Maajabu ya baadhi ya Wana-JamiiForums kwa Utawala wa Awamu ya 6

Maajabu ya baadhi ya Wana-JamiiForums kwa Utawala wa Awamu ya 6

Rais hana msimamo, leo anateua huyu kesho anatengua, mara atangaze hivi kesho akanushe, hii biashara gani ya kubahatisha ameipeleka ikulu, hapa watu wasilete habari za anashawishiwa na remnants wa awamu iliyopita, kama anakubali kushawishiwa maana yake she is weak, hafai kukaa ikulu kama mtu hana msimamo wake binafsi.

Hii nchi inaenda kugeuzwa shamba la bibi muda sio mrefu, dalili zote zinanionesha hilo, ile ikulu yetu ina vacuum.
Mchagueni mfadhili wenu Gwajima awe Rais.
 
Leo zao la CCM Linakuwa bora.

In short mama hana vision hayuko consistent.

Raisi lazima ujue unasimamia nini sio unapelekesha na kikundi cha wachache wenye makelele.

We need a visionary leader mama hatufai kabla hajavurunda zaidi it's better aka step down
Wasukuma wacheni noma zenu
 
Hamna mtu analitakia mema hilo dubwasha liitwalo ccm, hapa watu wanasema huyo mama kagoma kutawala kidhalimu. Hilo kundi la majizi ya kura liitwalo ccm unalijua ww. Kama MATAGA ni ccm na huyo mama ni ccm, mbona akisifiwa mnapanic?
Wasukuma wana roho mbaya sana
 
Ameanza na mguu mbovu! Ni dhahiri kazungukwa na wajanja wajanja! Anabomoa kila kitu kwa kauli na matendo.

Afahamu tunamsikiliza na wengi wanabaki na mshangao! Kama mwendo ndio huu tutegemee anguko la CCM tukipata wapinzani serious! Hope wapinzani watakuwa huru zaidi sasa [emoji41]
Ni lini ma CCM yalikubalika? Mwacheni mama achape kazi! Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania! Wewe MATAGA itikia "Kazi iendelee"
 
Wasalam...!

Kwanza lazima tukubali tu kuwa kwa sasa tuna Rais mwingine na ni Awamu nyingine kuanza kutafuta kuokoteza maneno maneno na kuyaanzishia thread za kukosoa Utawala wa Awamu ya 6 chini ya mama shupavu SSH ni kukosa hoja na kuonesha kuwa kuna watu walikuwa wanafaidika moja kwa moja.

Lakini kama tunakubali ni utawala mwingine basi lazima pia tukubali kuwa, sasa ni zamu ya Mama kupanga safu ya watu ambao anaona atafanya nao kazi ya kuipeleka nchi mbele Zaidi. Tunashukuru kwa kazi ya Mwendazake lakini tuache mama afanye kazi yake kwa sababu ni zamu yake. Sijaona mama akitoa kauli za kuudhi na kudhalilisha UTU wa wengine kama zile za kuwashwa washwa au Mpambuvu (Rejea maneno ya JPM kwa wastaafu na kauli ya JPM kwa Mkurugenzi wa Nachingwea).

Kikubwa ninachomkubali mama huyu anashaurika na hilo ndio jambo kubwa, Tanzania ni yetu sote na kila mtu anaitakia mema nchi hii isipokuwa wachache tu (Rejea utenguzi wa Mwesigwa mstaafu wa TPDC ambaye hakuona hata vitasa vya ofisi yake mpya). Ingekuwa ndio JPM ametoa book lile angemtetea yule waziri wa Sheria wa UDOSO mpaka MATAGA wangeimba pambio na hata asingemtengua, rejea wateuliwa wake jinsi walivyokuwa wanalalamikiwa na hakuchukua hatua zozote.

Mama anatueleza ya sirini ambayo tulikuwa hatuyajui. mfano wote sisi hatujaona mikataba ya madini lakini tunaanza kusema ya Mwendazake ilikuwa mizuri, uzuri ulikuwa kwenye nini? watu wanashindwa kutoa majibu. Haya suala la utoroshaji wa Madini, unafikiri mama hana watu wa kumuambia kuhusu utoshaji wa madini?

Mwisho, kati ya 2016 mpaka 2020 ziliibuka Ids nyingi sana humu na zote zilikuwa zinamtetea Mwendazake, ila leo walewale wameanza kumshambulia mama SHUPAVU kwa kasi sana tena sana. Sasa sijajua wale watu walikuwa ni wanachama au kikundi cha watu kilichoratibiwa na Mwendazake?

Nawakumbusha tu, Chama ni kile kile na kiongozi anatekeleza Ilani ile ile anachokifanya ni kuamua tu kusema ukweli wa mambo ulivyo, hivyo tuendelee kusifia na kupamba kama kawaida. Wengi wanakuja na hoja za alikuwa mshauri wa RAIS, hivi unaanzaje kumshauri mtu ambaye amesema yeye JIWE na hashauriki kwani kufanya hivyo ni kuharibu na hapangiwi na MTU? Jaribu kutafakari kauli ya “SIPANGIWI NA SISHAURIKI”.

