Tetesi: Maafisa Utumishi wanawabadilishia watu wenye vyeti feki data zao

Huu mfumo wa lawson ungelink na taasisi binafsi ili jibu halisi lijulikane mapema
 
Chakuficha nn hasa ktk Jf maana ndio uwazi uwekwe habari za kuficha zpo Fb. Weka hadharani afisa utumishi na wawapi na hata hao wahusika
 

Mbona una roho mbaya upendi wezio wakisaidiwa, ulitaka wawe machanhudoa au majambazi hili suala lilitakiwa litazamwe kwa three dimension athari zake ni kubwa kuliko ww unavyo andika
Na mbaya zaidi hata wao mshahara wako unabaki pale pale
Tuwe na uruma if possible tuwaombee warudishwe kazini wapewe adhabu nyingi hata ya kutopandishwa daraja mpaka wana staafu
Hv ww mtoto akinyea mkono wako utaukata?
Wanao wasaidia wana huruma
 
ushahidi unao kweli au ni fikra dhahania?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…