Maajabu ya baadhi ya Wana-JamiiForums kwa Utawala wa Awamu ya 6

Maajabu ya baadhi ya Wana-JamiiForums kwa Utawala wa Awamu ya 6

Livejr

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2014
Posts
2,070
Reaction score
2,794
Wasalam...!

Kwanza lazima tukubali tu kuwa kwa sasa tuna Rais mwingine na ni Awamu nyingine kuanza kutafuta kuokoteza maneno maneno na kuyaanzishia thread za kukosoa Utawala wa Awamu ya 6 chini ya mama shupavu SSH ni kukosa hoja na kuonesha kuwa kuna watu walikuwa wanafaidika moja kwa moja.

Lakini kama tunakubali ni utawala mwingine basi lazima pia tukubali kuwa, sasa ni zamu ya Mama kupanga safu ya watu ambao anaona atafanya nao kazi ya kuipeleka nchi mbele Zaidi. Tunashukuru kwa kazi ya Mwendazake lakini tuache mama afanye kazi yake kwa sababu ni zamu yake. Sijaona mama akitoa kauli za kuudhi na kudhalilisha UTU wa wengine kama zile za kuwashwa washwa au Mpambuvu (Rejea maneno ya JPM kwa wastaafu na kauli ya JPM kwa Mkurugenzi wa Nachingwea).

Kikubwa ninachomkubali mama huyu anashaurika na hilo ndio jambo kubwa, Tanzania ni yetu sote na kila mtu anaitakia mema nchi hii isipokuwa wachache tu (Rejea utenguzi wa Mwesigwa mstaafu wa TPDC ambaye hakuona hata vitasa vya ofisi yake mpya). Ingekuwa ndio JPM ametoa book lile angemtetea yule waziri wa Sheria wa UDOSO mpaka MATAGA wangeimba pambio na hata asingemtengua, rejea wateuliwa wake jinsi walivyokuwa wanalalamikiwa na hakuchukua hatua zozote.

Mama anatueleza ya sirini ambayo tulikuwa hatuyajui. mfano wote sisi hatujaona mikataba ya madini lakini tunaanza kusema ya Mwendazake ilikuwa mizuri, uzuri ulikuwa kwenye nini? watu wanashindwa kutoa majibu. Haya suala la utoroshaji wa Madini, unafikiri mama hana watu wa kumuambia kuhusu utoshaji wa madini?

Mwisho, kati ya 2016 mpaka 2020 ziliibuka Ids nyingi sana humu na zote zilikuwa zinamtetea Mwendazake, ila leo walewale wameanza kumshambulia mama SHUPAVU kwa kasi sana tena sana. Sasa sijajua wale watu walikuwa ni wanachama au kikundi cha watu kilichoratibiwa na Mwendazake?

Nawakumbusha tu, Chama ni kile kile na kiongozi anatekeleza Ilani ile ile anachokifanya ni kuamua tu kusema ukweli wa mambo ulivyo, hivyo tuendelee kusifia na kupamba kama kawaida. Wengi wanakuja na hoja za alikuwa mshauri wa RAIS, hivi unaanzaje kumshauri mtu ambaye amesema yeye JIWE na hashauriki kwani kufanya hivyo ni kuharibu na hapangiwi na MTU? Jaribu kutafakari kauli ya “SIPANGIWI NA SISHAURIKI”.

Kama ambavyo mlianza michakato yenu huko Bungeni ya kumlazimisha Rais ATAKE ASITAKE lazima mumuongezee muda, nawaomba musiache endeleeni hivyo hivyo na we POLEPOLE ile kazi ambayo alikupa Mwendazake huko Bungeni ya kuwa-monitor wabunge ili ujue nani anaenda kinyume katika mipango yenu dhalimu endelea hivyo hivyo.

“Mimi naondoka lakini ile miaka ambayo mlipanga kuniongezea mimi, sasa mumpatie huyu mama”.
 
Ameanza na mguu mbovu! Ni dhahiri kazungukwa na wajanja wajanja! Anabomoa kila kitu kwa kauli na matendo.

