Tetesi: Maafisa Utumishi wanawabadilishia watu wenye vyeti feki data zao

Tetesi: Maafisa Utumishi wanawabadilishia watu wenye vyeti feki data zao

SEHEMU NYINGI NDO KINACHOFANYIKA SASA.UKITOA MILLION MOJA WANAKUREHEKEBISHIA SASA TATIZO SIJUI KAMA WATAREHEKEBISHA NA KULE CHUONI WALIKOENDA KUSOMEA??

Uhakiki ni wa Vidato vya nne na Sita tu sasa Wewe hayo ya Chuo yanahusikaje? Nenda kapike Tena Taarifa zako
 
Mtu labda akane jina kuwa sio lake.Baraza walikuwa wana hakikiki uhalali wa vyeti vilivyopelekwa.Mf Karumanzila amepeleka cheti alipata div one, , BARAZA wanasema Karumanzira hakuwahi kupewa cheti chochote na BARAZA au Karumanzila alipta sifuri.

Wewe unaitwa Karumanzira, umepeleka cheti gani? Mbali na kuangalia uhalali wa cheti, wanatrace na jina linalonekana kwenye cheti.
 
Acha hizo wewe.hata kama umepoteza au data zimefutwa cheti,matokeo yako NECTA yatatoka vile vile kama ulivyofeli miaka hiyo
Shida sio kutoka vile vile,,ila issue ni hii hapa,wengi wanaolalama kuonewa wana vyeti viwili..kimoja ni original ambacho alipata div four mbaya na kingne alikimodfy kutoka kwenye hyo dv four na kujiwekea div two ili akasomee,na ndicho alicho ombea kazi,na ndicho kipo kwenye faili lake la utumishi...na ndicho kipind cha uhakiki kilihakikiwa na hatimaye kubainika kuwa ni feki...
Sasa hivi anachukua kile original chenye div four mbaya,ndo anaenda nacho necta akidai kuwa ni halali...na ni kwel ikiingizwa ile reg no..matokeo yake yapo kwa database kuwa ni div four mbaya...but mind you,kipnd cha uhakik alihakik chet alichomodify kutoka four mpka two na ndicho alisomea chuo na kuombea kaz
 
Kuwa Real acha kuwa Fake! Kwa Magufuli no stone will remain Untrurned. Bado umri fake wa kupaka nywele Piko. kuna watu pia waliapa umri ulio kwenye mafaili yao siyo wao. Wakaenda kuapa mahakamani!
 
Shida sio kutoka vile vile,,ila issue ni hii hapa,wengi wanaolalama kuonewa wana vyeti viwili..kimoja ni original ambacho alipata div four mbaya na kingne alikimodfy kutoka kwenye hyo dv four na kujiwekea div two ili akasomee,na ndicho alicho ombea kazi,na ndicho kipo kwenye faili lake la utumishi...na ndicho kipind cha uhakiki kilihakikiwa na hatimaye kubainika kuwa ni feki...
Sasa hivi anachukua kile original chenye div four mbaya,ndo anaenda nacho necta akidai kuwa ni halali...na ni kwel ikiingizwa ile reg no..matokeo yake yapo kwa database kuwa ni div four mbaya...but mind you,kipnd cha uhakik alihakik chet alichomodify kutoka four mpka two na ndicho alisomea chuo na kuombea kaz
bahati mbaya Mwajiri hana uwezo wa Kuhakiki cheti. Unaajiriwa kwa sifa alizotaja na uonyeshe cheti. Bora hawa wangeleta hivyo halisi kwa Mwajiri kwenda kuhakikiwa wangepona. Ni kutokujua, mwajiri alikuwa haangalii vyeti vya awali ulichompa ndicho alipeleka Baraza. Yaani watu wengine hadi dakika ya mwisho unaleta fake!!!!!
 
maafisa utumishi kama hawa wakitumbuliwa sitasikitika kamwe. natoa rai kwa waziri wa utumishi maafisa utumishi kama hawa wakibainika waburuzwe mahakamani.
WAPIGWE RISASI HADHARANI,NI WAUAJI HAO NA MOJA YA MAKOSA MAKUBWA NI KUWAACHA KWENYE NAFASI ZAO MPK LEO.KWANZA WENGI WAO NI WALEVI WA KUPINDUKIA...........................................................WASHUGHULIKIWE.
 
