UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,543
- 7,880
Kama chama kisicho cha wapiga dili kinakubali kuwapokea wapiga dili na kuwapa nafasi za uongozi ni wazi hapo hicho chama kimekosa tu hizo dili ila zingekuwepo hizo dili nacho kingekuwa chama cha wapiga dili pia. Huwezi ukasema unauchukia wizi halafu ukawa unawapa hifadhi wezi na huku ukijua ni wezi.Mpiga dili karudi kwenye chama cha wapiga dili, halafu kuna misukule wanashangilia tu wao wamesharidhika kuwa wanawashangilia wenzao wakija kupewa vyeo wao wapo tu.