- Thread starter
- #61
In any case, CCM wao wanahesabu ushindi. Aliyeraise mpaka kwenye level ya kugombea teuzi za kusimamishwa kugombea urais sasa katoka CHADEMA na huko CCM hawampi hata ubalozi wa nyumba 10. Sio asset tena.
Huyu bwana hajawahi kuwa asset kwa Chadema. Kugombea nafasi yoyote katika Chadema ni haki ya kila mtu.
Nakazia:
"Ajabu ni kuwa furaha zimeelekezwa kwenye kuwa bwana huyu asiyekuwa na jina ndani ya Chadema, ametoka Chadema wala si kuwa kajiunga na CCM!"
Nadhani furaha za CCM hazina msingi wowote kwani:
Hadi sasa haionekani CCM itanufaika vipi na huyu bwana kama kusivyoonekana popote kuwa Chadema itapata hasara ipi kwa kuondokewa na huyu bwana.
Kwa maana nyingine makelele yote kuhusiana na huyu bwana ni zaidi makelele ya vyura tu!