Tetesi: Maafisa Utumishi wanawabadilishia watu wenye vyeti feki data zao

Tetesi: Maafisa Utumishi wanawabadilishia watu wenye vyeti feki data zao

ibesa mau

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2015
Posts
2,109
Reaction score
1,697
Nimeona niliweke hili wazi . .Huu kchezo wa unaofanywa na maafisa utumishi unalenga kuwachafulia watu wa baraza ili waonekane wamefanya kazi ya kuhakiki vyeti vibaya na hawakuwa makini.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mtu anaondolewa data zote kwenye mfumo na kwenye mafaili na anaekezwa akienda baraza akakane kabisa taarifa zake alizozipeleka awali na akasisitize kwamba data zake halisi ni hizi alizonazo. Huu mchezo umekuwa sehemu ya kujipatia fedha .

Nimeona niliseme hilo kwani limejitokeza kwa baadhi ya watumishi , kuna mtumishi wakati wa uhakiki alipeleka cheti chake alicho kimodoa kilichokuwa na ufaulu wa daraja la tatu pointi 23. Lakini sasa ameenda baraza na cheti cha daraja nne pointi 33, na amebadilishiwa data zake zote na ameambiwa akakane taarifa zake za awali na ikibidi hata kwenda mahakamani aende . Sasa watu waliothirika wameamua kutembea na vyeti vyao halisi na kuvificha vile walivyowasilisha mara ya mwanzo ambavyo walivimodoa.

Kuna tukio jingine ambalo limejitokeza tena mhusika kawekwa rumande hadi jumatatu baada ya kugunduliwa kwamba anataka kubadilisha data zake kwenye faili lake lililopo kwa mwajiri wake huku akifanikiwa kuweka data zake kwa mkuu wake wa idara , alishtukiwa na kuwekwa ndani.

Nawaomba baraza kutambua kwamba waathirika wengi wa uhakiki wana vyeti viwili viwili kimoja kikiwa halisi na kingine kilichomodolewa . Na wamejipanga kuzikataa kabisa data zilizotumwa huko na wengine wana barua toka kwa maafisa utumishi wao zinazo shadidia kwamba data zao halisi ni hizi wanazoleta sasa , na wengine hivyo vyeti wamesomea hadi ngazi ya diploma na degree.

Kuweni makini na hao watu wanao kuja huko, kwani wamejipanga vilivyo.
 
Nimeona niliweke hili wazi . .Huu kchezo wa unaofanywa na maafisa utumishi unalenga kuwachafulia watu wa baraza ili waonekane wamefanya kazi ya kuhakiki vyeti vibaya na hawakuwa makini.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mtu anaondolewa data zote kwenye mfumo na kwenye mafaili na anaekezwa akienda baraza akakane kabisa taarifa zake alizozipeleka awali na akasisitize kwamba data zake halisi ni hizi alizonazo. Huu mchezo umekuwa sehemu ya kujipatia fedha .

Nimeona niliseme hilo kwani limejitokeza kwa baadhi ya watumishi , kuna mtumishi wakati wa uhakiki alipeleka cheti chake alicho kimodoa kilichokuwa na ufaulu wa daraja la tatu pointi 23. Lakini sasa ameenda baraza na cheti cha daraja nne pointi 33, na amebadilishiwa data zake zote na amea
Umbeya wakati mwingine aulipi. Uhakiki ulifanyikaje, kwani Baraza ndiyo lilikuwa linavifuata hivyo vyeti au vilipelekwa na maafisa utumihi unaowasema? Kama kulikuwa na utaratibu sioni ni kwa nini uwe na wasiwasi.
 
naona hujaelewa mada
Umbeya wakati mwingine aulipi. Uhakiki ulifanyikaje, kwani Baraza ndiyo lilikuwa linavifuata hivyo vyeti au vilipelekwa na maafisa utumihi unaowasema? Kama kulikuwa na utaratibu sioni ni kwa nini uwe na wasiwasi.
naona hujaelewa mada
 
naona hujaelewa mada

naona hujaelewa mada
Ifanye ieleweke basi1 Wewe unaona kweli kwamba hao maafisa utumishi ni mazuzu kiasi hicho kuwa jana wamepeleka Baraza nakala za vyeti kwa mtu fulani vyenye ufaulu wa aina fulani na leo wanatoa vyeti tofauti vya mtu huyo huyo kwa Baraza?
 
Ilani imetolewa,ni kali, inaweza kukost maisha
 

Attachments

  • IMG-20170507-WA0016.jpg
    IMG-20170507-WA0016.jpg
    96.4 KB · Views: 79
Tumekuwa na taifa la majitu mambeya mambeya sijui kwa nini? Kama huna ajira mkuu jikaze tu nafasi hazitoshi hata tukiondolewa watumishi wote wa umma! Mtaani kuna zaidi ya watu 1 m hawana ajira! Hivi wewe kwa akili yako unaona kabisa hao watu watafanikiwa kukana photocopy walizokabidhi wenyewe na mtu akawaelewa? Wacha umbeya wewe!
 
