Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hawa wajomba ndio waliouchakachua Ukristo.Unajua kabla walokole hawajakushangaa Yesu Kristo anakushangaa?
Soma alichowaambia watu wale waliotaka aache Kuhubiri Mkutano Neno la Mungu akamsikilize mama yake!🤔🤔
(Luka8:19-21)-Wakamwendea mama yake na ndugu zake, wasiweze kumkaribia kwa sababu ya MKUTANO.
20 Akaletewa habari akiambiwa, Mama yako na ndugu zako wamesimama nje wakitaka kuonana nawe.
21 Akawajibu akasema, Mama yangu na ndugu zangu ndio hao walisikiao neno la Mungu na kulifanya.
Sasa kati ya Mchungaji anayefanya kazi ya kuhubiri Neno la Mungu na Mama yake Yesu nani mkubwa?
Harafu fahamu Mariamu hakuwa bikra tena baada ya kumzaa Yesu,Mariam alizaa watoto wengine ndugu zake Yesu,(Mathayo13:53-55)
Mwisho Mariam alishakufa na yeye anangoja Ufufuo,na hakuna anayejua atafufuka ufufuo gani kama ni wa Uzima au wa Hukumu! Hilo anajua Yesu Kristo mwenyewe!
(Yohana5:28-29)
Kuna mafundisho mengi tu ya kipagani wameyatumbukiza kwenye Ukristo. Lakini hoja yao kubwa husema kanisa lao ndio la kwanza