Tetesi: Maafisa Utumishi wanawabadilishia watu wenye vyeti feki data zao

Tetesi: Maafisa Utumishi wanawabadilishia watu wenye vyeti feki data zao

Naanza kuona hao maafisa utumish/tawala wana wakati mgum kwa sababu baadh ya waliofoji vyeti unakuta wana nyadhifa kubwa kwene taasisi.
 
Watulie utaratibu ufatwe wakianza kubadilisha badilisha vyeti malalamiko yao yatatupwa kapuni mwisho wawaponze ht waliotajwa kimakosa ilihali wanavyeti halisi.
Eti cheti kimemodolewa hahahahahaaaa
 
Kama ulisoma shule A na ulipata Div two haibadiliki hiyo data ktk mfumo pale Necta hata ukifariki

Na kama hukusoma shule A na kupata Div two kama cheti chako kinavyoonesha,taarifa hiyo haitakuwepo Necta milele yote.

Hao Maofisa utumishi wanajisumbua tu nothing they are going to get from what they are doing!
 
Naona kuna watu hawajamwelewa mleta uzi. Mimi nimemuelewa hivi:
Hawa watumishi walikabidhi vyeti feki(vilivyomodolewa) wakati wanaajiriwa. Mf. mtu form four alipata div. 4, na cheti chake kinaonekana ana div 4. Lakini alikimodoa hadi akawa na cheti cha div 2 au 3 ambacho ndo alikitumia kujiendeleza kielimu hadi kuja kuajiriwa. Kwa hiyo, kile cha div 4 alikificha kabatini na kukikabidhi cheti cha kumodoa kwa mwajiri, na faili lake lina nakala ya cheti hiki.

Wakati wa uhakiki, idara ilipeleka Necta cheti kilichomodolewa. Necta wakaona ni cheti feki. Watumishi hawa kwa sasa wanafanya mojawapo kati ya haya mawili ili wafanikiwa kukata rufaa yao dhidi ya serikali:
  1. Wanashirikiana na maafisa utumishi kuviondoa vyeti vya kumodoa kwenye mafaili yao na kuviweka vile halisi (kama faili lilikuwa na cheti cha div.3 ya kumodoa, kinaondolewa na kuwekwa halisi chenye div 4)
  2. Watumishi hao sasa wanaiba mafaili yao, wanabadilisha vyeti (vya kumodoa kwa halisi) na kuyarudisha mafaili bila maafisa utumishi kujua.
Mleta uzi anawatahadharisha maafisa utu kuwa makini.
Sijui watu wanatokwa na povu kwa nini?
Mosi inaweza kuwa ni hisia tu au kama ni kweli labda ni mtu asiyejitambua. Kwanza entry qualification huwez kuwa na div4 halafu ukasoma Degree bila route ndefu hapo tu tayari ni mushkil. Na mifumo ya lawson iko tight huwez kuiingilia kiurahisi. Angalizo la mtoa mada limetolewa kama tahadhari. Lakini mtu aliyeajiriwa kama Daktari kwa mfano, aseme alitumia cheti cha Division 2 cha Form Four wakati alipata Div4 kiuhalisia,then assume alienda Form Six kwa Div2 ya kupikwa. Baadae akafaulu Form Six na kisha kwenda Muhimbili. Baadae akaajiriwa kama Daktari tuseme Mwananyamala Hospitali. Wakati wa Ajira atapeleka vyeti:-
1. Cha Form Four-Div2(Fake)
2.Cha Form Six-Div 2(Halali)
3. Cha Degree Muhimbili-Upper Second Class(Halali)!

Miaka kadhaa baada ya uhakiki anaonekana ana cheti Fake cha Form Four. Kwa kutumia Scenario ya Mtoa mada,anaamua kupeleka kile chake Halisi cha Form Four chenye Division 4! Hapa tayari mtiririko wa Elimu unaanza kugoma kabisa na inaonekana kuna udanganyifu wa dhahiri. Division Four huwez kwenda Kidato Cha Sita na Chuo Kikuu kiurahisi hivyo!Anadakwa hapo hapo.
 
Majana makubwa ya binadamu ni kufiwa,kufukuzwa kazi na kuuguliwa,
waache watoe msaada wa kiutu
 
Tumekuwa na taifa la majitu mambeya mambeya sijui kwa nini? Kama huna ajira mkuu jikaze tu nafasi hazitoshi hata tukiondolewa watumishi wote wa umma! Mtaani kuna zaidi ya watu 1 m hawana ajira! Hivi wewe kwa akili yako unaona kabisa hao watu watafanikiwa kukana photocopy walizokabidhi wenyewe na mtu akawaelewa? Wacha umbeya wewe!
PIA TAIFA HILI LIMEJAA WATU WANAOJUA KUFOJI
 
Nimeona niliweke hili wazi . .Huu kchezo wa unaofanywa na maafisa utumishi unalenga kuwachafulia watu wa baraza ili waonekane wamefanya kazi ya kuhakiki vyeti vibaya na hawakuwa makini.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mtu anaondolewa data zote kwenye mfumo na kwenye mafaili na anaekezwa akienda baraza akakane kabisa taarifa zake alizozipeleka awali na akasisitize kwamba data zake halisi ni hizi alizonazo. Huu mchezo umekuwa sehemu ya kujipatia fedha .

