Tetesi: Maafisa Utumishi wanawabadilishia watu wenye vyeti feki data zao

Tetesi: Maafisa Utumishi wanawabadilishia watu wenye vyeti feki data zao

Mkuu Umbeya Itakusaidia Nn?Hatakama Wakifukuzwa Wote Bdo Km Huna Bahati Huna Tu,mm Mbona Nimejiajiri Tu Mwenyewe Na Ni Make Mapesa,wala Sina Wivu Na Watumishi,waache Wenzako Wapige Kazi
 
Asante sana kwa taarifa. Watanzania tuache umangumashi ili tupate maendeleo halisi,
 
Umbeya wakati mwingine aulipi. Uhakiki ulifanyikaje, kwani Baraza ndiyo lilikuwa linavifuata hivyo vyeti au vilipelekwa na maafisa utumihi unaowasema? Kama kulikuwa na utaratibu sioni ni kwa nini uwe na wasiwasi.
Umbeya wakati mwingine aulipi. Uhakiki ulifanyikaje, kwani Baraza ndiyo lilikuwa linavifuata hivyo vyeti au vilipelekwa na maafisa utumihi unaowasema? Kama kulikuwa na utaratibu sioni ni kwa nini uwe na wasiwasi.
Nyie ndio vichaa mnaolirudisha nyuma taifa hili, maisha ya ujanja ujanja awamu hii hakuna. Mlizoea mpaka weekly test ya sekondari mnaingia na vibomu vya kupigia chabo.
Umbea hapa upo wapi huku mtu kaeleza hali halisi?
 
Nimeona niliweke hili wazi . .Huu kchezo wa unaofanywa na maafisa utumishi unalenga kuwachafulia watu wa baraza ili waonekane wamefanya kazi ya kuhakiki vyeti vibaya na hawakuwa makini.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mtu anaondolewa data zote kwenye mfumo na kwenye mafaili na anaekezwa akienda baraza akakane kabisa taarifa zake alizozipeleka awali na akasisitize kwamba data zake halisi ni hizi alizonazo. Huu mchezo umekuwa sehemu ya kujipatia fedha .

Nimeona niliseme hilo kwani limejitokeza kwa baadhi ya watumishi , kuna mtumishi wakati wa uhakiki alipeleka cheti chake alicho kimodoa kilichokuwa na ufaulu wa daraja la tatu pointi 23. Lakini sasa ameenda baraza na cheti cha daraja nne pointi 33, na amebadilishiwa data zake zote na ameambiwa akakane taarifa zake za awali na ikibidi hata kwenda mahakamani aende . Sasa watu waliothirika wameamua kutembea na vyeti vyao halisi na kuvificha vile walivyowasilisha mara ya mwanzo ambavyo walivimodoa.

Kuna tukio jingine ambalo limejitokeza tena mhusika kawekwa rumande hadi jumatatu baada ya kugunduliwa kwamba anataka kubadilisha data zake kwenye faili lake lililopo kwa mwajiri wake huku akifanikiwa kuweka data zake kwa mkuu wake wa idara , alishtukiwa na kuwekwa ndani.

Nawaomba baraza kutambua kwamba waathirika wengi wa uhakiki wana vyeti viwili viwili kimoja kikiwa halisi na kingine kilichomodolewa . Na wamejipanga kuzikataa kabisa data zilizotumwa huko na wengine wana barua toka kwa maafisa utumishi wao zinazo shadidia kwamba data zao halisi ni hizi wanazoleta sasa , na wengine hivyo vyeti wamesomea hadi ngazi ya diploma na degree.

Kuweni makini na hao watu wanao kuja huko, kwani wamejipanga vilivyo.
Mzee ingekuwa na idea ya IT usinge andika huo umbeya sababu afisa utumishi ni end user hawezi kubadilisha vitu vyote kwenye system bila kuwa na full access ya systems. Pia ukifanya auditing ya database unaweza jua nani kabadikisha nini kwenye system kama ndiyo hivyo hao watakamatwa wote.
 
Nchi hii viongozi mpk raia wote makanjanja tu.
 
Kwa nini usiseme masijala ndio wanacheza na file unasema HR? Pili inawezekana vipi kama taharifa za watumishi ziko kwenye system (lawson) na wenye access ni wachache ambao chochote watakacho change kitajulikana? Kwanza nilishangaa why serikali iliwaambia watumishi wapeleke vyeti. Hilo tamko tu liliwapa chance walio smart kucheza makaratee. Wangetumia vilivyo kwenye system.
 