Kama ambavyo mlianza michakato yenu huko Bungeni ya kumlazimisha Rais ATAKE ASITAKE lazima mumuongezee muda, nawaomba musiache endeleeni hivyo hivyo na we POLEPOLE ile kazi ambayo alikupa Mwendazake huko Bungeni ya kuwa-monitor wabunge ili ujue nani anaenda kinyume katika mipango yenu dhalimu endelea hivyo hivyo.

“Mimi naondoka lakini ile miaka ambayo mlipanga kuniongezea mimi, sasa mumpatie huyu mama”.
SSH ni Rais wa Sita katika awamu ya tano.ambayo kimsingi na kikatiba inaisha mwaka 2025..baada ya hapo Kama ataamua kugombea kwa.mujib wa katiba na akashinda atakuwa Rais wa Sita katika awamu ya Sita ..na ikatokea Mtu mwingine yeyote yule akashinda atakuwa ni Rais wa 7 katika awamu ya Sita.
 
Mama akifanya vibaya, furaha kwa wanasiompenda 😀

Mama akifanya vizuri, kisirani kwa wanaomchukia 😀

Binadamu ndivyo tulivyo, No one is perfect except God...

Mimi namuombea tu, Mungu amuongoze na amfanyie wepesi kwenye majukumu yake.
 
Ameanza na mguu mbovu! Ni dhahiri kazungukwa na wajanja wajanja! Anabomoa kila kitu kwa kauli na matendo.

Afahamu tunamsikiliza na wengi wanabaki na mshangao! Kama mwendo ndio huu tutegemee anguko la CCM tukipata wapinzani serious! Hope wapinzani watakuwa huru zaidi sasa [emoji41]
Unataka wapinzani wabanwe?
 
Ameanza na mguu mbovu! Ni dhahiri kazungukwa na wajanja wajanja! Anabomoa kila kitu kwa kauli na matendo.

Afahamu tunamsikiliza na wengi wanabaki na mshangao! Kama mwendo ndio huu tutegemee anguko la CCM tukipata wapinzani serious! Hope wapinzani watakuwa huru zaidi sasa [emoji41]
Naona wanamtandao na team msoga ndio wamerudi kwa kishindo kupitia mlango wa uani.
 
Rais hana msimamo, leo anateua huyu kesho anatengua, mara atangaze hivi kesho akanushe, hii biashara gani ya kubahatisha ameipeleka ikulu, hapa watu wasilete habari za anashawishiwa na remnants wa awamu iliyopita, kama anakubali kushawishiwa maana yake she is weak, hafai kukaa ikulu kama mtu hana msimamo wake binafsi.

Hii nchi inaenda kugeuzwa shamba la bibi muda sio mrefu, dalili zote zinanionesha hilo, ile ikulu yetu ina vacuum.
Rais si Mungu kwamba akiamua ufe unakufa.
Tafakari kabla ya kukurupuka kunijibu.
 
Rais hana msimamo, leo anateua huyu kesho anatengua, mara atangaze hivi kesho akanushe, hii biashara gani ya kubahatisha ameipeleka ikulu, hapa watu wasilete habari za anashawishiwa na remnants wa awamu iliyopita, kama anakubali kushawishiwa maana yake she is weak, hafai kukaa ikulu kama mtu hana msimamo wake binafsi.

Hii nchi inaenda kugeuzwa shamba la bibi muda sio mrefu, dalili zote zinanionesha hilo, ile ikulu yetu ina vacuum.
Mwenzenu si Mwanasheria ni mwanakijiwe tu lakini kuna haja ya kuweka wazi hii Serikali ni ya Awamu ya Tano au ya Sita na hili lingeeleweka zaidi kama lingetamkwa na Serikali yenyewe kupitia Mwanasheria Mkuu maana inaonekana Wasukuma wajinga na CCM wanataka Nchi iendeshwe na Mwendazake mpaka mi5 mingine. Kwa uelewa wangu wa kijiweni, Serikali hii ni ya Awamu ya Tano, Kipindi cha Pili na cha mwisho na Rais wetu wa kumaliza Kipindi hiki ni Samia Suluhu Hassan ambaye ana madaraka na mamlaka kamili kuingiza Nchi hii. Rais Samia siyo Kaimu wa Mwendazake!
Rais hana msimamo, leo anateua huyu kesho anatengua, mara atangaze hivi kesho akanushe, hii biashara gani ya kubahatisha ameipeleka ikulu, hapa watu wasilete habari za anashawishiwa na remnants wa awamu iliyopita, kama anakubali kushawishiwa maana yake she is weak, hafai kukaa ikulu kama mtu hana msimamo wake binafsi.

Hii nchi inaenda kugeuzwa shamba la bibi muda sio mrefu, dalili zote zinanionesha hilo, ile ikulu yetu ina vacuum.
 
Back
Top Bottom