SEHEMU NYINGI NDO KINACHOFANYIKA SASA.UKITOA MILLION MOJA WANAKUREHEKEBISHIA SASA TATIZO SIJUI KAMA WATAREHEKEBISHA NA KULE CHUONI WALIKOENDA KUSOMEA??

Nimeona niliweke hili wazi . .Huu kchezo wa unaofanywa na maafisa utumishi unalenga kuwachafulia watu wa baraza ili waonekane wamefanya kazi ya kuhakiki vyeti vibaya na hawakuwa makini.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mtu anaondolewa data zote kwenye mfumo na kwenye mafaili na anaekezwa akienda baraza akakane kabisa taarifa zake alizozipeleka awali na akasisitize kwamba data zake halisi ni hizi alizonazo. Huu mchezo umekuwa sehemu ya kujipatia fedha .

Nimeona niliseme hilo kwani limejitokeza kwa baadhi ya watumishi , kuna mtumishi wakati wa uhakiki alipeleka cheti chake alicho kimodoa kilichokuwa na ufaulu wa daraja la tatu pointi 23. Lakini sasa ameenda baraza na cheti cha daraja nne pointi 33, na amebadilishiwa data zake zote na ameambiwa akakane taarifa zake za awali na ikibidi hata kwenda mahakamani aende . Sasa watu waliothirika wameamua kutembea na vyeti vyao halisi na kuvificha vile walivyowasilisha mara ya mwanzo ambavyo walivimodoa.

Kuna tukio jingine ambalo limejitokeza tena mhusika kawekwa rumande hadi jumatatu baada ya kugunduliwa kwamba anataka kubadilisha data zake kwenye faili lake lililopo kwa mwajiri wake huku akifanikiwa kuweka data zake kwa mkuu wake wa idara , alishtukiwa na kuwekwa ndani.

Nawaomba baraza kutambua kwamba waathirika wengi wa uhakiki wana vyeti viwili viwili kimoja kikiwa halisi na kingine kilichomodolewa . Na wamejipanga kuzikataa kabisa data zilizotumwa huko na wengine wana barua toka kwa maafisa utumishi wao zinazo shadidia kwamba data zao halisi ni hizi wanazoleta sasa , na wengine hivyo vyeti wamesomea hadi ngazi ya diploma na degree.

Kuweni makini na hao watu wanao kuja huko, kwani wamejipanga vilivyo.
 
maafisa utumishi kama hawa wakitumbuliwa sitasikitika kamwe. natoa rai kwa waziri wa utumishi maafisa utumishi kama hawa wakibainika waburuzwe mahakamani.
 
Ifanye ieleweke basi1 Wewe unaona kweli kwamba hao maafisa utumishi ni mazuzu kiasi hicho kuwa jana wamepeleka Baraza nakala za vyeti kwa mtu fulani vyenye ufaulu wa aina fulani na leo wanatoa vyeti tofauti vya mtu huyo huyo kwa Baraza?
We mbona mbishi hivyo wa wapi? maada mbona inajieleza vizuri tu.
 
Nimeona niliweke hili wazi . .Huu kchezo wa unaofanywa na maafisa utumishi unalenga kuwachafulia watu wa baraza ili waonekane wamefanya kazi ya kuhakiki vyeti vibaya na hawakuwa makini.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mtu anaondolewa data zote kwenye mfumo na kwenye mafaili na anaekezwa akienda baraza akakane kabisa taarifa zake alizozipeleka awali na akasisitize kwamba data zake halisi ni hizi alizonazo. Huu mchezo umekuwa sehemu ya kujipatia fedha .

Nimeona niliseme hilo kwani limejitokeza kwa baadhi ya watumishi , kuna mtumishi wakati wa uhakiki alipeleka cheti chake alicho kimodoa kilichokuwa na ufaulu wa daraja la tatu pointi 23. Lakini sasa ameenda baraza na cheti cha daraja nne pointi 33, na amebadilishiwa data zake zote na ameambiwa akakane taarifa zake za awali na ikibidi hata kwenda mahakamani aende . Sasa watu waliothirika wameamua kutembea na vyeti vyao halisi na kuvificha vile walivyowasilisha mara ya mwanzo ambavyo walivimodoa.

Kuna tukio jingine ambalo limejitokeza tena mhusika kawekwa rumande hadi jumatatu baada ya kugunduliwa kwamba anataka kubadilisha data zake kwenye faili lake lililopo kwa mwajiri wake huku akifanikiwa kuweka data zake kwa mkuu wake wa idara , alishtukiwa na kuwekwa ndani.

Nawaomba baraza kutambua kwamba waathirika wengi wa uhakiki wana vyeti viwili viwili kimoja kikiwa halisi na kingine kilichomodolewa . Na wamejipanga kuzikataa kabisa data zilizotumwa huko na wengine wana barua toka kwa maafisa utumishi wao zinazo shadidia kwamba data zao halisi ni hizi wanazoleta sasa , na wengine hivyo vyeti wamesomea hadi ngazi ya diploma na degree.

Kuweni makini na hao watu wanao kuja huko, kwani wamejipanga vilivyo.
Acha hizo wewe.hata kama umepoteza au data zimefutwa cheti,matokeo yako NECTA yatatoka vile vile kama ulivyofeli miaka hiyo
 
Back
Top Bottom