Nimeona niliseme hilo kwani limejitokeza kwa baadhi ya watumishi , kuna mtumishi wakati wa uhakiki alipeleka cheti chake alicho kimodoa kilichokuwa na ufaulu wa daraja la tatu pointi 23. Lakini sasa ameenda baraza na cheti cha daraja nne pointi 33, na amebadilishiwa data zake zote na ameambiwa akakane taarifa zake za awali na ikibidi hata kwenda mahakamani aende . Sasa watu waliothirika wameamua kutembea na vyeti vyao halisi na kuvificha vile walivyowasilisha mara ya mwanzo ambavyo walivimodoa.

Kuna tukio jingine ambalo limejitokeza tena mhusika kawekwa rumande hadi jumatatu baada ya kugunduliwa kwamba anataka kubadilisha data zake kwenye faili lake lililopo kwa mwajiri wake huku akifanikiwa kuweka data zake kwa mkuu wake wa idara , alishtukiwa na kuwekwa ndani.

Nawaomba baraza kutambua kwamba waathirika wengi wa uhakiki wana vyeti viwili viwili kimoja kikiwa halisi na kingine kilichomodolewa . Na wamejipanga kuzikataa kabisa data zilizotumwa huko na wengine wana barua toka kwa maafisa utumishi wao zinazo shadidia kwamba data zao halisi ni hizi wanazoleta sasa , na wengine hivyo vyeti wamesomea hadi ngazi ya diploma na degree.

Kuweni makini na hao watu wanao kuja huko, kwani wamejipanga vilivyo.
Kuna jamaa mmoja pia anashughulikia kubadilishiwa data kimya, wameelewana na Afisa Utumishi mmoja ampe kg 3. Nawaza sijui nivuruge deal au niache liende!
 
Mosi inaweza kuwa ni hisia tu au kama ni kweli labda ni mtu asiyejitambua. Kwanza entry qualification huwez kuwa na div4 halafu ukasoma Degree bila route ndefu hapo tu tayari ni mushkil. Na mifumo ya lawson iko tight huwez kuiingilia kiurahisi. Angalizo la mtoa mada limetolewa kama tahadhari. Lakini mtu aliyeajiriwa kama Daktari kwa mfano, aseme alitumia cheti cha Division 2 cha Form Four wakati alipata Div4 kiuhalisia,then assume alienda Form Six kwa Div2 ya kupikwa. Baadae akafaulu Form Six na kisha kwenda Muhimbili. Baadae akaajiriwa kama Daktari tuseme Mwananyamala Hospitali. Wakati wa Ajira atapeleka vyeti:-
1. Cha Form Four-Div2(Fake)
2.Cha Form Six-Div 2(Halali)
3. Cha Degree Muhimbili-Upper Second Class(Halali)!

Miaka kadhaa baada ya uhakiki anaonekana ana cheti Fake cha Form Four. Kwa kutumia Scenario ya Mtoa mada,anaamua kupeleka kile chake Halisi cha Form Four chenye Division 4! Hapa tayari mtiririko wa Elimu unaanza kugoma kabisa na inaonekana kuna udanganyifu wa dhahiri. Division Four huwez kwenda Kidato Cha Sita na Chuo Kikuu kiurahisi hivyo!Anadakwa hapo hapo.
Kama kinachosemwa ndocho sitashangaa. Mfa maji haachi kutapatapa.
Mtu anakwenda na bomu kiunoni, likilipuka sawa, akipona maisha yanasonga.
Nchi hii aiishiwi vituko.
 
Nimeona niliweke hili wazi . .Huu kchezo wa unaofanywa na maafisa utumishi unalenga kuwachafulia watu wa baraza ili waonekane wamefanya kazi ya kuhakiki vyeti vibaya na hawakuwa makini.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mtu anaondolewa data zote kwenye mfumo na kwenye mafaili na anaekezwa akienda baraza akakane kabisa taarifa zake alizozipeleka awali na akasisitize kwamba data zake halisi ni hizi alizonazo. Huu mchezo umekuwa sehemu ya kujipatia fedha .