Mzee ingekuwa na idea ya IT usinge andika huo umbeya sababu afisa utumishi ni end user hawezi kubadilisha vitu vyote kwenye system bila kuwa na full access ya systems. Pia ukifanya auditing ya database unaweza jua nani kabadikisha nini kwenye system kama ndiyo hivyo hao watakamatwa wote.
system gani mkuu kwani makazini wanatumia system au mfumo wa mafile namba? nauliza tu
 
Semeni ukweli acheni uongo uongo kwa sababu uongo haujawahi kumwokoa mtu. Kama forgery ya vyeti ni criminal offense, basi watumishi wote wenye vyeti vya kufoji wangesimamishwa kwanza kazi (pending invistigation - na Sheria zetu za kazi zinasema mtumishi akisimamishwa kazi ni lazima aedelee kulipwa Mshahara wake wote), na kisha wangefikishwa Mahakamani kwa kosa hilo la jinai. Chombo chenye mamlaka ya kutoa hukumu ya makosa katika nchi hii ni Mahakama pekee. Na kama Serikali ilikuwa hakika watumishi hao wana vyeti feki, basi ingepeleka ushahidi huo Mahakamani ambako bila shaka Mahakama zingekuwakuta watumishi hao na hatia na hivyo kupewa adhabu kwa mujibu wa sheria. Mpaka kufikia hapo, ingekuwa rahisi sana kwa Serikali kuwafukuza kazi...... Sasa wamefanya kinyume chake kwa wao serikali kama Waajiri kujigeuza Mahakama pia. Wamechunguza na Kuhutoa hukumu bila kuwapa nafasi watumishi kujitetea na kusikilizwa..... Mtaona wenyewe kitakachotokea baadaye.....
 
Wamekosa la kufanya necta wana data zote za awal hvyo watachemka vbaya sn na kushtakiwa
 
Kuna system ya utumishi nchi nzima inaitwa Lawson siku hizi kila kitu ni online even promotion. Kwa hiyo huko kwingine wanafanya online kila kitu na information za kila mfanyakazi zilishaingizwa huko long time. Siku hizi no files tena
 
Shida sio kutoka vile vile,,ila issue ni hii hapa,wengi wanaolalama kuonewa wana vyeti viwili..kimoja ni original ambacho alipata div four mbaya na kingne alikimodfy kutoka kwenye hyo dv four na kujiwekea div two ili akasomee,na ndicho alicho ombea kazi,na ndicho kipo kwenye faili lake la utumishi...na ndicho kipind cha uhakiki kilihakikiwa na hatimaye kubainika kuwa ni feki...
Sasa hivi anachukua kile original chenye div four mbaya,ndo anaenda nacho necta akidai kuwa ni halali...na ni kwel ikiingizwa ile reg no..matokeo yake yapo kwa database kuwa ni div four mbaya...but mind you,kipnd cha uhakik alihakik chet alichomodify kutoka four mpka two na ndicho alisomea chuo na kuombea kaz
Sasa kama alikosa mwenyewe uadilifu unataka nini?
Tuna tatizo la uadilifu
Tutangulize uadilifu halafu ndio tuangalie maumivu atakayo pata mtu-Manyerere Jacton
 
Ilani imetolewa,ni kali, inaweza kukost maisha
Huyu aliyeandika hii taarifa kwa niaba ya katibu mkuu utumishi naona cheo chake ni Assistant commissioner of Police?? Au ni tafsiri Yangu ??
 
Huyu aliyeandika hii taarifa kwa niaba ya katibu mkuu utumishi naona cheo chake ni Assistant commissioner of Police?? Au ni tafsiri Yangu ??
Ndio ni askari polisi aliyehamishiwa utumishi na kupewa cheo cha mkurugenzi wa utumishi wa umma, aidha bado ni askari polisi
 
Kwa mujibu wa sheria ya makosa ya mtandao, wewe pia unapaswa kuburuzwa lupango kwa kufichua uovu.
 
Bahati
Nyie ndio vichaa mnaolirudisha nyuma taifa hili, maisha ya ujanja ujanja awamu hii hakuna. Mlizoea mpaka weekly test ya sekondari mnaingia na vibomu vya kupigia chabo.
Umbea hapa upo wapi huku mtu kaeleza hali halisi?
Bahati nzuri hujui ulisemalo.
 
Back
Top Bottom