuwa mwishoye njozi zote ni ‘MOJA’--CHANZO/Mungu katika ‘Umistikali wa Usentienti’--Ontolojia ya Taasisi. Kwa mintarafu ya shauri hili, inafanania kubangua dhana za kana: Petro alipomuona Yesu akitembea kwenye maji, ‘chaji ya upumzi na nuru ya umwili-akili’ wake uliongezeka kiasi cha kutosha kumweka katika sifa na hadhi sawa ya ‘Ushekinahi wa Yesu’--njozi ya umiujiza wa kudhamiria kutembea juu ya maji kana vile maji ni mazito sana kuliko mwili wa mtu atembeaye juu yake. Tena zaidi, baada ya Petro mwenyewe kusadiki Yesu amempa ‘kibali’ cha kumfuata na basi ‘inawezekana’; Lakini, Petro alipoanza kuingia wasiwasi kwa fikara/mafikara ya kana kusema ‘haiwezekani’ anaweza kutembea juu ya maji ‘tofauti na kawaida’ aliuua ‘uchaji’ wa ‘Utukufu na Nguvu’ na hivyo kurudi kwenye ‘njozi’ ya kawaida za maisha ya ‘Duniani’--kuanza kuzama…

Kuona/kuonana na Imani, kwa shauri la mtu mwenye ‘ushekinahi wenye nguvu na utukufu’ na yule mwenye ‘ushekinahi wa kawaida’, kuna nasibu ya ‘kuambukizana’ uweza katika ‘mazingira fulani rafiki’ ya ‘fanusi za kiutendaji’ wa miili kwa mafahamu ya usentienti. Usadikifu kama ilivyo kwa mbegu za u-JUA-ji ni vishikizo vya ‘muona ni muonwa’ – fizikia na metafizikia ya ‘Maadili’ na ‘Miiko’; Unachoishi kusadiki/kuamini hukadirisha ‘uthabiti’ huo huo wa ‘mafikara yanayoishi’. Uki-JUA utundu wa ‘Kuota Ndoto za nguvu, uweza na utukufu’ unaweza kufanya miujiza kwa kujitegemea, si lazima usaidiwe na mwingine ‘kuingia kwenye unjozi wa nguvu’. Kikundi cha watu kinachoweza kujitia katika ‘Njozi za nguvu, uweza na utukufu’ vinaweza kufanya makuu zaidi kuliko mtu mmoja mmoja… Ikiwa, kwa mfano 3% ya watu wote Duniani wanaweza ‘kuota Njozi ya nguvu, uweza na utukufu’; hata ‘mambo ya ulimwengu na walimwengu’ yataanza kubadilika kuendana na njozi za wale 3% kwa kuwa zipo nyuzi nyuzi zisizoonekana, za neema za moyo wa huruma, zenye kuunganisha malaika na viumbe vyote Duniani na hata pia Ulimwengu wote mzima—fanusi ya ‘Wafanyambawa’.

Hili ndilo linafanya utundu wa kuhakikisha wanajamii wote wa Dunia wanabaki na ‘njozi za kawaida -- iliyo kama ni sheria’ ni ‘dhamira ovu’ ya kutumia ‘Utaasisi’ wowote—Wa mapokeo ya Dini, Unchi-Dola wa Ubabe wa Kijeshi, Uthibiti wa mifumo ya fedha/sarafu; yote haya ili kujenga hulka zisizokoma za hofu, uoga, wasiwasi, utegemezi wa mifumo ya mibovu/kilaghai kwa ustawi wa umma/jamii/jumuiya ya kimataifa. Kiufundi, hofu-woga-wasiwasi, kushirikishiwa watu wengi, hufanya ‘usentienti kumbaizi’ unaopiga pini wanajamii wenyewe kwenye KUBU NYEUSI ya sifa na hadhi ya ‘Ushetani’--usentienti ‘unaonyonya damu mifumo hai’ kwa kuiba ‘utukufu na nguvu’ wa ushekinahi wake.