Nimeona niliseme hilo kwani limejitokeza kwa baadhi ya watumishi , kuna mtumishi wakati wa uhakiki alipeleka cheti chake alicho kimodoa kilichokuwa na ufaulu wa daraja la tatu pointi 23. Lakini sasa ameenda baraza na cheti cha daraja nne pointi 33, na amebadilishiwa data zake zote na ameambiwa akakane taarifa zake za awali na ikibidi hata kwenda mahakamani aende . Sasa watu waliothirika wameamua kutembea na vyeti vyao halisi na kuvificha vile walivyowasilisha mara ya mwanzo ambavyo walivimodoa.

Kuna tukio jingine ambalo limejitokeza tena mhusika kawekwa rumande hadi jumatatu baada ya kugunduliwa kwamba anataka kubadilisha data zake kwenye faili lake lililopo kwa mwajiri wake huku akifanikiwa kuweka data zake kwa mkuu wake wa idara , alishtukiwa na kuwekwa ndani.

Nawaomba baraza kutambua kwamba waathirika wengi wa uhakiki wana vyeti viwili viwili kimoja kikiwa halisi na kingine kilichomodolewa . Na wamejipanga kuzikataa kabisa data zilizotumwa huko na wengine wana barua toka kwa maafisa utumishi wao zinazo shadidia kwamba data zao halisi ni hizi wanazoleta sasa , na wengine hivyo vyeti wamesomea hadi ngazi ya diploma na degree.

Kuweni makini na hao watu wanao kuja huko, kwani wamejipanga vilivyo.
MKUU STORY YAKO INASADIFU TUKIO LILOTOKEA KATIKA HALMASHAURI YA MJI WA MBINGA.
MWALIMU MKUU S/M KIWANJANI WAKATI HUO HUO NI AFISA ELIMU KATA NDG LIOBA NDUNGURU IJUMAA YA 5.5.2017 ALISWEKWA NDANI KWA AMRI YA MKURUGENZI BAADA YA KUANZA KUKANA VYETI ALIVYOVIWASILISHA KWA AJILI YA UHAKIKI AMBAPO YUKO KWENYE ORODHA YA WALIOGUSHI VYETI.
ALIPOPEKULI ALIKUTWA NA VYETI 3 VINAVYOFANANA NA VYA NECTA ILA VIMETOLEWA MWAKA MMOJA.
 
Hawa tulishawajua mapema sana.

Tunawasubiri waendee wakanye debe huko Isupilo.

Nimeona niliweke hili wazi . .Huu kchezo wa unaofanywa na maafisa utumishi unalenga kuwachafulia watu wa baraza ili waonekane wamefanya kazi ya kuhakiki vyeti vibaya na hawakuwa makini.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mtu anaondolewa data zote kwenye mfumo na kwenye mafaili na anaekezwa akienda baraza akakane kabisa taarifa zake alizozipeleka awali na akasisitize kwamba data zake halisi ni hizi alizonazo. Huu mchezo umekuwa sehemu ya kujipatia fedha .

Nimeona niliseme hilo kwani limejitokeza kwa baadhi ya watumishi , kuna mtumishi wakati wa uhakiki alipeleka cheti chake alicho kimodoa kilichokuwa na ufaulu wa daraja la tatu pointi 23. Lakini sasa ameenda baraza na cheti cha daraja nne pointi 33, na amebadilishiwa data zake zote na ameambiwa akakane taarifa zake za awali na ikibidi hata kwenda mahakamani aende . Sasa watu waliothirika wameamua kutembea na vyeti vyao halisi na kuvificha vile walivyowasilisha mara ya mwanzo ambavyo walivimodoa.

Kuna tukio jingine ambalo limejitokeza tena mhusika kawekwa rumande hadi jumatatu baada ya kugunduliwa kwamba anataka kubadilisha data zake kwenye faili lake lililopo kwa mwajiri wake huku akifanikiwa kuweka data zake kwa mkuu wake wa idara , alishtukiwa na kuwekwa ndani.

Nawaomba baraza kutambua kwamba waathirika wengi wa uhakiki wana vyeti viwili viwili kimoja kikiwa halisi na kingine kilichomodolewa . Na wamejipanga kuzikataa kabisa data zilizotumwa huko na wengine wana barua toka kwa maafisa utumishi wao zinazo shadidia kwamba data zao halisi ni hizi wanazoleta sasa , na wengine hivyo vyeti wamesomea hadi ngazi ya diploma na degree.

Kuweni makini na hao watu wanao kuja huko, kwani wamejipanga vilivyo.
 
