Maagizo mawili ya Rais Samia yamepuuzwa na wahusika

Maagizo mawili ya Rais Samia yamepuuzwa na wahusika

kunatofauti kati ya maagizo na mapendekezo,...
 
Vifurushi mbona wameshusha ndugu
1gb-2000
Wakapandisha hadi 1gb-3000
Sasa wameshusha hadi 1gb-1000
Line zote voda&tigo
 
Rais kwa nyakati alitoa Maagizo mawili

kwanza ni kuhusu bei za vifurushi zipunguzwe lakini wahusika hawajalifanyia kazi kwa mfano ukiangalia vodacom bado gharama zipo juu sana

Pili alilitoa juzi kati akiwa Mwanza alipokuwa anafungua Tawi la Benk Kuu alisema benk zipunguze riba ya Mikopo angalau iwe 10% mpaka 9% lakini mpaka dakika hii hatujaona mabadiliko yoyote yale au ndo kusema maagizo ya Mh Rais yanapuuziwa?.

Naomba kuwasilisha
Vifurushi hata Voda wamepunguza taarifa ilisema makampuni ya cm waludie vifurushi vyao vya awali kabla ya ongezeko kila kampuni ilifanya hivyo
 
Dah...Mariam na Adelina ni mabest Toka chuo. Wewe ni yupo hapo 🤣🤣🤣🤣🤭
Ha haa. Natumia approach ya huyu mama aliyekwenda kwa Yesu kuwaombea wanae 'teuzi'.
Screenshot_20210704-091116.jpg

Screenshot_20210704-074818.jpg
 
Mama Samia anahitaji watendaji madhubuti; Hivyo napenda kutumia wasaa huu kumuomba mama, iwapo itampendeza, kwenye mkeka wake wa ma DED, amteue Mariam Ngonyani kuwa DED wa Morogoro manispaa au Mvomero. Bi Mariam Ngonyani ni msomi wa chuo kikuu cha Dar Es Salaam fani ya biashara na sasa anafanya kazi Morogoro Manispaa akiwa na uzoefu wa miaka takrabini kumi kwenye mambo ya ushirika.
Bi Mariam Ngonyani ameolewa na ana watoto watatu. Natumai binti huyu atamuwakilisha vyema mama iwapo atapewa nafasi.

Pia ikimpendeza tena mama, namuomba amteue kwenye wadhifa kama huo bi Adelina Singano kwa wilaya ya Kisarawe. Bi Adelina naye ni msomi wa chuo kikuu cha UDSM fani ya biashara mwenye uzoefu wa takrabini miaka 10 nadhani kwa sasa yuko hapo hapo Kisarawe DC akisimamia mambo ya ushirika. Naamini naye atamuwakilisha mama vyema.
Hahahhahaha hatari sana!

Hapa hujamsaidia huyo mariam wako bali unamuharibia tu, au wewe ndio mariam?
 
Vodacom kama biashara binafsi na si ya serikali ina uhuru wa kujipangia bei ya huduma zake , sio jambo sahihi kuwaamulia bei
 
Hahahhahaha hatari sana!

Hapa hujamsaidia huyo mariam wako bali unamuharibia tu, au wewe ndio mariam?
Hapana. Mimi ni Bemendazole. Mkuu, zidi kuwaombea hawa wataalam wawili ili mama awaone 'haraka'. Pia zidi kuombea wengine wenye sifa stahiki nao mama awaone 'haraka'!
 
Back
Top Bottom