Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Mnarudia uchaguzi wa Kanda ya Kati?
Katiba ya chama itaelekeza nini kifanyike. Rejea kifo cha shetani kilichopelekea mrembo kukalia kiti ni katiba ya nchi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnarudia uchaguzi wa Kanda ya Kati?
Wakaulizwa hamuogopi corona? Nasikia yeye ndiye aliyemwambia rudi nyumbani tuimbe nyimbo zetu kwa pamoja kwani yule jamaa uliyemkimbia kashaenda zake.Jana Jk alikuwa na Furaha sana baada ya Waziri wake wa Mwisho wa Maliasili na Utalii kurejea Chamani, kashindwa kujizuia hadi wamekumbatiana!
MmmghhhhChadema wameumia sana Nyalandu kuwaacha mwisho wa mwezi!
Wacheza kamari wana msemo wao Kamanda, husema HEADS I WIN TAILS YOU LOSE. Hii kaka hata uiweke kivipi (ujifurahishe nafsi yako) ni pigo kubwa. Inaonyesha dhahiri chademathink jinsi ilivyo. Wenzenu CCM wamekupeni kachero nambariwani kawasambaratisha ukawa na kuipoteza zanzibar baada ya kuwajulia mbinu za CUF. Huyu ni bonner, always a bonner. Yaani inaonyesha kwamba wote nyie saizi yenu ni Nyalandu kama aliweza kuwahoodwink.Mabibi na mabwana kumekuwa na shamra shamra nyingi hasa kutokea kwa wale makada nguli wa chama mboga mboga kuwa bwana Nyalandu katoka Chadema.
Ajabu ni kuwa furaha zimeelekezwa kwenye kuwa bwana huyu asiyekuwa na jina ndani ya Chadema, ametoka Chadema wala si kuwa kajiunga na CCM!
Maajabu zaidi ya Mussa ni kuwa, kwa Chadema: "kuondoka kwake ni mithili ya kuvuja kwa pakacha ambayo ni nafuu kwa mchukuzi."
Wajameni, kwanini CCM wanashangilia hivi kuwa huyu bwana kutoka Chadema? Kwanini CCM hawashangilii kuwa kwa kujiunga nao, labda sasa wamepata jembe mahiri la kulimia kweri kweri?
Inashangaza kuwa promo zote anazopewa huyu bwana, ni kuwa katoka Chadema na si kuwa kajiunga na CCM!
Hiiiiii bagosha, pana nini hapa?
Au huyu bwana ana siri gani nzito ambazo CCM walikuwa zimewakisesha usingizi kila walipokumbuka kuwa huyu bwana yuko huko, na sasa ni heri katoka na kuwa sasa japo watapumua kwa nafasi?
Aliwabana nini CCM Nyalandu kuwa Chadema? Mbona hatuoni shamra shamra za kuwa huyu bwana sasa atatufaa na nini CCM?
Au labda tuseme ni mambo ya kumpongeza tu, kwa kuwa alishindwa kuimba zile nyimbo zake za Sayuni alizozizowea alipokuwa huko?
Wajameni, furaha na shamra shamra hizi, sababu zake tafadhali.
Ninawasilisha
Ona hiki kinyesiChadema sasa hivi inachukuliwa kama shimo falani la taka.
Unatupwa uchafu huko kisha watu wanakuja kuokota wanaufanyia recycle
Chadema wameumia sana Nyalandu kuwaacha mwisho wa mwezi!
Alikuwa mwenyekiti Kanda ya Kati na mjumbe wa halmashauri kuu. Unasema hakuwa na uzito?Nyalandu hakuwa na uzito wowote ndani ya Chadema na ndiyo maana aliondoka,na Nyalandu amerudi CCM kwa sababu yule dhalim hayupo tena CCM.
Wacheza kamari wana msemo wao Kamanda, husema HEADS I WIN TAILS YOU LOSE. Hii kaka hata uiweke kivipi (ujifurahishe nafsi yako) ni pigo kubwa. Inaonyesha dhahiri chademathink jinsi ilivyo. Wenzenu CCM wamekupeni kachero nambariwani kawasambaratisha ukawa na kuipoteza zanzibar baada ya kuwajulia mbinu za CUF. Huyu ni bonner, always a bonner. Yaani inaonyesha kwamba wote nyie saizi yenu ni Nyalandu kama aliweza kuwahoodwink.