Haya yanafanya Shauri la Uakilifu na Utambuzi ya kwamba, jamii yeyote wakati hata wakati, huishi na adui aliyendani yake yenyewe na pia nje yake. Adui kutoka nje, ikiwa ana maarifa/ujanja/utundu wa kutosha anaweza kuivamia jamii nyingine kutokea ndani—na siyo nje, kwa manufaa ya kufaidi ‘matumizi bora ya rasilimali zilizopo’. Kwa mintrafu ya shauri hili, utundu wa kujipenyeza ni sanaa na usanii unaotofautiana baina Tamaduni/Sivilai za Ulimwengu na Walimwengu ambavyo ‘Akili ni Silaha’; Mapambano ya Kinje ni hatua ya mwisho ikiwa utundu wa kuharibu/kuangamiza kutokea ndani umekwama. Basi ndiyo yawa, Usalama wa Jamii huhitaji ‘Uakilifu na Utambuzi’ kama ‘Kinga na Ngao’ ya Usivilai wake ambavyo ‘Uhuru/Uzalendo/Kazi/Uzima’ havina budi kusimama kwenye Mlima wa Ukuu wa Kiroho/Maadili/Miiko. Hili ndilo khasa shauri la uakilifu wa ‘Ngao ya Ustawi’ ya Taifa la Tanzania kuwa Juu ya Mlima Kilimanjaro, ambavyo Vesika-Paisisi pia ina ‘Mkuki’ katikati kabisa pa Ualama huu wote -- kutokea Kulia na kutokea Kushoto.

Ndivyo basi, Jamii zenye kujua ilivyobora, Kote Ulimwenguni, hujifunda kikamilifu khasa kwenye mapaji ya Akili na Utambuzi halafu ndipo hujenga mashauri ya ‘Sura na Hadhi’ ya jamii zake. Kwa kuyaishi haya, mbegu za u-JUA-ji huwa ni ‘Urangi rangi na Miali’ ya Mwongozo kwa ‘Pumzi na Nuru’ ya ‘Ustawi wa Nchi’. Kwa mintarafu ya shauri hili, Yesu kupata kusema ‘Ninyi Chumvi ya Dunia, Ninyi ni Nuru ya Ulimwengu’ hii ni busara itokanayo na ‘Jando na Unyago’ la Utaasisi wa ‘Waze-e’ wa Mila na Desturi na Jadi wa Ulimwengu wote Mzima ambavyo yeye ni Kielelezo khasa cha hawa. Basi ndiyo yawa, shauri la ‘kuwa Chumvi na Nuru’ ni mbegu ya u-UJUA-ji kwa fanusi za kiutendaji -- ilivyo ni Rizayati ya Elimu 3.0 kwa ajili ‘Ufahamu Kristu’.

Kiuono na Ufikirifu Mifumo, ‘Maarifa ya Ulinzi’, kijamii, hukamilishana na ‘Maarifa ya Kujenga Kaya/Jamii/Taifa/Nchi-Dola’; Haya yote ndiyo mashauri kutoka kwenye mapokeo ya khabari za injili juu ya (1) Mpanzi kupanda mbegu, (2) Nyumba inayojengwa juu ya Mwamba, na (3) Kuwa Uzao wa Mzabibu—Uzabibu 13. Kwa mintarafu ya shauri hili, ‘Waze-e’ ni muktadha akilifu wa nafsi-roho zenye uwezo, sifa na utukufu wa kuishi wakati mmoja hata mwingine huku ukijitunza na kujifahamu UTU wake kumbaizi—mambo ya USHEKINAHI. UTU huu kumbaizi ni ‘Jeshi la Ulinzi na pia Jeshi la kuyajenga Mataifa’ – kwa ujamii wowote wenye utashi—popote Duniani, Sayarini kokote Ulimwenguni. Basi ndiyo yawa, kwenye mapokeo ya Ukristo huja habari za ‘Mfalme wa Amani’, Melkizedeki/Mkuu-wa-Nchi, aliyekuwa na uwezo wa kushida vita pasipo ‘kuchomoa upanga’ -- dhidi ya maadui wa taifa lake; kana kwamba ‘Yesu’ ni yule yule ‘Melkizedeki' katika 'Kristu’