Tumekuwa na taifa la majitu mambeya mambeya sijui kwa nini? Kama huna ajira mkuu jikaze tu nafasi hazitoshi hata tukiondolewa watumishi wote wa umma! Mtaani kuna zaidi ya watu 1 m hawana ajira! Hivi wewe kwa akili yako unaona kabisa hao watu watafanikiwa kukana photocopy walizokabidhi wenyewe na mtu akawaelewa? Wacha umbeya wewe!

Ulitumwa na nani ufoji vyeti?
 
Naona kuna watu hawajamwelewa mleta uzi. Mimi nimemuelewa hivi:
Hawa watumishi walikabidhi vyeti feki(vilivyomodolewa) wakati wanaajiriwa. Mf. mtu form four alipata div. 4, na cheti chake kinaonekana ana div 4. Lakini alikimodoa hadi akawa na cheti cha div 2 au 3 ambacho ndo alikitumia kujiendeleza kielimu hadi kuja kuajiriwa. Kwa hiyo, kile cha div 4 alikificha kabatini na kukikabidhi cheti cha kumodoa kwa mwajiri, na faili lake lina nakala ya cheti hiki.

Wakati wa uhakiki, idara ilipeleka Necta cheti kilichomodolewa. Necta wakaona ni cheti feki. Watumishi hawa kwa sasa wanafanya mojawapo kati ya haya mawili ili wafanikiwa kukata rufaa yao dhidi ya serikali:
  1. Wanashirikiana na maafisa utumishi kuviondoa vyeti vya kumodoa kwenye mafaili yao na kuviweka vile halisi (kama faili lilikuwa na cheti cha div.3 ya kumodoa, kinaondolewa na kuwekwa halisi chenye div 4)
  2. Watumishi hao sasa wanaiba mafaili yao, wanabadilisha vyeti (vya kumodoa kwa halisi) na kuyarudisha mafaili bila maafisa utumishi kujua.
Mleta uzi anawatahadharisha maafisa utu kuwa makini.
Sijui watu wanatokwa na povu kwa nini?
Tunahitaji watu kama nyinyi, wenye uelewa mpana.
 
Mzee ingekuwa na idea ya IT usinge andika huo umbeya sababu afisa utumishi ni end user hawezi kubadilisha vitu vyote kwenye system bila kuwa na full access ya systems. Pia ukifanya auditing ya database unaweza jua nani kabadikisha nini kwenye system kama ndiyo hivyo hao watakamatwa wote.

yaani nyie munaombishia mtoa mada, nimegundua hamjamuelewa.
 
Mosi inaweza kuwa ni hisia tu au kama ni kweli labda ni mtu asiyejitambua. Kwanza entry qualification huwez kuwa na div4 halafu ukasoma Degree bila route ndefu hapo tu tayari ni mushkil. Na mifumo ya lawson iko tight huwez kuiingilia kiurahisi. Angalizo la mtoa mada limetolewa kama tahadhari. Lakini mtu aliyeajiriwa kama Daktari kwa mfano, aseme alitumia cheti cha Division 2 cha Form Four wakati alipata Div4 kiuhalisia,then assume alienda Form Six kwa Div2 ya kupikwa. Baadae akafaulu Form Six na kisha kwenda Muhimbili. Baadae akaajiriwa kama Daktari tuseme Mwananyamala Hospitali. Wakati wa Ajira atapeleka vyeti:-
1. Cha Form Four-Div2(Fake)
2.Cha Form Six-Div 2(Halali)
3. Cha Degree Muhimbili-Upper Second Class(Halali)!

Miaka kadhaa baada ya uhakiki anaonekana ana cheti Fake cha Form Four. Kwa kutumia Scenario ya Mtoa mada,anaamua kupeleka kile chake Halisi cha Form Four chenye Division 4! Hapa tayari mtiririko wa Elimu unaanza kugoma kabisa na inaonekana kuna udanganyifu wa dhahiri. Division Four huwez kwenda Kidato Cha Sita na Chuo Kikuu kiurahisi hivyo!Anadakwa hapo hapo.

Wakati huohuo ukumbuke wapo baadhi walibadili matokeo kutoka div 3 kwenda div2 na 1. watu Wa aina hii lazima wao wahahe maana yeye akipeleka kile cha div 3 bado ataonekana alifaulu na alikuwa na vigezo
 
Uhakiki wa vyeti inaaminika ulifanywa kwa umakini mkubwa na kwa muda wa kutosha. Niliposikia kuna watu wako necta nikajua tayari fursa ya kipato kwa wengine na wengine kulizwa kwa kutapeliwa. Kusoma vyuoni kuna vigezo vya ufaulu na ajira serikalini pia zina vigezo vyake. Kurudisha alama za ufaulu utaweza. Utashindwa swali dogo la namna ulivyo enda chuo au kuajiriwa kwa ufaulu huo. Labda uwe kwenye rank ya uteule, huko utapona.
 
Back
Top Bottom