Sasa kama wapo hao kwa nini wanatulazimisha na wengine tulie?Wapo watakaolia
Kuna ambao utawala huu umewafaa sana. Unadhani mtu kama Sabaya hatalia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama wapo hao kwa nini wanatulazimisha na wengine tulie?Wapo watakaolia
Kuna ambao utawala huu umewafaa sana. Unadhani mtu kama Sabaya hatalia?
Maajabu kweli kweli. Kafa Nyerere na maisha yakaendele sembuse Kijazi?Sasa kama wapo hao kwa nini wanatulazimisha na wengine tulie?
Nimesema Bwa a akitenda maajabu ha kumponya usinikoti vibayaAhaaaa, tulikofika siko. Lakini ametufikisha yeye mwenyewe
CHADEMA kushangilia MwanaCCM kupata matatizo wala siyo ajabu kabisaMaadili hayajashuka, Ila watu watakutreat kulingana na wewe unavyowatreat.
What goes around comes back around. Tusitafute mchawi.
Basi matapata tabu sana hadi 2025 anaondoka mtakuwa mmekauka kama mijusiUzalendo ni kuipenda nchi na sio mtu. Kwani ulitaka atukuzwe??? Hata Lissu alistahili kuishi kwa amani, vipi kuhusu Akwilina Peter, kimara,Mbezi bila kusahau wastaafu. Pepo ni hapa hapa. KARMA IS REAL BITCH MF! Siku nzuri yameta meta wimbo huu sijausikia siku mingii
Mimi nimeshangilia nini hapo?Chadema kushangilia mwanaccm kupata matatizo wala siyo ajabu kabisa
Chadema siku zote hushangilia mtu wa ccm akipata shida no matter what!Mimi nimeshangilia nini hapo?
Kwamba ukifanya mabaya utakipwa mema?
Neva!!!!
Muasisi anajulikana alipanda miba alidhani mahindi.Kama Taifa, lazima tujiulize, chanzo za haya yote ni nini?
Tumejikwaa wapi?
Kwanini iwe leo na isiwe jana?
Na CCM kushangilia MwanaChadema kupata matatizo ni ajabu?Chadema kushangilia mwanaccm kupata matatizo wala siyo ajabu kabisa
Siyo ajabu kabisa! Ndio maana nashangaa wanaosema watu wengi, chadema ni kundi dogo sana hapa nchini na kundi kama hili dunia nzima hulikosiNa CCM kushangilia MwanaChadema kupata matatizo ni ajabu?
Kwani kakwambia 2025 anaondoka? Mbona bado yupo sana. Kumi tena!Basi matapata tabu sana hadi 2025 anaondoka mtakuwa mmekauka kama mijusi
Kundi dogo sana la chadema haliwezi kumfundisha mtu jinsi ya kuishiWho cares? Let them learn the hard way
CCM waligonga meza pale waliposema zito auwawe.Wengine wamepewa teuzi kama fadhila kwa kuwatishia wapinzaniChadema siku zote hushangilia mtu wa ccm akipata shida no matter what!
Na matapata tabu sana hadi 2025 lazima mnye dagaa