Bunsen Burner
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 909
- 1,101
Mie naona labda Mh.Mama yetu Rais imefika muda kwa mstakabali wa reconciliation na kuanza ukurasa mpya, hao mashehe aagize waachiwe tu,nina imani adhabu ya kukaa kwao gerezani miaka yote hii ni tosha hata kama walitenda/ hawakutenda makosa, naona itakuwa vigumu kuweza kujaribu tena kujihusisha na harakati ambazo zitakuwa kinyume na sheria....kazi iendelee.Mama amefeli mapema sn
So Ndugai yuko Chini yake?Agizo la kufuta kesi zote hewa za watu waliobambikizwa kwanini watu bado wapo mahabusu mfano Mashehe wa uhamsho?
Agizo la kufungua vyombo vya habari mpaka sasa kimya
Agizo la kufungua biashara kati ya Tanzania na Kenya leo usiku kuna wavuvi wa Kenya wamekamatwa kwenye ziwa Victoria.
Report ya CAG mpaka sasa kimya
Suala la bundle mpaka leo voda na airtel bado wamegoma kurudisha bundle za zamani
Suala la kulikemea Bunge kwamba wawe wana discuss issue ambazo zinahusu taifa juzi tu Ndugai katapika tena eti anamkemea Nape kwa kuwasema wabunge wa viti maalumu.
Sasa tutasema tuna Rais hapa Rais ambaye akitoa maelekezo watu hawafanyi?
Nasisitiza nipo na Mama kwenye suala la kufufua uwekezaji nchini lakini sikubaliani yeye kushindwa kusimama kwenye uzembe na uwajibikaji wa watu wote walio chini yake.
Afanye maamuzi magumu sometime asiwe Rais Dhaifu.
Pia aliagiza wizara ya fedha kulipa wakandarasi kwa wakati hilo halifanyiki kiasi kwamba serikali italazimika kulipa riba kubwa kwa urasimu usio wa lazimaAgizo la kufuta kesi zote hewa za watu waliobambikizwa kwanini watu bado wapo mahabusu mfano Mashehe wa uhamsho?
Agizo la kufungua vyombo vya habari mpaka sasa kimya
Agizo la kufungua biashara kati ya Tanzania na Kenya leo usiku kuna wavuvi wa Kenya wamekamatwa kwenye ziwa Victoria.
Report ya CAG mpaka sasa kimya
Suala la bundle mpaka leo voda na airtel bado wamegoma kurudisha bundle za zamani
Suala la kulikemea Bunge kwamba wawe wana discuss issue ambazo zinahusu taifa juzi tu Ndugai katapika tena eti anamkemea Nape kwa kuwasema wabunge wa viti maalumu.
Sasa tutasema tuna Rais hapa Rais ambaye akitoa maelekezo watu hawafanyi?
Nasisitiza nipo na Mama kwenye suala la kufufua uwekezaji nchini lakini sikubaliani yeye kushindwa kusimama kwenye uzembe na uwajibikaji wa watu wote walio chini yake.
Afanye maamuzi magumu sometime asiwe Rais Dhaifu.
Ni kweli aiseeMie naona labda Mh.Mama yetu Rais imefika muda kwa mstakabali wa reconciliation na kuanza ukurasa mpya, hao mashehe aagize waachiwe tu,nina imani adhabu ya kukaa kwao gerezani miaka yote hii ni tosha hata kama walitenda/ hawakutenda makosa, naona itakuwa vigumu kuweza kujaribu tena kujihusisha na harakati ambazo zitakuwa kinyume na sheria....kazi iendelee.
Upande wa serikali ukiondoa shtaka lao mahakama inawaachia fasta.Kuna mambo hayawezi kutekelezwa overnight mkuu.
Mambo ya kesi yakiwa mahakamani huo ni muhimili mwingine haiwezekani watu wakaachiwa kama ng'ombe toka zizini lazima baadhi ya vifungu vipitiwe kukamilisha mchakato.
Ikiwa utaratibu hautofuatwa hasa kwa kesi nyeti kama madai ya ugaidi serikali itajijuta inawalipa watu fidia kubwa sana wakiamua kudai fidia
Huyo muungwana anafikiri kuongoza nchi ni sawa na kuongoza genge la kujadili mechi ya simba na yanga la kijiwe cha mtaani kwake.Umejuaje kuwa Masheikh wa Uamsho wamebambikiwa kesi ?
Wengi tunapenda Uamsho watendewe haki. Kama ni dhamana wapewe na kama wana hatia basi wafungwe ifahamike. Na kama hawana hatia waachiwe.
Kitu ambacho hakitakiwi ni kuwaweka watu mahabusu Miaka 10 au zaidi. Huu ni upuuzi kwasababu siku wakikutwa hawana hatia utawalipa fidia ya muda wao?
Wewe unamiliki chombo cha habari ?