Naona kuna watu hawajamwelewa mleta uzi. Mimi nimemuelewa hivi:
Hawa watumishi walikabidhi vyeti feki(vilivyomodolewa) wakati wanaajiriwa. Mf. mtu form four alipata div. 4, na cheti chake kinaonekana ana div 4. Lakini alikimodoa hadi akawa na cheti cha div 2 au 3 ambacho ndo alikitumia kujiendeleza kielimu hadi kuja kuajiriwa. Kwa hiyo, kile cha div 4 alikificha kabatini na kukikabidhi cheti cha kumodoa kwa mwajiri, na faili lake lina nakala ya cheti hiki.

Wakati wa uhakiki, idara ilipeleka Necta cheti kilichomodolewa. Necta wakaona ni cheti feki. Watumishi hawa kwa sasa wanafanya mojawapo kati ya haya mawili ili wafanikiwa kukata rufaa yao dhidi ya serikali:
  1. Wanashirikiana na maafisa utumishi kuviondoa vyeti vya kumodoa kwenye mafaili yao na kuviweka vile halisi (kama faili lilikuwa na cheti cha div.3 ya kumodoa, kinaondolewa na kuwekwa halisi chenye div 4)
  2. Watumishi hao sasa wanaiba mafaili yao, wanabadilisha vyeti (vya kumodoa kwa halisi) na kuyarudisha mafaili bila maafisa utumishi kujua.
Mleta uzi anawatahadharisha maafisa utu kuwa makini.
Sijui watu wanatokwa na povu kwa nini?
 
Nimeona niliweke hili wazi . .Huu kchezo wa unaofanywa na maafisa utumishi unalenga kuwachafulia watu wa baraza ili waonekane wamefanya kazi ya kuhakiki vyeti vibaya na hawakuwa makini.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mtu anaondolewa data zote kwenye mfumo na kwenye mafaili na anaekezwa akienda baraza akakane kabisa taarifa zake alizozipeleka awali na akasisitize kwamba data zake halisi ni hizi alizonazo. Huu mchezo umekuwa sehemu ya kujipatia fedha .

Nimeona niliseme hilo kwani limejitokeza kwa baadhi ya watumishi , kuna mtumishi wakati wa uhakiki alipeleka cheti chake alicho kimodoa kilichokuwa na ufaulu wa daraja la tatu pointi 23. Lakini sasa ameenda baraza na cheti cha daraja nne pointi 33, na amebadilishiwa data zake zote na ameambiwa akakane taarifa zake za awali na ikibidi hata kwenda mahakamani aende . Sasa watu waliothirika wameamua kutembea na vyeti vyao halisi na kuvificha vile walivyowasilisha mara ya mwanzo ambavyo walivimodoa.

Kuna tukio jingine ambalo limejitokeza tena mhusika kawekwa rumande hadi jumatatu baada ya kugunduliwa kwamba anataka kubadilisha data zake kwenye faili lake lililopo kwa mwajiri wake huku akifanikiwa kuweka data zake kwa mkuu wake wa idara , alishtukiwa na kuwekwa ndani.

Nawaomba baraza kutambua kwamba waathirika wengi wa uhakiki wana vyeti viwili viwili kimoja kikiwa halisi na kingine kilichomodolewa . Na wamejipanga kuzikataa kabisa data zilizotumwa huko na wengine wana barua toka kwa maafisa utumishi wao zinazo shadidia kwamba data zao halisi ni hizi wanazoleta sasa , na wengine hivyo vyeti wamesomea hadi ngazi ya diploma na degree.

Kuweni makini na hao watu wanao kuja huko, kwani wamejipanga vilivyo.
Ovyo kabisa wewe! Konachokuuna sana ni nini.
 
Nimeona niliweke hili wazi . .Huu kchezo wa unaofanywa na maafisa utumishi unalenga kuwachafulia watu wa baraza ili waonekane wamefanya kazi ya kuhakiki vyeti vibaya na hawakuwa makini.
.
Kama Bashite ameachwa kwanini na wao wasiachwe? Unafikiria kuna kiongozi atakubali kuona sheria inabagua?
 
Nimeona niliweke hili wazi . .Huu kchezo wa unaofanywa na maafisa utumishi unalenga kuwachafulia watu wa baraza ili waonekane wamefanya kazi ya kuhakiki vyeti vibaya na hawakuwa makini.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mtu anaondolewa data zote kwenye mfumo na kwenye mafaili na anaekezwa akienda baraza akakane kabisa taarifa zake alizozipeleka awali na akasisitize kwamba data zake halisi ni hizi alizonazo. Huu mchezo umekuwa sehemu ya kujipatia fedha .

