Maadili yameshuka sana ndio maana watu wanachekea matatizo

Maadili yameshuka sana ndio maana watu wanachekea matatizo

Duuuu!!
images.jpeg
 
Uzalendo ni kuipenda nchi na sio mtu. Kwani ulitaka atukuzwe??? Hata Lissu alistahili kuishi kwa amani, vipi kuhusu Akwilina Peter, kimara,Mbezi bila kusahau wastaafu. Pepo ni hapa hapa. KARMA IS REAL BITCH MF! Siku nzuri yameta meta wimbo huu sijausikia siku mingii
 
Ndugu katika maisha apandacho mtu ndicho atakachovuna ukipanda Upendo tegemea unavuna upendo, ukipanda chuki matokea ni hayo hayo, hii ni kwa mujibu wa neno la Mungu Galatia 6.7, Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi , kwa kuwa chochote apandacho mtu, ndicho atakachovuna.

Mbowe alisimama Mwanza akasema tumegawanyika tuwepo na madhiridhiano ya kitaifa, Viongozi wete hawakuchukua hatua matokeo yanayotokea sasa ni aina ya mbegu ya chuki iliyopandwa na ndiyo tunachovuna katika taifa, si maadili yamemomonyoka ni mbegu mbaya ya chuki iliyokaa ndani ya mioyo ya watu, maamivu ambayo yahajaponjwa na chanzo chake ni siasa, siyo dini wala waandishi wa habari ni aina ya siasa zetu mbaya.
 
Hayo maneno yakarudiwa tena bungeni na BULEMBO na hakuna aliyeyakemea; sasa tutaona atakayetangulia kati ya yule waliomchulia na wao!! Ever heard of KARMA?
Lumumba wasilalamike kwani ni matokeo waliyapanda maumivu kwa vyama pinzani haswa chadema, hawakuwa na pakusemea bali waliumia ndani kwa ndani, sasa wanafurahia kwa sababu hapakuwa na uponyaji wa majeraha ya mioyo kutokana na aina ya siasa za sas. Rejea hotuba ya Mbowe Bahari Beach alisema wanamaumivu ya ndani na mateso kwa wanachama wao, chuki iliyopanda haijapatiwa matibabu na kupelekea jamii kugawanyika tangu viongozi wa dini, siasa, waumini, wanachama na jamii kwa ujumla wapo wanaofurahia na wanasikitika.
 
Ukiwa baba wa familia, halafu unapendelea watoto kadhaa na wengine unawatenga, uwe na uhakika siku ukifa sio wote watalia.
Hivi kwa mfano kwa huyu jamaa unalilia nini? Nyerere tulimlilia kwa kuliunganisha Taifa kuwa kitu kimoja bila kujali makabila yetu na alituunganisha kwa lugha moja ya Kiswahili. JK alijitahidi kuiacha demokrasia ichukue mkono wake. Utawala wa sheria ulitamalaki. Sasa huyu ni kipi cha kumliza mtu? Mbuga ya Chattle? Kupigwa risasi kwa Lissu? Nini kitakuliza?
 
Hivi kwa mfano kwa huyu jamaa unalilia nini? Nyerere tulimlilia kwa kuliunganisha Taifa kuwa kitu kimoja bila kujali makabila yetu na alituunganisha kwa lugha moja ya Kiswahili. JK alijitahidi kuiacha demokrasia ichukue mkono wake. Utawala wa sheria ulitamalaki. Sasa huyu ni kipi cha kumliza mtu? Mbuga ya Chattle? Kupigwa risasi kwa Lissu? Nini kitakuliza?
Waache wenye nchi yao wamlilie. Sisi hayatuhusu.
 
Ni kweli. Badala ya kuwashangaa watu kucheka matatizo ya huyu jamaa yeye na wapambe wake wajiulize ni kwa nini watu wanasherehekea matatizo yake? Ushauri wangu aende tena kule kwa babu akanywe kikobe. Babu si bado yupo? Hata kule kwa waganga wake anakotulazimisha wote tuende si aende akafukize?
 
Back
Top Bottom