Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe jamaa yangu ni fala sana,yaani kati ya CCM na SERIKALI,nani mwenye duka na ni muuza duka?Makonda anasema mawaziri wote lazima wawajibike na kuripoti kwa ccm.
Hivi waziri analipwa mshahara wa kodi za walipa kodi wote wa Tanzania.
Leo hii unamlazimisha kuitii na kuipigia magoti ccm ?
Makonda naona spiidi yako itakuja kuleta aibu sanaa kwako wewe na ccm.View attachment 2813688
Mbwa wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe jamaa yangu ni fala sana,yaani kati ya CCM na SERIKALI,nani mwenye duka na ni muuza duka?
Ukilielewa hili utafuta uzi wako haraka sana,au ulikuwa jela ndio umetemwa muda huu?
Inawezekana kutokana na Maagizo ya aliyempa kazi ambaye ni mwenyekitiMakonda anasema mawaziri wote lazima wawajibike na kuripoti kwa ccm.
Hivi waziri analipwa mshahara wa kodi za walipa kodi wote wa Tanzania.
Leo hii unamlazimisha kuitii na kuipigia magoti ccm ?
Makonda naona spiidi yako itakuja kuleta aibu sanaa kwako wewe na ccm.View attachment 2813688
Waziri ni wa Serikali, na Serikali ni mali ya Chama. Sasa sijui hapo unashangaa nini mkuu!Makonda anasema mawaziri wote lazima wawajibike na kuripoti kwa ccm.
Hivi waziri analipwa mshahara wa kodi za walipa kodi wote wa Tanzania.
Leo hii unamlazimisha kuitii na kuipigia magoti ccm ?
Makonda naona spiidi yako itakuja kuleta aibu sanaa kwako wewe na ccm.View attachment 2813688
Pumbaf lumumba wahediDuuh sijui nani kampa jero la kununua bundle na mvua hizi!
Mawazo yako yanaheshimika mzee lkn pia usiyadharau Mawazo ya mwenzakoMawaziri wote wako chini ya serikali ya CCM, makonda ni katibu mwenezi wa ccm,
Tusiwe na mahangaiko yasiyo na faida, kikubwa tujipange tu 2025 tuwafyekelee mbali CCM.
Mvua imekomesha aliyekwambia uishi mabondeni ni nani tena kwa shemeji yako!Pumbaf lumumba wahedi
Viraza wa aina yenu ndiyo wale aliowasema Samia kuwa mnaitaji Elimu ya siasa na katiba kwa muda wa miaka mitatu mfulizo kabla ya kwenda kwenye utaratibu wa kupata katiba mpya. Mnapuyanga tu bila aibu, hata hii katiba iliyopo hamuijui.CCM ndio mwenye duka halafu mawaziri ni wauza duka la CCM! mda wowote mwenye duka anaweza kumtimua muuza duka.
Kwa mawazo haya Watanzania tumekuwa taifa la watu wajinga sana. Wenye duka ni Watanzania (Wananchi wenyewe) SIYO chama cha siasa. Chama cha siasa kinapopewa ridhaa na wananchi kushika dola, kinawaongoza wananchi wote bila kujali itikadi zao za kisiasa. Serikali inawajibika kwa wananchi siyo kwa Makonda au Chama. Mnapigia Makonda debe la kijinga na mnaendelea kumpoteza.CCM ndio mwenye duka halafu mawaziri ni wauza duka la CCM! mda wowote mwenye duka anaweza kumtimua muuza duka.
Kama Makonda kakutuma, husiwe unafyatuka kuandika vitu usivyovijua aibu Itabaki kwako.Wanabodi, Salaam!
Paul Christian Makonda anaposimama kutoa maelekezo tusimhujumu au kumchukulia tofauti.
Msimamo anaoutoa siyo wa kwake - ni msimamo wa taasisi yake iliyompendekeza na kumteua "CCM". So wkt wa kampeni za uchaguzi za mwaka 2015 na 2020 wapinzani wakiwa Kagera, Dar, Arusha, Manyara na Dodoma walitumia kete ya migogoro ya ardhi ili kujipatia uungwaji mkono.
Aidha, hata baada ya SSH kuruhusu vyama vya upinzani kuanza mikutano ya kisiasa Tundu Lisu na wenzake huko Arusha na Manyara wametumia turufu hiyo kutaka kujijenga kisiasa. SASA kwa nini CCM kipoteze ushawishi ktk baadhi ya maeneo ya nchi KISA migogoro ya ardhi huku tuna viongozi waliopewa dhamana kuisimamia?
Narudia tena kuwa Paul Christian Makonda anazungumza, anaagiza na kuelekeza watendaji ktk sekta kadhaa kuhakikisha kero ndogo zinaondolewa - na Mwenezi huyu yupo kwa niaba ya CCM. Ni takwa la Ilani ya uchaguzi kuhakikisha watanzania wanafanya shughuli zao bila bughudha, na kunyanyaswa.
Hivyo ili matokeo mazuri yatokee CCM imemtuma Paul Christian Makonda kuwahimiza watendaji kuwajibika positively kwa wananchi. Kwa ufupi ni kuwa Paul Makonda yupo kuwanyima AGENDA CDM, ACT, Umoja, CUF, NCCR Mageuzi na tuvyama twingine.
Hongera Paul Makonda, hongera CCM "kazi iendelee".
Labda unawaongelea watu tofauti,katibu mwenezi CCM ni Bashite.Wanabodi, Salaam!
Paul Christian Makonda anaposimama kutoa maelekezo tusimhujumu au kumchukulia tofauti.
Msimamo anaoutoa siyo wa kwake - ni msimamo wa taasisi yake iliyompendekeza na kumteua "CCM". So wkt wa kampeni za uchaguzi za mwaka 2015 na 2020 wapinzani wakiwa Kagera, Dar, Arusha, Manyara na Dodoma walitumia kete ya migogoro ya ardhi ili kujipatia uungwaji mkono.
Aidha, hata baada ya SSH kuruhusu vyama vya upinzani kuanza mikutano ya kisiasa Tundu Lisu na wenzake huko Arusha na Manyara wametumia turufu hiyo kutaka kujijenga kisiasa. SASA kwa nini CCM kipoteze ushawishi ktk baadhi ya maeneo ya nchi KISA migogoro ya ardhi huku tuna viongozi waliopewa dhamana kuisimamia?
Narudia tena kuwa Paul Christian Makonda anazungumza, anaagiza na kuelekeza watendaji ktk sekta kadhaa kuhakikisha kero ndogo zinaondolewa - na Mwenezi huyu yupo kwa niaba ya CCM. Ni takwa la Ilani ya uchaguzi kuhakikisha watanzania wanafanya shughuli zao bila bughudha, na kunyanyaswa.
Hivyo ili matokeo mazuri yatokee CCM imemtuma Paul Christian Makonda kuwahimiza watendaji kuwajibika positively kwa wananchi. Kwa ufupi ni kuwa Paul Makonda yupo kuwanyima AGENDA CDM, ACT, Umoja, CUF, NCCR Mageuzi na tuvyama twingine.
Hongera Paul Makonda, hongera CCM "kazi iendelee".