Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
Huwezi linganisha Mwalimu na litesi na liuaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zamu kwa zamu huzuni haibaguiNdio maana nikasema kundi la chadema ndio linashangilia na hii ni kutokana na hasira za yule mbelgiji kurudishwa mbio mbio kwa amstwedam
Mkuu hiyo inaitwa mkuki kwa nyegereWalipokuwa wanafanyiwa ubaya wapinzani mlikuwa mnachekelea,
Wewe kuomba kwako unataka mapaka Amsterdam asikie ukiombaMbona Lissu wananchi walikatazwa kumuombea?
Basi matapata tabu sana hadi 2025 anaondoka mtakuwa mmekauka kama mijusi
🤣🤣🤣Koment kama hii ndio inanifanya kiu yangu ya Konyagi ya kike iongezeke
👊👊Maadili hayajashuka, Ila watu watakutreat kulingana na wewe unavyowatreat.
What goes around comes back around. Tusitafute mchawi.
Hapana si kweli, tunaishi mtaani na kusema ukweli si wengi wanaombea yasiyomema zisi gavamenti maana inaumiza watumishi wa umma, praiveti sekta na wafanyabiashara.......kuna issue ya loan board kwa graduates 🎓........yaani ni wengi so usigetegemee likitokea lolote watasikitikaSiyo jamii bali ni wajinga wachache sana wenye hasira za mbelgiji kupigwa kwenye uchaguzi
Serikali ilimnyima TL usafiri wa kumpeleka Nairobi. Ikakataa kugharamia matibabu yake. Ikakataa kuchunguza ni nani alimshambulia. Kwanini unatarajia TL ataipenda Serikali iliyomtendea unyama kiasi hicho?Wewe kuomba kwako unataka mapaka Amsterdam asikie ukiomba
Wacha Aiseee. Kweli?Ndio maana hata Meko hujitokeza hadharani akitumia magari na nyenzo za umma kutoa kauli zinazoakisi mawazo yake ya ngono hadharani kweupe! "Wewe unataka upanuliwe wapi, nyuma ama kwa mbele??" Hii ni moja ya kauli zake jinsi asivyo jiheshimu.
True! Ndio maana 40 bullets ni 16 ndio zilizopenya halafu bado anadunda kama tenesiMungu siyo Amstwrdam