Mmiliki gani wa chombo cha habari umesikia analalama kwamba chombo chake kimekataliwa.
Ninavyojua Kubenea mpaka sasa ameshakutana waziri husika na labda wapo kwenye process.
Kuhusu Mbowe na Tanzania Daima sijui.
Maria Sarungi wa Kwanza TV mwenyewe kasema haendi na mpaka sasa kashaanzisha channel mpya Mwanzo TV.
Kufungua biashara tafsiri yake siyo kwamba biashara zifanyike kiholela. Kwamba kwasababu biashara zimefunguliwa ndio wavuvi wa Tanzania wakavue samaki kiholela upande wa Kenya?
Una akili wewe kweli?
Report ya CAG kwa upande wa serikali tayari, kwasasa iko stage ya bunge.
Bunge liko kimya then unamlaumu Rais, kweli?
Sote tulikuwa tunalia hapa uhuru wa bunge leo tena tunataka Rais aburuze bunge !!!
Kwamba Rais aingilie mpaka makampuni binafsi ayalazimishe namna ya kupanga bei ya bidhaa zao, siyo?
Binafsi natumia VodaCom na Halotel. Bundle za Voda hazijawahi kuwa cheap. Na hii ni kutokana na kasi na ubora wa internet yao ukilinganisha na mitandao mingine.
Usilazimishe kupata kitu bora kwa bei kitonga. Ukiona Voda hawajabadili au wamebadili kidogo maana yake wateja wake wengi wanamudu kununua hivyo hivyo. Kuna mitandao 4 nchi hii, hamia penye unafuu. Achana na kampuni za watu.
Mimi mwenyewe bundle natumia Halotel, ikitokea watu wote wakayasusa mabando ya Voda automatically wao wenyewe watarekebisha.
Magu alikuwa anadhibiti bunge tunalalamika. Leo tena tunataka Rais adhibiti bunge,!!
Rais atakachofanya ni kutoa ushauri lakini kutaka kulazimisha Rais aingie kwenye midomo na akili za wabunge na kuwalazimisha namna ya kuongea. Huu ni upumbavu.
Sote tunajua akili za wabunge waliomo mle ndani.
Huna akili.
Wameanza kulejesha kwangu dar supa uni imelijeaKuna challenges anazokutana nazo huyu mama lazima zimtoe jasho, japo nyingine naona ziko ndani ya uwezo wake kabisa.
Mfano hilo la masheikh wa uamsho hata wenzake liliwatoa jasho, japo naamini serikali ndio haijaamua kuwa serious kusikiliza hiyo kesi, video za mahubiri ya yale jamaa zikitumika na kauli zao makosa yao yapo wazi.
Kuhusu vifurushi vya simu hili ndio linafanya nimuone Rais yuko "soft" sijui ni kitu gani haswa kinachomshinda, kitendo cha kutoa agizo halafu lisitekelezwe ni dharau, hawa jamaa wa makampuni ya simu sijui wanajiamini nini, au labda ni ule "udhamini" wanaowapa CCM wakati wa kampeni za uchaguzi.
Lawama nyingine kichwa wala miguu.Huyo muungwana anafikiri kuongoza nchi ni sawa na kuongoza genge la kujadili mechi ya simba na yanga la kijiwe cha mtaani kwake.
......Sikujua kama Shetani ala mlo mmoja, yakhe! ( walikuwa na maneno hatari).Duuh hawa jamaa kweli ni uamsho. Kwa video hizi sio rahisi kuachiwa aisee.
Uko sahihi sana;Maagizo ya kiongozi huwa yanafanyiwa kazi lakini ni suala la mchakato,Kwa mfano Mashehe waliopo gerezani hawawezi kuachiliwa huru hivi hivi bila hati za kuachiliwa kwao kuwekwa wazi mbele mwendesha mashtaka wa serikali, hivi hawa suala lao litachukua muda ila si sawa kusema kwamba maagizo ya rais hayafanyiwi kazi.
Mwaka huu mtalalamika sanaAgizo la kufuta kesi zote hewa za watu waliobambikizwa kwanini watu bado wapo mahabusu mfano Mashehe wa uhamsho?
Agizo la kufungua vyombo vya habari mpaka sasa kimya
Agizo la kufungua biashara kati ya Tanzania na Kenya leo usiku kuna wavuvi wa Kenya wamekamatwa kwenye ziwa Victoria.
Report ya CAG mpaka sasa kimya
Suala la bundle mpaka leo voda na airtel bado wamegoma kurudisha bundle za zamani
Suala la kulikemea Bunge kwamba wawe wana discuss issue ambazo zinahusu taifa juzi tu Ndugai katapika tena eti anamkemea Nape kwa kuwasema wabunge wa viti maalumu.
Sasa tutasema tuna Rais hapa Rais ambaye akitoa maelekezo watu hawafanyi?
