Sasa cha ajabu nini watu kufurahi? Acha watu wajinafasi kwa vicheko. Kwani nini unataka watu wanune bwana?Siyo ajabu kabisa! Ndio maana nashangaa wanaosema watu wengi, chadema ni kundi dogo sana hapa nchini na kundi kama hili dunia nzima hulikosi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa cha ajabu nini watu kufurahi? Acha watu wajinafasi kwa vicheko. Kwani nini unataka watu wanune bwana?Siyo ajabu kabisa! Ndio maana nashangaa wanaosema watu wengi, chadema ni kundi dogo sana hapa nchini na kundi kama hili dunia nzima hulikosi
Nao huo ni uzushi tu kutoka kwa kundi dogo sana hapo CHADEMAKwani kakwambia 2025 anaondoka? Mbona bado yupo sana. Kumi tena!
Shida zenu sio shida zetu kulia ni zamuKundi dogo sana la chadema haliwezi kumfundisha mtu jinsi ya kuishi
Hata CHADEMA sasa hivi wanashangilia uvumi wa Rais kuumwa!CCM waligonga meza pale waliposema zito auwawe. Wengine wamepewa teuzi kama fadhila kwa kuwatishia wapinzani
Nani kakwambia anataka hilo kundi la chadema liache kujifurahisha kwa huu uzushi wao?Sasa cha ajabu nini watu kufurahi? Acha watu wajinafasi kwa vicheko. Kwani nini unataka watu wanune bwana?
Kwani wote wanaompigia debe atawale milele ni Chadema? Ni hawa : Ndugai, Jah people, Nkamia, na Kessy wanaopigana kufa kupona kwamba atake asitake mingine kumi inamhusu nao ni Chadema?Nao huo ni uzushi tu kutoka kwa kundi dogo sana hapo chadema
Ndio maana nikasema kundi la chadema ndio linashangilia na hii ni kutokana na hasira za yule mbelgiji kurudishwa mbio mbio kwa amstwedamShida zenu sio shida zetu kulia ni zamu
Kwani kuna uvumi kwamba anaumwa? Oyaaaaaaaa, jamani uvumi kama huu unapendeza!Hata chadema sasa hivi wanashangilia uvumi wa rais kuumwa!
Sasa hao wakisema hivyo ndio imeshakuwa?Kwani wote wanaompigia debe atawale milele ni Chadema? Ni hawa : Ndugai, Jah people, Nkamia, na Kessy wanaopigana kufa kupona kwamba atake asitake mingine kumi inamhusu nao ni Chadema?
Unapendeza sana mbele ya kundi hili dogo la chadema maana ndio njia ya kupoza machungu ya kugongwa kwenye uchaguzi, na mkiendelea na ujinga huu hata 2025 hampati mbunge hata mmoja.Kwani kuna uvumi kwamba anaumwa? Oyaaaaaaaa, jamani uvumi kama huu unapendeza!
Ngoma droo apandacho MTU ndicho atachovuna.Hata chadema sasa hivi wanashangilia uvumi wa rais kuumwa!
Wamezusha nini? Aliyezushiwa si ajitokeze hadharani kukanusha? Mbona Mpango alikurupuka na dripu wodini kwenda kwenye media na madripu kukanusha kufa? Naye ajitokeze, shida iko wapi?Nani kakwambia anataka hilo kundi la chadema liache kujifurahisha kwa huu uzushi wao?
Wewe unataka tupate mbunge hata mmoja wa nini?Unapendeza sana mbele ya kundi hili dogo la chadema maana ndio njia ya kupoza machungu ya kugongwa kwenye uchaguzi, na mkiendelea na ujinga huu hata 2025 hampati mbunge hata mmoja.
CHADEMA ni kundi dogo sana ni 0.0002% ya watanzania wote. Kuchukiwa na kakundi kama hako nini mbaya?Ngoma droo apandacho MTU ndicho atachovuna.
Damm right, and that is the reality.When you do not show empathy to your people ,they will have every reason to celebrate when you kick the bucket!!
Rais ana majukumu makubwa ya kujenga nchi na kuwatumikia watanzania hana muda wa kuja kuwafurahisha genge la wahuni wachache kama haoWamezusha nini? Aliyezushiwa si ajitokeze hadharani kukanusha? Mbona Mpango alikurupuka na dripu wodini kwenda kwenye media na madripu kukanusha kufa? Naye ajitokeze, shida iko wapi?
Hao wanatoa tu maoni yao ila watu aina ya michadema ndio hushadadia hata kwa JK walisena anajiongezea mudaKwa hiyo hao niliowataja akina Ndugai ni Chadema?
Sasa mnahamaki nini kwa kakundi kadogo? Si muendelee na shughuli zenu? Hata wewe kwa nini uhangaike kukajibu humu JF kakundi kadogo tu hako?Chadema ni kundi dogo sana ni 0.0002% ya watanzania wote. Kuchukiwa na kakundi kama hako nini mbaya?