Pole mkuu najua hizo ni hasira na stress za kuokewa na kamanda wenu wa kuaminiwa ndugu NyaranduOna hiki kinyesi
Put it differentlyChadema inatakiwa kukimbiwa na kila mwenye akili.
Hivyo ukiona watu wanafurahi nyalandu kuondoka jua kuwa wanafurahi chadema kukimbiwa
Akili za kushikiwa hizo,kuna wakati zipo kuna wakati hazipo.Nyalandu ndio alikuwa analipa mishahara ya Ufipa!
Chadema ukiwa na pesa tu unakua mjumbe wa kamati kuu. Ni chama cha ajabu sana.Alikuwa mwenyekiti Kanda ya Kati na mjumbe wa halmashauri kuu. Unasema hakuwa na uzito?
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Mbona hizo takataka zote mnazo huko? Mpaka maprofesa wa majalalani wapo huko.Chadema sasa hivi inachukuliwa kama shimo falani la taka.
Unatupwa uchafu huko kisha watu wanakuja kuokota wanaufanyia recycle
Mabibi na mabwana kumekuwa na shamra shamra nyingi hasa kutokea kwa wale makada nguli wa chama mboga mboga kuwa bwana Nyalandu katoka Chadema.
Ajabu ni kuwa furaha zimeelekezwa kwenye kuwa bwana huyu asiyekuwa na jina ndani ya Chadema, ametoka Chadema wala si kuwa kajiunga na CCM!
Maajabu zaidi ya Mussa ni kuwa, kwa Chadema: "kuondoka kwake ni mithili ya kuvuja kwa pakacha ambayo ni nafuu kwa mchukuzi."
Wajameni, kwanini CCM wanashangilia hivi kuwa huyu bwana kutoka Chadema? Kwanini CCM hawashangilii kuwa kwa kujiunga nao, labda sasa wamepata jembe mahiri la kulimia kweri kweri?
Inashangaza kuwa promo zote anazopewa huyu bwana, ni kuwa katoka Chadema na si kuwa kajiunga na CCM!
Hiiiiii bagosha, pana nini hapa?
Au huyu bwana ana siri gani nzito ambazo CCM walikuwa zimewakisesha usingizi kila walipokumbuka kuwa huyu bwana yuko huko, na sasa ni heri katoka na kuwa sasa japo watapumua kwa nafasi?
Aliwabana nini CCM Nyalandu kuwa Chadema? Mbona hatuoni shamra shamra za kuwa huyu bwana sasa atatufaa na nini CCM?
Au labda tuseme ni mambo ya kumpongeza tu, kwa kuwa alishindwa kuimba zile nyimbo zake za Sayuni alizozizowea alipokuwa huko?
Wajameni, furaha na shamra shamra hizi, sababu zake tafadhali.
Ninawasilisha
Si ndio yamekuja kufanyiwa recycle?Mbona hizo takataka zote mnazo huko? Mpaka maprofesa wa majalalani wapo huko.View attachment 1769724
Kwanza tumeambiwa Nyalandu ndie aliyemhifadhi Lissu Ubelgiji kwenye nyumba yake.Nyalandu ndio alikuwa analipa mishahara ya Ufipa!
Jamaa karudi Ccm baada ya deal yake kukubalika.Kwanza tumeambiwa Nyalandu ndie aliyemhifadhi Lissu Ubelgiji kwenye nyumba yake.
Sasa ndie aliyewalipa mshahara wakina Mnyika.
Itafuata hela zote za dhamana alikuwa anatoa yeye.
Halafu, kampeni yote ya Lissu aliifadhili yeye.
Mwisho, pesa ya kuanzisha chama aliitoa yeye.
Kuweni basi hata na aibu kidogo.
Amandla...
Unaejichanganya ni wewe. Mwandishi ana maanisha kuwa CCM hawaoni faida yeyote ya wao kuwa na Nyalandu ila wamefurahi kuwa amewapa sababu ya kuwabeza CDM. Ni kama wakina Lijualikali. Wanafurahia tu wanachodhani ni msiba kwa jirani yao.mkuu umeumia ila unajikaza
Mbona umeandika the same issue ...si kaondoka chadema kaenda CCM?? unatenganisha vipi furaha ya kutoka kule na kwenda huku?
umejichanganya