Nasisitiza nipo na Mama kwenye suala la kufufua uwekezaji nchini lakini sikubaliani yeye kushindwa kusimama kwenye uzembe na uwajibikaji wa watu wote walio chini yake.
Afanye maamuzi magumu sometime asiwe Rais Dhaifu.
da yaani kama ndiyo walikuwa wanahubiri haya kazi wanayo kuchomoka ni kazi sanaHawa ama wengine!?
DAMN! 🙌Umejuaje kuwa Masheikh wa Uamsho wamebambikiwa kesi ?
Wengi tunapenda Uamsho watendewe haki. Kama ni dhamana wapewe na kama wana hatia basi wafungwe ifahamike. Na kama hawana hatia waachiwe.
Kitu ambacho hakitakiwi ni kuwaweka watu mahabusu Miaka 10 au zaidi. Huu ni upuuzi kwasababu siku wakikutwa hawana hatia utawalipa fidia ya muda wao?
Wewe unamiliki chombo cha habari ?
Mmiliki gani wa chombo cha habari umesikia analalama kwamba chombo chake kimekataliwa.
Ninavyojua Kubenea mpaka sasa ameshakutana waziri husika na labda wapo kwenye process.
Kuhusu Mbowe na Tanzania Daima sijui.
Maria Sarungi wa Kwanza TV mwenyewe kasema haendi na mpaka sasa kashaanzisha channel mpya Mwanzo TV.
Kufungua biashara tafsiri yake siyo kwamba biashara zifanyike kiholela. Kwamba kwasababu biashara zimefunguliwa ndio wavuvi wa Tanzania wakavue samaki kiholela upande wa Kenya?
Una akili wewe kweli?
Report ya CAG kwa upande wa serikali tayari, kwasasa iko stage ya bunge.
Bunge liko kimya then unamlaumu Rais, kweli?
Sote tulikuwa tunalia hapa uhuru wa bunge leo tena tunataka Rais aburuze bunge !!!
Kwamba Rais aingilie mpaka makampuni binafsi ayalazimishe namna ya kupanga bei ya bidhaa zao, siyo?
Binafsi natumia VodaCom na Halotel. Bundle za Voda hazijawahi kuwa cheap. Na hii ni kutokana na kasi na ubora wa internet yao ukilinganisha na mitandao mingine.
Usilazimishe kupata kitu bora kwa bei kitonga. Ukiona Voda hawajabadili au wamebadili kidogo maana yake wateja wake wengi wanamudu kununua hivyo hivyo. Kuna mitandao 4 nchi hii, hamia penye unafuu. Achana na kampuni za watu.
Mimi mwenyewe bundle natumia Halotel, ikitokea watu wote wakayasusa mabando ya Voda automatically wao wenyewe watarekebisha.
Magu alikuwa anadhibiti bunge tunalalamika. Leo tena tunataka Rais adhibiti bunge,!!
Rais atakachofanya ni kutoa ushauri lakini kutaka kulazimisha Rais aingie kwenye midomo na akili za wabunge na kuwalazimisha namna ya kuongea. Huu ni upumbavu.
Sote tunajua akili za wabunge waliomo mle ndani.
Huna akili.
Duuh kama ni hawa wabaki tuda yaani kama ndiyo walikuwa wanahubiri haya kazi wanayo kuchomoka ni kazi sana
Kama ndio hawa sioni lini wataachiwa na wala kesi yao sidhani kama kuna mahakama ipo kamili kuwasiiliza.Hawa ama wengine!?
Huwezi kupata vyote kwa wakati mmoja. Yaani rais awe mpole hapohapo mkali, mfuata sheria na taratibu hapo hapo maamuzi yake yatekelezwe pasipo kufuata sheria na utaratibu . mzee ridhika na spidi iliyopo ni hii hii ndo ujue maana ya kufuata sheria na taratibuAgizo la kufuta kesi zote hewa za watu waliobambikizwa kwanini watu bado wapo mahabusu mfano Mashehe wa uhamsho?
Agizo la kufungua vyombo vya habari mpaka sasa kimya
Agizo la kufungua biashara kati ya Tanzania na Kenya leo usiku kuna wavuvi wa Kenya wamekamatwa kwenye ziwa Victoria.
Report ya CAG mpaka sasa kimya
Suala la bundle mpaka leo voda na airtel bado wamegoma kurudisha bundle za zamani
Suala la kulikemea Bunge kwamba wawe wana discuss issue ambazo zinahusu taifa juzi tu Ndugai katapika tena eti anamkemea Nape kwa kuwasema wabunge wa viti maalumu.
Sasa tutasema tuna Rais hapa Rais ambaye akitoa maelekezo watu hawafanyi?
Nasisitiza nipo na Mama kwenye suala la kufufua uwekezaji nchini lakini sikubaliani yeye kushindwa kusimama kwenye uzembe na uwajibikaji wa watu wote walio chini yake.
Afanye maamuzi magumu sometime asiwe Rais Dhaifu.