Maadili yameshuka sana ndio maana watu wanachekea matatizo

Maadili yameshuka sana ndio maana watu wanachekea matatizo

Basi matapata tabu sana hadi 2025 anaondoka mtakuwa mmekauka kama mijusi
2703715_765430.jpg

Tuombe uhai tufike hyo 2025,
 
Siyo jamii bali ni wajinga wachache sana wenye hasira za mbelgiji kupigwa kwenye uchaguzi
Hapana si kweli, tunaishi mtaani na kusema ukweli si wengi wanaombea yasiyomema zisi gavamenti maana inaumiza watumishi wa umma, praiveti sekta na wafanyabiashara.......kuna issue ya loan board kwa graduates 🎓........yaani ni wengi so usigetegemee likitokea lolote watasikitika
 
Ndio maana hata Meko hujitokeza hadharani akitumia magari na nyenzo za umma kutoa kauli zinazoakisi mawazo yake ya ngono hadharani kweupe! "Wewe unataka upanuliwe wapi, nyuma ama kwa mbele??" Hii ni moja ya kauli zake jinsi asivyo jiheshimu.
Wacha Aiseee. Kweli?
 
Please,this is how u fell, your self.dont include others pls.say for yourself.
 
Back
Top Bottom