Maagizo ya Rais Samia kwanini hayafanyiwi kazi kwa wakati?

ila hao wa Voda... ndio wameonesha dharau kubwa sana.....

napata wasiwasi hata kama maelekezo mengine kma ya bodi ya mikopo, NHIF yatafanyiwa kazi
 
Kuna mambo hayawezi kutekelezwa overnight mkuu.
Mambo ya kesi yakiwa mahakamani huo ni muhimili mwingine haiwezekani watu wakaachiwa kama ng'ombe toka zizini lazima baadhi ya vifungu vipitiwe kukamilisha mchakato.
Ikiwa utaratibu hautofuatwa hasa kwa kesi nyeti kama madai ya ugaidi serikali itajijuta inawalipa watu fidia kubwa sana wakiamua kudai fidia
 
Vingozi wengi wa Tz hawaendi bila fimbo, Mama aanze na kuwatumbua, na aweke watu ambao wako kikazi sio upigaji na uvivu
 
Wnamkwamisha kwa makusudi
 
Uko sahihi ila kuna wanasharia Wengi wa Serikali na sheria sio kitu cha kutafuta kimeandikwa, ni uzembe na uvivu, kwani ingetakiwa ndani ya wiki moja wameshamaliza mambo ya sheria na kutoa taarifa kama wana makosa au hapana
 
Anawavutia kasi ,atawavulumisha mpaka wakose pakutokea, subili mda ni mwalim ila pia pamoja na kwamba tunaenda fungua biashara Kati ya kenya na tz ila sio kigezo kwamba pasiwepo kufuata sheria na taratibu za nchi zote mbili.

Hili ni swala pia mh KENYATTA alisisitiza, kwamba vikwazo vya kufanya biashara Kenya vinaondolewa ali Hali taratibu na sheria za nchi hiyo zifuatwe, hivyo hivyo kwetu, kwamba mpaka kwenye kuvua samaki kusafirisha mazao ya uvuvi vipo vibali, lesen Kama ilivyo sisi watz tunavyotakiwa kia navyo Basi hata majirani lazima fuata taratibu vinginevyo kua mashirikiano ya nchi na nchi hakuondoi misingi yatokufuata taratibu na sheria za nchi husika
 
Uamusho ni ugaidi
 
Awaondoe wafuasi wa Magufuli short of that she is going nowhere
Positive, nilishangaa jana wa kesi ya Rugemalila na Singasinga walipo mwambia Judge kwamba upelelezi wa kesi yao bado hajakamilika, yaani karibu miaka mitano inakatika washukiwa bado wako korokoroni na wapelelezi wa Serikali hawaonyeshi nia dhabiti ya kupata ufumbuzi wa suala hili tata na wala hawajali lolote kuhusu haki za binadamu wenzao, unaweza kuozea rumande kama mwenye mamlaka ana nia ya kukukomoa, na hiki ndicho kinacho endelea kwenye kesi ya Rugemalila na wenzake!!!
 
Kama lille takataka lililobambika watu mikesi kwa maelekezo ya Jiwe bado lipo unategemea nini? nashangaa hadi sasa Biswalo bado yuko Ofisini
 
Akisimamia utekelezaji kisawa sawa mtamuita dikteta so vumilia.....
 
Hahaa, hayo yalikuwepo toka enzi za Mkapa
 
Kiaina naona kama vile unamkumbuka kwa mazuri japo utapinga
 
Jamaa ana hoja povu za nini!? hebu tuambie kwenye matamko ya Mama lipi limetekelezwa

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
Soma hapo👇👇
 
Makampuni ya simu yameonesha dharau kubwa sana toka alivyowaambia warudishe vifurushi ya zamani wamejifikiria weeee
 
SSH anabadilisha mahindi kwa kukubali wakenya waje Tz kufanya kazi kama uani kwao, such a naive and weak president.
 
kigogo kashambatiza rais wetu kwa kumuita "JUMONG" sijui kakosa teuzi ama kuna shida gani

rais apewe muda makelele yamezidi mno.
 
Wao wanawadhamini CCM hayo ni matatizo yao mimi hela yangu haiwahusu.

Ni hivi KWANI HUO MTANDAO NI WA MAMA/BABA YAKO?

HAMA
 

Baada ya siku 100 ndoo ndio tutapata picha halisi ya uwezo wa huyo mama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…