Maagizo mawili ya Rais Samia yamepuuzwa na wahusika

Suala la vifurushi limekuwa mzigo usiobebeka hususani kwa wateja vodacom. Ni expensive sana
 
Matamko ya kisiasa majukwaani pasipo mabadiliko ya kimaandishi( katiba) ni usanii mtupu
 
hii kali!ni kama vile unawaharibia kiaina
 
Wamekutuma wewe uwafagilie njia
?
 
Duh mkuu unawaharibia watu sana ujue
 
Hakuna kilichopuuzwa na hakuna amri iliyotolewa.

Fitna za kijinga hizo.
 
Apunguze kidogo kutoa sauti kama anaongea na mzee wamekaa strong room ,mana mwendazake alikua anaongea hadisauti inakauka kau
Mzee hayo ni maumbile na makuzi.Kikwete alikuwa anaongea sauti ya kukaza kama Magu? Jibu hapana kwa sababu Magu alikuwa na Sauti ya kidkteita.

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Dah...Mariam na Adelina ni mabest Toka chuo. Wewe ni yupo hapo 🤣🤣🤣🤣🤭
 
Mbona mitandao gharama zimeshuka?

Eti riba iwe 9
 
Mkuu kwanza unatakiwa uwe unaelewa kitu kimoja.

Je aliyoyasema rais ilikuwa ni agizo au pendekezo. Ukishajua hilo unaweza sasa kulalamika.
 
Matamko mengine hayapo backed up na sheria. Kwa mfano, unakurupukaje na kupunguza riba mpaka 9% just like that?

Nini kilipelekea mitandao kupandisha vifurushi? Kwanini tusirude kule na kutatua kabla ya kutoa tamko la kushusha?
 
Zantel walishashusha bei zao kitambo...
 
We ukaona uweke na Tangazo kabisa
 
Post za kipumbavu Sana hizi

Unapromote watu wako
 
Unajipigia pande
 
Hapo ndipo ninapoona hakuna tofauti kati ya JK na SSH
 
Waliosoma chuo cha ushirika na bashite hao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…