Afahamu tunamsikiliza na wengi wanabaki na mshangao! Kama mwendo ndio huu tutegemee anguko la CCM tukipata wapinzani serious! Hope wapinzani watakuwa huru zaidi sasa [emoji41]
 
Rais hana msimamo, leo anateua huyu kesho anatengua, mara atangaze hivi kesho akanushe, hii biashara gani ya kubahatisha ameipeleka ikulu, hapa watu wasilete habari za anashawishiwa na remnants wa awamu iliyopita, kama anakubali kushawishiwa maana yake she is weak, hafai kukaa ikulu kama mtu hana msimamo wake binafsi.

Hii nchi inaenda kugeuzwa shamba la bibi muda sio mrefu, dalili zote zinanionesha hilo, ile ikulu yetu ina vacuum.
 
Rais hana msimamo, leo anateua huyu kesho anatengua, mara atangaze hivi kesho akanushe, hii biashara gani ya kubahatisha ameipeleka ikulu, hapa watu wasilete habari za anashawishiwa na remnants wa awamu iliyopita, kama anakubali kushawishiwa maana yake she is weak, hafai kukaa ikulu kama mtu hana msimamo wake binafsi.

Hii nchi inaenda kugeuzwa shamba la bibi muda sio mrefu, dalili zote zinanionesha hilo, ile ikulu yetu ina vacuum.
Samia ni zao la mfumo.sijui una umri gani na alimu gani na ulisoma wapi ukakulia wapi? CCM ni ileile
 
Ameanza na mguu mbovu! Ni dhahiri kazungukwa na wajanja wajanja! Anabomoa kila kitu kwa kauli na matendo.

Afahamu tunamsikiliza na wengi wanabaki na mshangao! Kama mwendo ndio huu tutegemee anguko la CCM tukipata wapinzani serious! Hope wapinzani watakuwa huru zaidi sasa [emoji41]
Atabomoa mtandao wenu wa sukuma gang ili nchi yetu upate kurejea kwenye utawala wa sheria.
 
Rais hana msimamo, leo anateua huyu kesho anatengua, mara atangaze hivi kesho akanushe, hii biashara gani ya kubahatisha ameipeleka ikulu, hapa watu wasilete habari za anashawishiwa na remnants wa awamu iliyopita, kama anakubali kushawishiwa maana yake she is weak, hafai kukaa ikulu kama mtu hana msimamo wake binafsi.

Hii nchi inaenda kugeuzwa shamba la bibi muda sio mrefu, dalili zote zinanionesha hilo, ile ikulu yetu ina vacuum.
so far kamtengua mmoja. yes ni rais mpya so lazima aje na team yake ambayo anaona itaendena na kasi yake.
angechelewa kuteua napo mngeonges

oh she is weak.. sijui yuko hivi yuko vile.. hana hata mwezi ofcn. embu muacheni afanye kazi. mpen mida. si kuja kuchaewia kila maali
 
Rais hana msimamo, leo anateua huyu kesho anatengua, mara atangaze hivi kesho akanushe, hii biashara gani ya kubahatisha ameipeleka ikulu, hapa watu wasilete habari za anashawishiwa na remnants wa awamu iliyopita, kama anakubali kushawishiwa maana yake she is weak, hafai kukaa ikulu kama mtu hana msimamo wake binafsi.

Hii nchi inaenda kugeuzwa shamba la bibi muda sio mrefu, dalili zote zinanionesha hilo, ile ikulu yetu ina vacuum.
Hata ikigeuzwa shamba la babu haina shida ili mradi atuondolee kero ya TRA na atuondolee vikwazo kwenye mizunguko kwenye biashara zetu mitaani.
 
so far kamtengua mmoja. yes ni rais mpya so lazima aje na team yake ambayo anaona itaendena na kasi yake.
angechelewa kuteua napo mngeonges

oh she is weak.. sijui yuko hivi yuko vile.. hana hata mwezi ofcn. embu muacheni afanye kazi. mpen mida. si kuja kuchaewia kila maali
Upo sahihi sana
 
so far kamtengua mmoja. yes ni rais mpya so lazima aje na team yake ambayo anaona itaendena na kasi yake.
angechelewa kuteua napo mngeonges

oh she is weak.. sijui yuko hivi yuko vile.. hana hata mwezi ofcn. embu muacheni afanye kazi. mpen mida. si kuja kuchaewia kila maali
Yaan hili kundi ndilo kundi linalo lalamika sana mitandaoni kwa sasa sijui mama kawakosea nini wakati yupo pale kwa mujibu wa katiba na wala hajampindua huyo mungu mtu wao bali mungu ndio kampenda zaid ili kuikoa tanzania kutoka katika makucha yake hatarishi kwa nchi sasa sijui wanatakaje hili kundi.
 
