Maajabu: Aliyehubiri Injili aswekwa jela, anayewapachika chupa watu makalioni aachiwa huru

Maajabu: Aliyehubiri Injili aswekwa jela, anayewapachika chupa watu makalioni aachiwa huru

Hapa ameongea kwa niaba ya chama ama ametoa maoni yake binafsi?

Wapi kajitambulisha kama mwanachadema mkuu?

Rais alimtengua unaibu waziri wewe unasema ni maneno tu kama ya kwenye kanga?

Rais ana vyanzo vingi vya kupata taarifa sahihi sio kama wewe hata jirani yako hawezi kukupa taarifa hata ya msiba tu.
Punguza ujuaji ukituhumiwa hata kwa kusingiziwa uteuzi utatenguliwa kama sabaya na viongozi wengine wa kuteuliwa ,jifunze taratibu usikurupuke tu kama bata bukini.
 
Mchungaji mmoja huko Mbeya amefungwa jela kwa kuhubiri Injili , lakini kuna mwanaccm mmoja huko Manyara ameachiwa huru pamoja na ushahidi mwanana wa kuwapachika watu chupa makalioni

View attachment 2857896

Toa maoni yako
Stupid with your injili
1704008396289.jpg
 
Hii Nchi imeshakuwa na sheria moja kwa Tabaka la Watawala na Mafisadi wenzao na Sheria nyingine ni kwa Tabaka la Watawaliwa na Masikini na Wananchi wa hali ya chini wa kuingiziwa chupa na kuhamishiwa Burundi.
 
Yaani Manyara wote wawe wajinga ila akili uwe nayo wewe wa geita !
Walikuwepo,
Walikwends kutoa ushahidi kwa DPP?

Waliona au nao walisikia?

Wakat anaingizwa hiyo chupa Manyara yote walikuwepo?. Wewe unavyopiga kelele zote hizi uliona au nawe umesikia tu?

DPP kajitoa kesi ya Mbowe mmeshangilia.
Leo kajitoa kesi ya msiyempenda mnalalama.
 
Tukupachike hiyo chupa then Uchekeleee
Yaan uamke tu asubuhi umeshiba chai yako useme Fulani kakupachika chupa basi fulani akafungwe.

Rudi shuke mkajifunze Evidence act , burden of proof na kadhalika.

DPP siyo kichaa na anajua kuliko wewe.

Hivi unajua hata ni content kias gani ya ushahidi upo mezani kwake?.. ana vielele,o gani?..
Au unaropoka tu
 
Ulipelek ushahidi kwa DPP au Uchadema unakusumbua.

Acheni kuchafua watu kwa chuki zenu za kisisasa
Yaani unatoa Jibu la kipuuzi hata aibu huoni? Aliyehibiri Injili amefungwa kwa sababu Hana kibali Cha serikali, huyu mbunge Tena naibu Waziri wa katiba na sheria, badala aonyeshe mfano jinsi sheria anayosimamia inatakiwa vipi kuiheshimu, yeye anatenda kosa la hovyo kama Hilo, halafu anamtokea mtu wa hovyo kama wewe anatetea upuuzi.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sasa siukashitaki wewe kama wewe na utoe ushahidi juu ya huyo anayewekea watu chupa hata huko UN nenda kashitaki wewe sinimpigania haki za binadamu bwana.

Au beba mabango BBC wakuone kama kina Bob Wine huko Uganda siyo kujificha ndani ya jf.

Kama huwezi kuleta ushahidi basi huna haki ya kuzungumza chochote juu ya hilo.

Ina maana Manyara yooooote hawajaliona hilo na kutambua kuwa unachuki zenu za siasa kwa kuwa anayetuhumiwa aliondoka chadomo?
Sisi bado sana, miezi hii ya nyuma naibu Waziri mmoja alitoka na mwanafunzi wa Mzumbe akapata ajali mwanafunzi akafa, Waziri hakushitakiwa, hiyo Kinga aliyopewa ni balaa, kuanzia Polisi, zahanati moja wakasema aliletwa anaumwa presha akafa, akazikwa kimya kimya kwao Singida. Mfumo wa hovyo, leo huyu naye anakimgiwa kifua na DPP.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Muacheni mbarikiwa ahubiri injili jela Mungu kamtuma kuokoa roho zinazopotea ujio wake jela uenda umeokoa maisha ya wengi.
Mungu hakosei
 
huyo hajapelekwa jela, amepelekwa shule, Mungu anamfundisha kwa kukimbia wito, Mungu alimuita kuwa mwimbaji wa injili, na kwa kupitia uimbaji ameleta wengi kwa Yesu na kufariji wengi, lakini yeye amekimbilia kwenye uchungaji ambao hawezi kitu kabisa na aliamini kwenye uchungaji ndiko kwenye mpunga na ndiko atafikia watu wengi zaidi. atatoka muda si mrefu, ila akitoka mshauri kitu kimoja, mwambie aachane na uchungaji, atunge nyimbo nyingi za kuabudu kwasababu tumezimiss na atapata pesa pia nyingi kwa nyimbo za aina hiyo. hawezi kuwa mchungaji kwasababu hatakuja kupata kibali, kwani aligoma kusoma kuwa mchungaji ambacho ni kigezo namba moja, na akijifanya jeuri atarudi tena jela na akishitakiwa sasahivi atafungwa miaka mingi zaidi kwasababu ana previous conviction. mshauri sana, utakuwa umemsaidia.

muda si mrefu atagraduate kwenye shule, Mungu amekuwa akimuambia mara nyingi anashupaza shingo, amerushwa huko kama vile Yona alivyorushwa kwenye tumbo la samaki, akitoka afuate wito wake aachane na kile Mungu hajamuitia.
Kama zumaridi vile Toka atoke chuo (jela) umaarufu umekufa
 
Back
Top Bottom