Kiuono na ufikirifu Mifumo, fanusi za kiutendaji, ni muktadha akilifu wa ‘Maarifa na Maarifu’ kupitia Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu; ambavyo ‘chachu’ yake hufuatisha ‘Ushawishi wa Kimafahamu’ kwa namna za moja kwa moja na vile vile namna zisizo za moja kwa moja. Kwa mintarafu ya shauri hili, ‘Jua la Maarifu’ ni muktadha akilifu wa u-JUA-ji unafanyika ndani ya mtu/mwanajamii kulingana na utayari wake wa kuwa na ufanisi wa ‘Chini’ ama ‘Juu’ kwa Uakilifu na Utambuzi wa ‘Siri za Uzima wa Miili/Roho’; ambavyo ‘mbegu za u-JUA-ji’ ni unasibu kwa kule kutambua ni jinsi gani ‘vitu huchomozea kuchukua sura’, na tena ‘kwa Ushawishi wa kitu/Jambo gani’—Ontolojia ya Taasisi. Basi ndiyo yawa, ‘Ufahamu Kristu’ kiufundi ni ‘Uono Mifumo Ilivyo Bora’, ambavyo kupitia ‘Uakilifu na Utambuzi’ wa Usentienti-Konsayansi-Nuru ya Ufahamu, hukadirisha ‘fanusi ya kiutendaji’ iliyo ni ‘Uono na Ufikirifu Mifumo’.

Kiuno na ufikirifu mifumo, maadili na miiko, ni muktadha akilifu wa ‘mapana na marefu ya kustahili pumzi ya kiutendaji, vigezo vya makadirifu pumzi ya kutenda na viwango vya utendaji wenyewe’; ambavyo haya hudhibiti ‘Sura na Utukufu’ wa ‘Kujichagulia. Kwa mintarafu ya shauri hili, Askari-Jeshi mwenye ‘Ufahamu Kristu’ ni mtu mwenye ‘Uwezo’ wa kutenda kuanzia kwenye ‘Maarifa na Ujuzi wa Pumzi-Kiakili’ hadi kuja nje kwenye seti ya Sanaa za Mapigano kwa Mwili hata Silaha. Hili linaweza kushangaza, eti mtu wa ‘Ufahamu Kristu’ kushika Silaha kama Fimbo/Upanga/Mkuki n.k; jambo hili ni mambo ya ‘Jando na Unyago’ la Utaasisi wa ‘Waze-e’ wa Mila na Desturi na Jadi wa Ulimwengu wote Mzima.

Basi ndiyo yawa, kuingilia kati ‘Sura na Mienendo ya Jamii’ na hatma za mataifa, hutegemea Hekima na Busara ya Mambo; Uhuru wa Kweli kwa Mataifa daima ni jambo la Kimkakati; Mikakati hai ya ‘kuishi naye Adui’ hadi pale wakati unaporuhusu ‘Kumalizana Naye’ ikibidi—kwa kheri yenye kuzingatia Utimamu, Ukomavu na ustahili wa jamii inayohitaji huduma ya kusanuliwa—kuwekwa huru Kweli Kweli.

UPENDO HUVUMILIA; MAUTI NA UZIMA WA MIILI NI DHAMANA; Maisha katika Ulimwengu wa Pumzi za Miili ni ‘Vita ya Uhuru’ kujenga Shauri la LIBERITI.

Anayeishi kwa Upanga atakufa kwa Upanga; japo si kwa Unyonge bali ‘Nguvu na Utukufu’--ikiwa tu ajua kuufanya ‘Upanga wa Haki na Hukumu’ kwa vizazi na mazazi ya Walimwengu… Kutumikia kheri, Dhumuni na kusudi la KILE KILICHO NI KHASA ASILI YA UZIMA WA VYOTE ilivyo ni KUJICHAGULIA.

‘Upanga ni Metafo’ ya Akili na Uakilifu wenye Utambuzi wa Kuzilea, Kuzitunza na Kuzilinda NISHANI ZA UTU BORA kwa gharama ya kushinda vimvuli ya Maisha na Kuishi.

HII NI SALA NA KAZI kwa yeyote Mwenye Uthubutu KUWA NDIYE ALIYE!
Pic 1.jpg

======

View: https://www.youtube.com/watch?v=rZVnejhbm54
 

Attachments

Back
Top Bottom