Ameanza na mguu mbovu! Ni dhahiri kazungukwa na wajanja wajanja! Anabomoa kila kitu kwa kauli na matendo.

Afahamu tunamsikiliza na wengi wanabaki na mshangao! Kama mwendo ndio huu tutegemee anguko la CCM tukipata wapinzani serious! Hope wapinzani watakuwa huru zaidi sasa [emoji41]
Wapinzani sio watanzania!
Ccm wameandikiwa kuiongoza hii nchi milele.

Mi ramli yangu inasema kabla ya 2025 mama hatoboi kwa jitihada ya chama tawala chenyewe
 
Hajabomoa kila kitu cha jiwe.Yafuatayo bado
1.Zuio la watoto wa kike waliopata ujauzito kurudi shuleni.

2. Kurudisha elimu ya mpango wa uzazi na kufuta ile kauli ya "fyatueni tu".

3.Kuendeleza kiporo cha katiba mpya kilichosimamishwa.

4.Kuondoa zuio la mikutano ya siasa.

5.Kuondoa makada wa CCM katika tume ya taifa ya uchaguzi.

6.Kurudisha uwakili wa Fatma Karume na kusitisha mchakato wa kumuondolea uwakili Jebra Kambole.

7.Uchunguzi rasmi wa watu waliopotea katika mazingira ya kutatnisha.

8.Fidia kwa waliobomolewa Kimara.

9.Kuruhus Chanjo ya Corona kwa wanaotaka.

Ameanza na mguu mbovu! Ni dhahiri kazungukwa na wajanja wajanja! Anabomoa kila kitu kwa kauli na matendo.

Afahamu tunamsikiliza na wengi wanabaki na mshangao! Kama mwendo ndio huu tutegemee anguko la CCM tukipata wapinzani serious! Hope wapinzani watakuwa huru zaidi sasa [emoji41]
 
Wassalam...!

Kwanza lazima tukubali tu kuwa kwa sasa tuna Rais mwingine na ni Awamu nyingine kuanza kutafuta kuokoteza maneno maneno na kuyaanzishia thread za kukosoa Utawala wa Awamu ya 6 chini ya mama shupavu SSH ni kukosa hoja na kuonesha kuwa kuna watu walikuwa wanafaidika moja kwa moja...
Lovejr kama wakati wa Jiwe ili kuwa sahihi kupinga humu JF, kwanini sasa hivi isiwe sahihi? Kama sio, wewe una tofauti gani na MATAGA waliokuwa wanapinga Jiwe kukosolewa?
 
Wassalam...!

Kwanza lazima tukubali tu kuwa kwa sasa tuna Rais mwingine na ni Awamu nyingine kuanza kutafuta kuokoteza maneno maneno na kuyaanzishia thread za kukosoa Utawala wa Awamu ya 6 chini ya mama shupavu SSH ni kukosa hoja na kuonesha kuwa kuna watu walikuwa wanafaidika moja kwa moja...
Tangu lini Chadema wakaitakia mema ccm hadi wajipe kazi ya kumsifia rais Samia?.

Kazi ya kumsifia rais Samia ni ya MATAGA siyo ya chadema
 
Kawadanganye MATAGA wenzako msiyojitambua
Leo zao la CCM Linakuwa bora.

In short mama hana vision hayuko consistent.

Raisi lazima ujue unasimamia nini sio unapelekesha na kikundi cha wachache wenye makelele.

We need a visionary leader mama hatufai kabla hajavurunda zaidi it's better aka step down
 
Back
Top Bottom