Nimeona niliseme hilo kwani limejitokeza kwa baadhi ya watumishi , kuna mtumishi wakati wa uhakiki alipeleka cheti chake alicho kimodoa kilichokuwa na ufaulu wa daraja la tatu pointi 23. Lakini sasa ameenda baraza na cheti cha daraja nne pointi 33, na amebadilishiwa data zake zote na ameambiwa akakane taarifa zake za awali na ikibidi hata kwenda mahakamani aende . Sasa watu waliothirika wameamua kutembea na vyeti vyao halisi na kuvificha vile walivyowasilisha mara ya mwanzo ambavyo walivimodoa.

Kuna tukio jingine ambalo limejitokeza tena mhusika kawekwa rumande hadi jumatatu baada ya kugunduliwa kwamba anataka kubadilisha data zake kwenye faili lake lililopo kwa mwajiri wake huku akifanikiwa kuweka data zake kwa mkuu wake wa idara , alishtukiwa na kuwekwa ndani.

Nawaomba baraza kutambua kwamba waathirika wengi wa uhakiki wana vyeti viwili viwili kimoja kikiwa halisi na kingine kilichomodolewa . Na wamejipanga kuzikataa kabisa data zilizotumwa huko na wengine wana barua toka kwa maafisa utumishi wao zinazo shadidia kwamba data zao halisi ni hizi wanazoleta sasa , na wengine hivyo vyeti wamesomea hadi ngazi ya diploma na degree.

Kuweni makini na hao watu wanao kuja huko, kwani wamejipanga vilivyo.
Hata wakifanya hivyo hakuna shida maana NECTA wanavyo vyeti na matokeo ya watu wote na hata hivyo vyeti vilivyo hakikiwa awali ndivyo vitapelekwa tena kwa hiyo wanao fanya hivyo wanajisumbua tuu...NECTA wana matokeo ya kila mtu hao wote wana jisumbua tuu....
 
Tatizo liko kwenye ile orodha ambayo haijawekwa wazi bado. Maana zinatolewa kwa awamu. Ile ya watu elfu 11. Yenye incomplete information, ile imejaa vigogo maana wao hawakuweka baadhi ya vyeti kwenye uhakiki wao ambayo ni feki wakaweka vichache vya vyuoni. Hawakuonyesha vya kidato cha nne au cha sita au vyote viwili. Hayo majina yatolewe nayo wazi
 
Wabongo chochote kinawezekana, computer yenye database itabidi ilindwe maana wanaweza kuichapa.....
 
Nimeona niliweke hili wazi . .Huu kchezo wa unaofanywa na maafisa utumishi unalenga kuwachafulia watu wa baraza ili waonekane wamefanya kazi ya kuhakiki vyeti vibaya na hawakuwa makini.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mtu anaondolewa data zote kwenye mfumo na kwenye mafaili na anaekezwa akienda baraza akakane kabisa taarifa zake alizozipeleka awali na akasisitize kwamba data zake halisi ni hizi alizonazo. Huu mchezo umekuwa sehemu ya kujipatia fedha .

Nimeona niliseme hilo kwani limejitokeza kwa baadhi ya watumishi , kuna mtumishi wakati wa uhakiki alipeleka cheti chake alicho kimodoa kilichokuwa na ufaulu wa daraja la tatu pointi 23. Lakini sasa ameenda baraza na cheti cha daraja nne pointi 33, na amebadilishiwa data zake zote na ameambiwa akakane taarifa zake za awali na ikibidi hata kwenda mahakamani aende . Sasa watu waliothirika wameamua kutembea na vyeti vyao halisi na kuvificha vile walivyowasilisha mara ya mwanzo ambavyo walivimodoa.

Kuna tukio jingine ambalo limejitokeza tena mhusika kawekwa rumande hadi jumatatu baada ya kugunduliwa kwamba anataka kubadilisha data zake kwenye faili lake lililopo kwa mwajiri wake huku akifanikiwa kuweka data zake kwa mkuu wake wa idara , alishtukiwa na kuwekwa ndani.

Nawaomba baraza kutambua kwamba waathirika wengi wa uhakiki wana vyeti viwili viwili kimoja kikiwa halisi na kingine kilichomodolewa . Na wamejipanga kuzikataa kabisa data zilizotumwa huko na wengine wana barua toka kwa maafisa utumishi wao zinazo shadidia kwamba data zao halisi ni hizi wanazoleta sasa , na wengine hivyo vyeti wamesomea hadi ngazi ya diploma na degree.

Kuweni makini na hao watu wanao kuja huko, kwani wamejipanga vilivyo.
Imetolewa kwa hisani ya.............?
 
Back
Top Bottom