Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaficha maradhi waache tu kifo kiwaumbue.
Mungu siyo Amstwrdam
Tunalazimishwa kulishwa matango poriMbona nasikia awamu ya tano imerudisha maadili?
Kutuachua uchumi wa kati[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hivi kwa mfano kwa huyu jamaa unalilia nini? Nyerere tulimlilia kwa kuliunganisha Taifa kuwa kitu kimoja bila kujali makabila yetu na alituunganisha kwa lugha moja ya Kiswahili. JK alijitahidi kuiacha demokrasia ichukue mkono wake. Utawala wa sheria ulitamalaki. Sasa huyu ni kipi cha kumliza mtu? Mbuga ya Chattle? Kupigwa risasi kwa Lissu? Nini kitakuliza?
HahahahaKama jiwe anaumwa mwacheni aumwe tu na itapendeza Mungu akimpenda zaidi,hii nchi ina maadili ya kutosha ila ukijifanya kupeleka watu kichizi chizi nao watakwenda na wewe kichizi chizi
Kama ni tabu tutaipata wote na Kama niraha pia tutaipata wote kwani mafuta sukar sariji mnabei zenuBasi matapata tabu sana hadi 2025 anaondoka mtakuwa mmekauka kama mijusi
Mmh?wapike pilau Tena kwahuzunu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kama Mungu akimpenda zaidi Mzee Shakaza naamini kuna Watanzania zaidi ya nusu watapika pilau kwa huzuni
Kwa sentensi hizi alafu unadhani mtu atahuzunika ukiondoka (sana sana utampunguzia masimango)Chadema siku zote hushangilia mtu wa ccm akipata shida no matter what!
Na matapata tabu sana hadi 2025 lazima mnye dagaa
Hebu naomba niulize kila mtu anamuombea jiwe mungu ampende zaidi niwachadema nakama jibu ndio basi siokundi dogo Kama mnavyowaita maana mmh?Unapendeza sana mbele ya kundi hili dogo la chadema maana ndio njia ya kupoza machungu ya kugongwa kwenye uchaguzi, na mkiendelea na ujinga huu hata 2025 hampati mbunge hata mmoja.
TeteteteteNitafurahi sana Bwana akitenda maajabu.
Mtu anavuna anachopanda.Ukianza kuonea watu lazima watakuchukia tu hakuna namna maana nao wameumizwa sn
😅😅😅😅😅mtakula wa chuya. Wenye nchi muombeeni. Si nyie ndio wenye nchi??Chadema siku zote hushangilia mtu wa ccm akipata shida no matter what!
Na matapata tabu sana hadi 2025 lazima mnye dagaa